facebook likes

Thursday, August 8, 2013

ANGALIA PICHA DIAMOND AKISHOOT TANGAZO LA COCACOLA



 Ukimpigia simu na Diamond Platnumz na isipokelewe, usimind sana, sababu hafanyi makusudi, anakimbizana na schedule za kupiga hela tu.
...SOMA NA ANGALIA PICHA ZAIDI...


Baada ya jana Cocacola kumchukulia private jet toka Nairobi hadi Dar es Salaam, Bongo Flava Prince, Nasib ameingia mzigoni kushoot tangazo jipya la Cocacola. Kwenye picha za utengenezaji wa tangazo hilo alizoziweka kwenye Instagram, Diamond anaonekana akitembea huku akinywa soda hiyo

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...