facebook likes

Thursday, August 8, 2013

PFA KUWAPA SEMINA WACHEZAJI KUKABILIANA NA LUGHA ZA KIBAGUZI.


WACHEZAJI wa Ligi Kuu na ligi zote nchini Uingereza wanatarajiwa kupewa semina kutoka Chama cha Wachezaji wa Kulipwa-PFA kuhusu mbinu za kupambana na kauli za kibaguzi. 
...SOMA ZAIDI....

TUZO ZA MCHEZAJI BORA WA AFRIKA KUFANYIKA LAGOS MAPEMA MWAKANI.


SHIRIKISHO la Soka barani Afrika-CAF limetangaza kuwa sherehe za utoaji tuzo kwa wachezaji wa Afrika zitafanyika Januari 9 mwakani jijini Lagos, Nigeria. 
...SOMA ZAIDI....

BAADA YA KUKWAMA KWA LUIS, BARCELONA SASA WAMGEUKIA AGGER.


KLABU ya Barcelona ya Hispania sasa imemgeukia beki mahiri wa klabu ya Liverpool, Daniel Agger baada ya ofa yao ya kumtaka beki wa Chelsea David Luiz kukataliwa. 
....SOMA ZAIDI....

WAZAZI WAKATAZA WALIMU WASIWAFUNDISHE WATOTO WAO JINSI YA KUTUMIA CONDOM


Imeelezwa kuwa Baadhi ya wazazi na walezi wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamekuwa wakiwazuia walimu kutoa elimu ya njia ya kujikinga na ukimwi kwa watoto wao wa sule za msingi ikiwemo matumizi sahihi ya condom. 
....SOMA ZAIDI....

I'm Not Responsible For Nando's Behaviour - Oneal



During Monday morning's Google hangout session with the just evicted Big Brother The Chase housemate Oneal, he set the records straight on a number on things mainly his relationship with Feza and his comments about West Africa.
...READ MORE....

FABREGAS AIKATAA RASMI MAN UNITED - ASEMA ANAHESHIMU KUMHITAJI KWAO LAKINI ANA FURAHA BARCELONA NA ANGEPENDA KUBAKI.

 
Kiungo wa Barcelona Cesc Fabregas hatimaye amevunja ukimya kuhusu suala la Manchester United kutaka kumsajili kwa kusema anataka kubaki nchini Spain. 
Mchezaji huyo wa zamani wa Arsenal akiongea kwenye mkutano wa waandishi wa habari jijini Kuala Lumpur mahala ambapo  Barcelona wapo kwa ajili ya maadalizi ya msimu mpya. 
....SOMA ZAIDI.....

ANGALIA PICHA DIAMOND AKISHOOT TANGAZO LA COCACOLA



 Ukimpigia simu na Diamond Platnumz na isipokelewe, usimind sana, sababu hafanyi makusudi, anakimbizana na schedule za kupiga hela tu.
...SOMA NA ANGALIA PICHA ZAIDI...

Neymar alipa milioni 57 zilizotumika kumnunua.


Neymar siku aliyotambulishwa kama mchezaji wa Barca.
Neymar siku aliyotambulishwa kama mchezaji wa Barca.
Kiungo mshambuliaji wa Fc Barcelona Neymar Da Silva Jr amelipa fedha 
ambayo mabingwa hao wa Hispania walitumia kumnunua kabla hata ya
 kuichezea timu hiyo kwenye mchezo wa ushindani .
...SOMA ZAIDI...

RAY C ASIMULIA KILICHOMFANYA AANZE KUTUMIA MADAWA YA KULEVYA........LAWAMA ZOTE AMEZIELEKEZA KWA MPENZI WAKE

 
 Muimbaji wa ‘Niwe Nawe Milele’ Rehema Chalamila aka Ray C jana alifanya interview ya kwanza ya TV tangu takriban miezi 10 iliyopita baada ya kujichimbia kupata matibabu ya madhara aliyokuwa amepata kutokana na matumizi ya madawa ya kulevya.
.....SOMA ZAIDI......

TUNAOMBA RADHI KWA PICHA: NDUGU WAGOMA KUZIKA MAREHEMU WAKIAMINI MGANGA ATAMFUFUA NDUGU YAO




Dereva wa boda boda Cheni Abed akiwa chini baada ya pikipiki yake

 kugonga na baiskeli kwenye makutano ya barabara za Mafisa,Kichangani.
Dereva wa boda boda Aliyejulikana kwa jina Bw Cheni Abed kufariki dunia 
baada ya kugongana na baiskeli huku dereva wa baiskeli hiyo ambaye pia alimpakia mwanawakiwa salama salmini.
....SOMA NA ANGALIA PICAHA ZAIDI...

Acid attack on two British women in Zanzibar

Two men on a moped threw acid at two 18-year-old British women in Stone Town, Zanzibar/AFP
Two men on a moped threw acid at two 18-year-old British women in Stone Town, Zanzibar/AFP
...READ MORE....

RAIA 2 WA UINGEREZA WAMEMWAGIWA TINDIKALI ZANZIBAR

Raia wa kigeni kutoka katika nchi ya Uingereza ambao wanafanya kazi ya kujitolea katika upande wa Ualim   wamemwagiwa tindi kali mjini Zanzibar jana  mida ya saa moja usiku katika mitaa ya shangani mji mkongwe  Zanzibar habari kutoka katika chanzo chetu cha habari  kinasema jeshi la polisi zanzibar limeanza msako na kuwatafuta watu waliofanya kitendo hicho  walimu hao ambao wamefika mjini Zanzibar kwa kujitolea kufundisha walitambulika kwa majina ya Kate Gee miaka 18 na kirsiwer Trup pia miaka 18 walimu hao wa kujitolea wanatoka katika nchi ya Uingereza (UK)  raia hao wameingia kisiwani hapo takribani wiki mbili tu na kukutwa na majanga hayo ambao walikuwa wanafanya kazi katika shule  moja ya msingi inayojulikana kama Mtakatifu Monika iliyopo chini ya kanisa la Aglicana. habari tulizozipata hivi punde  Raia hao hivi sasa wamehamishiwa katika Hospitali ya Aghakani jijini Dar es salaam kwa matibabu zaid.

 Tutazidi kuwaleta habari zaidi

PATRICK OCHAN ATEMWA TP MAZEMBE - ASHINDWA KUKIDHI MAHITAJI YA TIMU


Takribani miaka miaka mitatu tangu asajiliwe kwa mamilioni ya fedha kutoka klabu ya Simba ya Tanzania, kiungo wa kimataifa wa Uganda Patrick Ochan ametemwa na klaby yake ya TP Mazembe, kutokana na kutokidhi mahitaji ya klabu hiyo. 
.....SOMA ZAIDI......

EXCLUSIVE: MUSSA HASSAN MGOSI ASAINI MKATABA WA MWAKA MMOJA WA KUICHEZEA MTIBWA SUGAR - MEXIME ATHIBITISHA


 




























Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Simba Mussa Hassan Mgosi amejiunga rasmi na klabu ya Mtibwa Sugar ya Manungu Morogoro.
....SOMA ZAIDI......

Bernard to Shakhtar Donetsk: Miners Sign Atletico Mineiro Star for €25 Million

Hi-res-171627796_crop_north
Michael Regan/Getty Images
Brazilian winger Bernard has officially been signed by Ukrainian club Shakhtar Donetsk, according to the club's official website on Thursday.
According to Shakhtar.com, Bernard and the Miners agreed to a five-year deal after Shakhtar and the player's former club, Brazil's Atletico Mineiro settled on a transfer fee of €25 million.
....READ MORE....

BAADA YA SUAREZ: SASA WAYNE ROONEY NAE AONDOLEWA KUFANYA MAZOEZI NA KIKOSI CHA KWANZA CHA UNITED - APELEKWA KIKOSI CHA PILI


Siku moja baada ya Liverpool kumuondoa Luis Suarez kama mazoezi ya kikosi cha kwanza na kumlazimisha kufanya mazoezi pekee yake, 
...SOMA ZAIDI.....

MUUWAJI MPYA WA COASTAL APOKEWA KIFALME TANGA

MAPOKEZI wa Mshambuliaji Mpya wa Klabu ya Coastal Union ya Tanga aliyetokea timu ya Mamlaka ya Mapato nchini Uganda (URA),Yayo Lutimba  kwenye uwanja wa Ndege Mkoani Tanga jana yalikuwa ya aina yake kutokana na kulakiwa na wingi wa mashabiki,viongozi na wanachama wa timu hiyo.
Mapokezi hayo yalianza saa mbili asubuhi na mchezaji huyo kutua saa nne katika uwanja wa ndege akiwa na Meneja wa timu hiyo Akida Machai ambaye alikuwa ameambatana naye kutoka nchini Uganda.

(picha kwa hisani ya binzubeiry)
....SOMA NA ANGALIA PICHA ZAIDI.....

LIVERPOOL YAONYESHA INAWEZA MAISHA BILA SUAREZ...YAPIGA MTU NNE LEO

LIVERPOOL imeonyesha inaweza kuishi bila Luis Suarez anayetaka kuondoka, baada ya kuendelea vema na mechi zake za kujiandaa na msimu.
Pamoja na habari za Luis Suarez kuondoka kuwa ajenda kuu kwa sasa, kikosi cha Brendan Rodgers leo kimeifumua valeranga mabao 4-1 kwenye Uwanja wa Ullevaal, mjini Oslo, Norway katika mchezo wa kirafiki.Victory: Liverpool beat Valerenga 3-1 in a pre-season friendly at Olso's Ullevaal StadiumUshindi: Liverpool imeifunga Valerenga 3-1 kwenye Uwanja wa Ullevaal, Oslo leo
....SOMA NA ANGALIA PICHA ZAIDI....

AZAM FC ILIVYOICHAPA KIDUDE MAMELODI LEO AFRIKA KUSINI, SALAMU ZAO YANGA...



Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar akimtoka beki wa Mamelodi Sundwon katika mchezo wa kirafiki leo kwenye Uwanja wa Mamelodi, uliopo Chloorkop, Johannesburg Afrika Kusini. Azam ilishinda 1-0. Azam itacheza na Yanga SC Agosti 17, katika mechi ya kuwania Ngao ya Jamii, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.   (picha kwa hisani ya binzubeiry)
....SOMA NA ANGALIA PICHA ZAIDI....

DIAMOND KATISHAAA.......ACHUKULIWA NDEGE BINAFSI KUTOKA KENYA MPAKA BONGO KUTOKANA NA AJARI YA MOTO



Baada ya tukio la moto la leo kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta, JKIA jijini Nairobi, Kenya,

...SOMA ZAIDI..

MHADHIRI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM (Patrick Rweyongeza) APIGWA RISASI NA KUFARIKI LEO HII JIJINI DAR


Patrick Rweyongeza, Mhadhiri (College of Engeneering) UDSM, ameuawa leo kwa kupigwa na risasi.

Tukio limetokea majira ya mchana maeneo Magomeni TANESCO wakati marehemu akielekea mjini ambapo watu waliokuwa

wamepakizana kwa pikpiki kumfuata na kumfyatulia risasi kisha kutokomea.

Haijafahamika kama kuna uporaji uliofanyika au la.

Source: Matukio-Wapo radio.

MHADHIRI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM (Patrick Rweyongeza) APIGWA RISASI NA KUFARIKI LEO HII JIJINI DAR


Patrick Rweyongeza, Mhadhiri (College of Engeneering) UDSM, ameuawa leo kwa kupigwa na risasi.

Tukio limetokea majira ya mchana maeneo Magomeni TANESCO wakati marehemu akielekea mjini ambapo watu waliokuwa
wamepakizana kwa pikpiki kumfuata na kumfyatulia risasi kisha kutokomea.

Haijafahamika kama kuna uporaji uliofanyika au la.

Source: Matukio-Wapo radio.
- See more at: http://www.thechoicetz.com/2013/08/mhadhiri-chuo-kikuu-cha-dar-es-salaam.html?utm_source=feedburner&utm_medium=feed&utm_campaign=Feed%3A+blogspot%2FGDSbw+%28TheCHOICE%29#sthash.nONbj0lz.dpuf

HUYU NDO MFUNGWA ALIYE TOBOA UKUTA WA MAGEREZA AKITAKA KUTOROKA NA KUKAMATWA

An overweight inmate who tried to escape a Brazilian jail through a hole smashed through a prison wall had to be rescued by firemen after he got stuck halfway through.
16-stone Rafael Valadao is surrounded by giggling guards after getting stuck in his escape hole
.....READ MORE....

JAMBAZI SUGU LA ATM LATIWA MBARONI JIJINI DAR ES SALAAM

Raia wa Bulgaria akiwa chini ya Ulinzi baada ya kupata kichapo kwa kudaiwa kuiba fedha kwenye mashine ya kutolea fedha (ATM) ya BOA tawi la Mbezi Beach, jijini Dar es Salaam jana. Picha na Juliana Malondo  
....SOMA ZAIDI.....

Vikosi vya Yanga enzi hizo


Huu ni mkusanyiko wa picha na maelezo kama zilivyochukuliwa moja kwa moja kutoka katika mtandao wa JamiiForum, kutoka kwa mdau wake. Akielezea vikosi vya timu ya Yanga yenye makazi yake mitaa ya Jangwani.
...SOMA NA ANGALIA PICHA  ZAIDI......

IRENE PAUL ADAIWA KUWA MJAMZITO MWENDO WA NDIMU NA UDOGO KWA KWENDA MBELE

Staa wa filamu za Kibongo,Irene Paul amedaiwa kuwa mjamzito ambapo inasemekana amekuwa akiuficha ujauzito huo ili asipigwe picha na mapaparazi.
......SOMA ZAIDI.....

#BBATheChase: Elikem Snatches Dillish From Melvin?


 

As the weeks roll by and the number of contenders for the USD 300 000 dwindle, relationship dynamics change.

Elikem has struck up a cute friendship with Cleo. On Sunday night, the two sat in the bedroom chatting up a storm, while their fellow Housemates lamented Oneal's departure in the Jacuzzi.
...READ MORE....

NGOMA MPYA: MABESTE ft PETER MSECHU - NISHAURI DOWNLOAD HAPA


.....LISTEN AND DOWNLOAD HERE......

SPOTTED BATULI AND SLIM OMAR TOGETHER (PHOTOS)

The two movie stars seem to be so thrilled but we don't know what happened to them. Batuli shared these photos on her facebook and may be the photos were taken during the shooting of their upcoming film Coast 2 Coast in which we will see Batuli and Slim sharing screen space together. What do you think?

Obama Calls Uhuru and Offers Support on JKIA Fire

US President Barack Obama has called President Uhuru and offered his country's support on yesterday's inferno at the Jomo Kenyatta International Airport. 

In the telephone call, Obama also condoled the families that lost their lives in the 1998 US Embassy bombing in Nairobi. 

As statement on White House website read,
"President Obama called President Kenyatta today to offer United States support following a major fire at Kenya’s Jomo Kenyatta International Airport.  The President also commemorated this day, the 15th anniversary of al-Qa’ida’s terrorist attack against the U.S. Embassy in Nairobi, by expressing condolences to the loved ones of those killed and wounded in the attack, and highlighting our continued commitment to countering terrorism around the globe."

Wednesday's fire at JKIA forced the airport to shut down, as the international arrivals area was completely burnt. 
Local flights however returned later in the day.

Obama Calls Uhuru and Offers Support on JKIA Fire

8 Aug 2013

print this page
Save web page to PDF free with www.web2pdfconvert.com
send email
SHARE THIS STORY


US President Barack Obama has called President Uhuru and offered his country's support on yesterday's inferno at the Jomo Kenyatta International Airport. 
In the telephone call, Obama also condoled the families that lost their lives in the 1998 US Embassy bombing in Nairobi. 
As statement on White House website read, "President Obama called President Kenyatta today to offer United States support following a major fire at Kenya’s Jomo Kenyatta International Airport.  The President also commemorated this day, the 15th anniversary of al-Qa’ida’s terrorist attack against the U.S. Embassy in Nairobi, by expressing condolences to the loved ones of those killed and wounded in the attack, and highlighting our continued commitment to countering terrorism around the globe."
Wednesday's fire at JKIA forced the airport to shut down, as the international arrivals area was completely burnt.  Local flights however returned later in the day.
- See more at: http://www.nairobiwire.com/2013/08/obama-calls-uhuru-and-offers-support-on.html#sthash.kqMyxxAc.dpuf

Obama Calls Uhuru and Offers Support on JKIA Fire

8 Aug 2013

print this page
Save web page to PDF free with www.web2pdfconvert.com
send email
SHARE THIS STORY


US President Barack Obama has called President Uhuru and offered his country's support on yesterday's inferno at the Jomo Kenyatta International Airport. 
In the telephone call, Obama also condoled the families that lost their lives in the 1998 US Embassy bombing in Nairobi. 
As statement on White House website read, "President Obama called President Kenyatta today to offer United States support following a major fire at Kenya’s Jomo Kenyatta International Airport.  The President also commemorated this day, the 15th anniversary of al-Qa’ida’s terrorist attack against the U.S. Embassy in Nairobi, by expressing condolences to the loved ones of those killed and wounded in the attack, and highlighting our continued commitment to countering terrorism around the globe."
Wednesday's fire at JKIA forced the airport to shut down, as the international arrivals area was completely burnt.  Local flights however returned later in the day.
- See more at: http://www.nairobiwire.com/2013/08/obama-calls-uhuru-and-offers-support-on.html#sthash.kqMyxxAc.dpuf

Obama Calls Uhuru and Offers Support on JKIA Fire

8 Aug 2013

print this page
Save web page to PDF free with www.web2pdfconvert.com
send email
SHARE THIS STORY


US President Barack Obama has called President Uhuru and offered his country's support on yesterday's inferno at the Jomo Kenyatta International Airport. 
In the telephone call, Obama also condoled the families that lost their lives in the 1998 US Embassy bombing in Nairobi. 
As statement on White House website read, "President Obama called President Kenyatta today to offer United States support following a major fire at Kenya’s Jomo Kenyatta International Airport.  The President also commemorated this day, the 15th anniversary of al-Qa’ida’s terrorist attack against the U.S. Embassy in Nairobi, by expressing condolences to the loved ones of those killed and wounded in the attack, and highlighting our continued commitment to countering terrorism around the globe."
Wednesday's fire at JKIA forced the airport to shut down, as the international arrivals area was completely burnt.  Local flights however returned later in the day.
- See more at: http://www.nairobiwire.com/2013/08/obama-calls-uhuru-and-offers-support-on.html#sthash.kqMyxxAc.dpuf

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...