facebook likes

Friday, October 11, 2013

BAADA YA MZEE ZORRO KUKATAA - PRODUCER HERMES J BARIKI AKA HERM B ATEULIWA KUWA MMOJA WA MAJAJI KATIKA SHINDANO LA TUSKER PROJECT FAME

     

Zahir Zoro akiongelea juu ya Jaji mpya kutoka Tanzania Hermes J Bariki (Wa kwanza Kushoto) aliyechaguliwa na Tusker na kuchukua nafasi ya Zahir Zoro wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo katika hotel ya JB Belmonte.
SOMA ZAIDI........

Wakaguzi Syria washinda tuzo ya amani ya Nobel

Wakaguzi wa silaha za kemikali Syria
Tuzo ya amani ya Nobel, mwaka huu imekwenda kwa shirika la kudhibiti silaha za kemikali duniani OPCW.
SOMA ZAIDI.........

Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa Atembelea Shirika la Anga la Marekani NASA huko Huntsville

Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa Atembelea Shirika la Anga la Marekani NASA huko Huntsville

Makaribisho ya kipekee
ANGALIA PICHA ZAIDI...........

TFDA yabaini dawa bandia katika soko

Sehemu ya dawa zilizokamatwa katka Operesheni.

 

Mkurugenzi MKuu wa TFDA na DCI Manumba wakitazama sehemu ya dawa zilizokamatwa.

SOMA ZAIDI......

P*rn Company Offers Miley Cyrus $1 Million To Direct P*rn + Read The Letter!

An Adult company/retailer GameLink has offered singer Miley  Cyrus a cool $1 million to direct a hardcore sex scene.
GameLink sent a letter to Miley’s people on Wednesday, offering her $1 million to direct an X-rated movie, including full creative control!

See close up photo of Rihanna’s new traditional tattoo

Jeez! Why would Rihanna do this to her hand? Painful to look at…

Photo: Cassie shares intimate bedroom pic of herself and Diddy

How three women don’t mind sharing one man is amazing to me…Kim Porter is the main chick, then Cassie, then there’s the other baby mama he was spotted with last weekend, Sarah Chapman.  Meanwhile, the music mogul has made it very clear that he’s nowhere near ready to settle down and get married. See the photo of Cassie he posted on instagram after the cut….

Wabakaji waadhibiwa kwa kukata nyasi Kenya


Mwathiriwa alisema kuwa anawajua wabakaji
Wakenya wameghadhabishwa sana na hatua ya wanaume watatu waliombaka msichana mmoja na kutupa mwili wake kwenye choo kuamrishwa na polisi kukata nyasi kama adhabu kwao.
SOMA ZAIDI....

Desmond Elliot Goes Bald

Hehehe suits him tho!

PHOTO: Ice Prince All Set to Drop New Album This October Releases Album Art

Photo: PHOTO: Ice Prince Set to Drop New Album This October Releases Album Art... It is dopeee!! See Photo Here>>><br />
http://mllsmusicent.com/2013/10/photo-ice-prince-set-to-drop-new-album-this-october-releases-album-art/
It is Dopeeeeeeee!!! Like Cocaine! The Second Album ‘Fire of Zamani’ drops this october! it features lots of A-list Artiste they include Sunny Neji, Wale, Sound Sultan, MI, Jesse Jagz, WizKid, Chip, Ruby, French Montana, Jeremiah Gyang… Pologies for the delay :-) Chopstix, Don Jazzy, Sammy Gyang, Sarz, E Kelly, Jay sleek! MI ! Omo I cant Wait To buy this Album ooo… AAbeg Iceprince Nor Fall My Hand oooh!  see Album Art Below.........

AU kujadili uhusiano wake na ICC

AU inajadili swala hili baada ya ICC kupuuza ombi la kutaka kuhamisha kesi za Kenyatta na Ruto
Marais wa Afrika wanakutana wikendi hii mjini Addis Ababa nchini Ethiopia kujadili uhusiano wa bara la Afrika na mahakama ya kimataifa ya jinai ICC.
SOMA ZAIDI.............

“I’d love to marry Genevieve,my story is not complete without her”-Dbanj

Dbanj is obviously still inlove with Genevieve..He said his plan for Hollywood in a movie called Banga Lee staring Genevieve Lol
He opened up in an interview with Jayne Augoye  of Punch ..Excerpts below

Rais Banda awafuta kazi mawaziri kwa ufisadi

Rais wa Malawi, Joyce Banda amelifuta kazi baraza lake la mawaziri kutokana na kuongezeka kwa visa vya ufisadi serikalini..
SOMA ZAIDI.........

HONGERA MH TEMBA KWA KUPATA MTOTO WA KIUME

Kupitia ukurasa wa instagram wa Mh Temba aliweka picha ya mtoto wake mchanga ambaye alizaliwa siku jana na kuandika “Thx god leo umenipa mtoto wa kiume . Ma baby boy melyvin  welcome to the world”

PAMOJA NA KUWA 'VIBABU', MITHUN NA AMITA BADO WAPELEKANA PUTA KATIKA FILAMU

Akiwa ana umri wa miaka 70 sasa tangu amezaliwa Oktoba 11, 1942, mwigizaji mkongwe wa India, Amitabh Harivansh Bachchan bado anacheza filamu na sasa ameingia anga za Hollywood baada ya umaarufu mkubwa Bollywood aliojipatia kuanzia miaka ya 1970 mwanzoni tu.
SOMA ZAIDI........

LENNOX LEWIS YUKO TAYARI KUREJEA ULINGONI AKIWA NA MIAKA 48, ATAKA DOLA MILIONI 100 KUPIGANA NA AKINA KLITSCHKO

Comeback: Lennox Lewis has said he will fight one of the Klitschko brothers (below) for $100m BONDIA LENNOX LEWIS AMEWAAMBIA MAPROMOTA WA URUSI ATAREJEA KUPIGANA NA MMOJA KATI YA NDUGU AKINA KLITSCHKO KWA DAU KUBWA ZAIDI KATKA HISTORIA YA NDONDI ZA KULIPWA. 

SOMA ZAIDI.....

TAZARA YAPATA VICHWA SITA VYA TRENI,

DIGITAL CAMERAMadereva na Mafundi wa Treni za TAZARA wakiwa katika moja ya vichwa sita vipya vya Treni ambavyo vimeletwa Tanzania na wapo katika mafunzo ya jinsi ya kuvitumia.
SOMA ZAIDI.......

TUNAOMBA RADHI KWA PICHA::AUAWA BAADA YA KUMUUA MWENZAKE KWA MKUMCHOMA NA KISU MKOANI MWANZA


Huyu ndiye marehemu kijana maarufu kwa jina la 'Mkandarasi' anayesadikika kufanya mauaji kwa mumchoma kijana mwenzake kisu naye aliuawa na wananchi wenye hasira katika mtaa wa Msikiti wa Ijumaa jijini Mwanza.
SOMA NA ANGALIA PICHA ZAIDI.........

MABALOZI WA JUMUIYA YA NCHI ZA ULAYA (EU) WATEMBELEA GEREZA KUU UKONGA, JIJINI DAR ES SALAAM

imageKamishna Jenerali wa Magereza Nchini, John Casmir Minja akisalimiana na Balozi wa Jumuiya ya Ulaya Nchini Tanzania, Mhe. Gilberto Sebregondi ambaye aliongoza ujumbe wa Mabalozi wa Jumuiya ya Nchi za Ulaya katika ziara yao leo Oktoba 10, 2013 Gereza Kuu Ukonga, Jijini Dar es Salaam ili kujionea namna ambavyo Jeshi la Magereza linazingatia kikamilifu masuala ya Haki za Binadamu na Utawala Bora katika Uendeshaji wa Magereza hapa nchini.
SOMA NA ANGALIA PICHA ZAIDI....

ANGALIA PICHA:AJALI MBAYA YATOKEA KABUKU TANGA

RAIS UHURU KENYATTA AJARIBU KUZUIA KESI DHIDI YAKE ICC

E335BD48-6AE5-4818-9579-D270D2F08D24_w640_r1_s-2Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya anajaribu kuzuia kesi inayoendelea dhidi yake kwenye mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC .
SOMA ZAIDI.............

A FIRST TANZANIAN JUDGE SWORN IN AS INTERNATIONAL RESERVE JUDGE IN CAMBODIA

IMG_9765
Judge Steven Bwana (centre) from Tanzania accompanied by his wife Angelika Bwana in Official tete-atete through video conference with a Panelist of Judges in Cambodia. Looking on is WFP Representative and Country Director, Mr Richard Ragan, who was acting as the UN Resident Coordinator during the Sworn in Ceremony held at WFP Headquarters in Dar es Salaam.

MOHAMMED DEWJI AMONG TWO YOUNGEST BILLIONAIRES ON THE CONTINENT OF AFRICA

Mohamed deji3
MeTL Group CEO Hon.Mohammed Dewji.
Africa boasts 55 billionaires from 10 countries Africa, the world’s fastest growing emerging market, is now home to 55 billionaires, with an average net worth of $2.6bn.

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...