facebook likes

Monday, July 1, 2013

KASHFA MPYA! MICHAEL JACKSON ALITUMIA BILIONI 56 KUNYAMAZISHA WATOTO ALIOWADHALILISHA...

Mfalme wa Pop, Marehemu Michael Jackson.
Michael Jackson 'Wacko Jacko' alilipa Dola za Marekani milioni 35 (Sawa na Shilingi za Tanzania zaidi ya bilioni 56) kama pesa za kunyamazisha wavulana wadogo zaidi ya 20 ambao aliwadhalilisha kijinsia kwa kipindi cha zaidi ya miaka 15, imedaiwa.

Gazeti la Sunday People lilichapisha 'mafaili ya siri ya FBI' yakionesha Mfalme huyo wa Pop aliwatunza na kuwasumbua watoto kuanzia mwaka 1989, licha ya kusisitiza kwake kwamba alikuwa akipitisha nao muda tu.
Mafaili hayo yanadai nyota huyo wa pop aliyefariki dunia alikuwa 'anayevutiwa kufanya mapenzi na watoto wadogo' ambaye alikuwa akitazama picha za ngono wakati akimshambulia mvulana mmoja, akimsumbua nyota mmoja  wa utotoni maarufu, kutomasa sehemu za siri za mvulana mmoja ndani ya jumba lake la faragha la sinema na kumpapasa mtoto mwingine ambaye mama yake 'hakujisumbua' kwa hilo.
FBI hawakupokea simu zilizopigwa na waandishi wa habari hiyo jana.
Wanasheria wa familia ya Jackson mpaka sasa wanasisitiza nyota huyo ameishalipa familia ya Jordan Chandler pekee, mwenye umri wa miaka 13, ambaye alidaiwa kudhalilishwa mwaka 1993.
Hatahivyo mpelelezi aliyekodiwa na Anthony Pellicano - jicho la faragha Jackson anadaiwa kumkodisha kwa kazi ya kuyeyusha madai ya udhalilishaji - amedai Jackson alikuwa 'muwindaji watoto mzoefu' ambaye aligharimia watoto anaodaiwa kuwadhalilisha kwenye shamba lake lililoko Neverland.
Sunday People linasema lina ushahidi kusaidia madai hayo ya wapelelezi.
Wakati Anthony Pellicano alipochunguzwa mwaka 2002 kwa kuwasaidia nyota wa Hollywood, FBI ilikamata mafaili yake, yakiwamo mengi kumhusu Jackson.
Haya yalihusisha mafaili ya kesi CADCE MJ-02463 na CR 01046 ambayo Sunday People inadai inayo.
Mafaili hayo yalidaiwa hayakupitishwa kwa waendesha mashitaka kwenye kesi yenye utata ya udhalilishaji dhidi ya Jackson mwaka 2005.
Ubainishaji huo wa kushitusha umekuja baada ya binti wa Jacko, Paris, mwenye miaka 15, hivi karibuni kujaribu kujiua kwa kukata vifundo vyake vya mkono.

BEYONCE ON STAGE AKIWA AMEVAA VAZI LA KANGA LILILOBUNIWA NA MTANZANIA

Unajisikiaje pale unapoona product ya kitanzania ama kitu  kilichobuniwa/kutengenezwa na mtanzania kinatumiwa
 na mtu mkubwa duniani??furaha siyo??ndivyo ninavyojiskia mimi...picha hapo juu
 aliyeshika mic ni mwanamziki wa 
kimataifa Beyonce akiwa stejini,vazi alilovaa ni vazi la khanga na
 ukitizama vizuri kuna maandishi ya kiswahili..kama
 sikosei yameandikwa"MAPENZI NI YA WAWILI NYINYI
 YAWAHUSU NINI?"basi vazi hilo amevalishwa 
na mbunifu mtanzania ajulikanae kama Chichi London..inatia
 faraja kuona kuwa watanzania tunaweza kufanya kitu kikubwa na kikaonekana
 isipokuwa kinachoturudisha nyuma ni chuki
 zisizokuwa na maana..big up Chichi London
Chichia London,Mbunifu wa kimataifa mwenye asili ya
 kitanzania akiwa kwenye pozi...!!

15 things you didn't know about Nelson Mandela


1. Mandela's birth name – Rolihlahla – is an isiXhosa name that means "pulling the branch of the tree". Colloquially it also means "troublemaker". His English name, Nelson, was given to him by a missionary schoolteacher.

2. He was expelled from the University of Fort Hare after joining a student protest. He later completed his degree through Unisa, which he followed up with a law degree from Wits University.


3. He fled the Eastern Cape for Johannesburg after Jongintaba Dalindyebo, the leader of the Tembu people, tried to set up an arranged marriage for him. After arriving in the city, he found work as a night watchman at a mine.


4. He lived in Alexandra township at first but later moved in with close friend Walter Sisulu and Sisulu's mother in Orlando, Soweto.


5. Mandela's first wife, Evelyn Mase, was a nurse and Sisulu's cousin. She was the breadwinner in the family and supported Mandela while he studied law at Wits University and became further involved in politics. They had four children together and divorced in 1958.


6. He was not only the first commander in chief of the ANC's armed wing, Umkhonto we Sizwe, but was also, together with Oliver Tambo, co-founder of the country's first black law firm, Mandela & Tambo, which defended people affected by apartheid laws.


7. In 1962, he left the country to garner support for the armed struggle. During this time he received guerilla training in Morocco and Ethiopia.


8. The circumstances surrounding his arrest at a police roadblock outside of Howick later that year remain unclear but it is believed that an American CIA agent tipped off the police about his whereabouts. He was convicted of sabotage and attempting to violently overthrow the government.


9. During his time in prison, Mandela was restricted to a 2m x 2.5m cell, with nothing but a bedroll on the floor and a bucket for sanitation in it. He was consigned to hard labour in a lime quarry for much of that time and was, at first, only allowed one visitor and one letter every six months.


10. The apartheid government offered to release Mandela on no less than six occasions but he rejected them each time. On one such occasion Mandela released a statement saying: "I cherish my own freedom dearly, but I care even more for your freedom ... What freedom am I being offered while the organisation of the people [the ANC] remains banned?"


11. Mandela wrote a memoir during the 70s, copies of which were wrapped in plastic containers and buried in a vegetable garden which he kept at prison. It was hoped that fellow prisoner Mac Maharaj, who was due for release, would be able to smuggle it out. But the containers were discovered when prison authorities began building a wall through the garden. As punishment, Mandela's study privileges were revoked.


12. After he was separated from his second wife, Winnie Madikizela-Mandela, he asked struggle stalwart Amina Cachalia, with whom he had a long relationship, to marry him but she turned him down. On his 80th birthday, Mandela married Graça Machel, the widow of Mozambique's former president Samora Machel.


13. The ANC was labelled a terrorist organisation by the apartheid government and was recognised as such by countries including the US and Britain. It was only in 2008 that the United States finally removed Mandela and other ANC members from its terror list.


14. The United Nations declared his birthday, July 18, Nelson Mandela International Day. This was the first time the UN dedicated a particular day to a person.


15. Hundreds of awards and honours have been bestowed on Mandela. Among others, he is an honorary citizen of Canada, an honorary member of the British Labour Party, and an honorary member of Manchester United. He also had a nuclear particle (the 'Mandela particle'), a prehistoric woodpecker (Australopicus nelsonmandelai) and an orchid (Paravanda Nelson Mandela) named after him.

SOURCE :  MG

HATIMAYE LULU AFANYA INTERVIEW YA KWANZA TANGU ATOKE JELA, UTAIPATA HAPA

Hatimaye mwanadada Elizabeth Michael a.k.a Lulu amefanya interview yake ya kwanza rasmi baada ya kipindi cha takribani mwaka mmoja na nusu toka atoke jela. Katika kipindi hicho kitakachorushwa hivi karibuni lulu ameongelea mambo mengi sana hasahasa experience yake ya maisha ya jela na mambo
mengine mengi. Naye Lulu kupitia mtandao mmoja wa kijamii aliandika. “Kwa zaidi ya mwaka na nusu sasa!!!hii ni interview yangu ya kwanza baada ya kipindi chote hicho....thanks zamaradi….” Unahisi ameongelea mambo gani mengine? Tupe maoni yako
 TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

NIKKI LEE: MWANAMKE ALIYEFANYA MAPENZI NA WANAUME 5000 NDANI YA MIAKA 9

 
Ukishangaa ya Musa utayaona ya Firauni. Wakati wapo wanawake ambao hawapati salamu barabarani, Nikki Lee, 25 amevunja rekodi baada ya kutimiza idadi ya wanaume 5,000 aliofanya nao ngono.

Nikki ambaye aliibukia katika fani ya urembo anasema alifanya vitendo hivyo kwa muda wa miaka tisa sehemu mbalimbali alizokuwa akitembelea.

Anasema alikuwa anafanya ngono katika klabu za usiku, ndani ya ndege, mbuga za wanyama, sehemu za kupaki magari, ndani ya gari, sinema na disko.

Anasema kwamba alianza kufanya hivyo tangu alipotolewa bikira yake akiwa na umri wa miaka 16.

Anasema aliweza kufanya ngono na wanaume wawili kwa siku. "Nilikuwa nasikia raha  ya ajabu na ndiyo maana nilipenda kufanya ngono wakati wote," anasema Nikki. 



Alipokuwa na miaka 21 alifikisha idadi ya wapenzi 2,289 ambao alikuwa amewaandika katika kitabu chake chekundu.

"Hakuna mwanaume aliyepita mbele yangu asinitamani kwa waliotaka kufanya nami mapenzi nilifanya hivyo, kwa sasa nimeathirika na ngono," anasema Nikki.

DENTI WA KIKE APEWA KICHAPO CHA MBWA MWITU BAADA YA WAZAZI WAKE KUMNASA AKIWA GEST HOUSE NA MPENZI WAKE

Mwanafunzi mmoja amefumaniwa katika nyumba moja ya wageni (guest house) hapo jana, tarehe 29/6/2013 majira ya saa nane mchana katika eneo la Yombo Vituka jijini Dar es salaam.

Hata hivyo mfumaniwa mwenzake  ( mwanaume ) hajakamatwa kwani aliponyoka na kukimbia.
Wazazi wenye  uchungu na hasira wakiwa na binti yao mara baada ya fumanizi.
Wazazi wakimpiga binti yao kwa uchungu na hasira mara baada ya fumanizi.
(Picha zote na maelezo yameletwa na Dei Misana- Wavuti.com)

GEORGE BUSH NA MKEWE KUTUA NCHINI KESHO


RAIS mstaafu wa Marekani, George W. Bush na mkewe, Laura wanatarajiwa kesho kuwa nchini kuhutubia kongamano linalojadili wajibu wa wake wa marais katika kuinua wanawake duniani.


Kuwasili kwa Bush, ni mwendelezo wa wiki hii Jiji la Dar es Salaam kuwa katika pilikapilika za kupokea ugeni wa watu maarufu. Kongamano hilo limeandaliwa na Taasisi ya George Bush na litafanyika kesho na keshokutwa.

Taarifa iliyotolewa na taasisi hiyo kwa vyombo vya habari , inasema kongamano hilo litahudhuriwa na wake mbalimbali wa marais akiwemo mke wa Rais wa Marekani, Michelle Obama.


Pia Mwanzilishi wa Taasisi ya Wanawake ya Cherie, Cherie Blair atahudhuria. Wake wa marais wa Afrika watakaohudhuria ni Mama Salma Kikwete, Chantal Campaore wa Burkina Faso, Roman Tesfaye wa Ethiopia, Maria da Luz Dai Guebuza (Msumbiji), Penehupifo Pohamba (Namibia), Sia Nyama Koroma (Sierra Leone), Janet Museveni (Uganda) na Christine Kaseba wa Zambia.


Kongamano hilo litajikita zaidi katika kujadili masuala ya kuwekeza kwa wake, kuimarisha Afrika lakini pia wajibu wa wake wa marais katika kuhamasisha wanawake katika maeneo ya elimu, afya na kuwakwamua kiuchumi.


“Kongamano hili litawakutanisha pamoja wake wa marais kutoka nchi mbalimbali duniani, maofisa wa Serikali, mashirika binafsi, Asasi zisizo za Kiserikali (NGOs) na wasomi kwa ajili ya kujadili mambo muhimu ya kuchukuliwa hatua ili kuweza kuwanufaisha wanawake,” ilisema taarifa hiyo.




Aidha mada zitakazowasilishwa na kujadiliwa katika kongamano hilo ni pamoja na kuinua wajasiriamali wanawake kiuchumi kupitia mafunzo na teknolojia, kuwapatia fursa wanawake wakulima kupata mafunzo ya kilimo cha kisasa, mafunzo kuhusu saratani ya matiti na umuhimu wa elimu kwa wanawake.


Amani, utulivu na uimara wa mfumo wa demokrasia ni miongoni mwa mambo yanayotajwa kuvutia viongozi hao wa kimataifa kuja nchini.

WAGHANA WAMLAANI NANDO WA TANZANIA KWA KUZINI NA DEMU WAO ( SELLY) NDANI YA BBA......MAMA MZAZI WA BINTI AMTETEA

 
Wiki iliyopita wapenzi Nando wa Tanzania na Selly wa Ghana  waliucheza ule mchezo wa kikubwa   katika Big Brother ‘The Chase’ inayoendelea, na inasemekana baada ya Ghana na Afrika kwa ujumla kushuhudia mechi hiyo ya kirafiki watu wa karibu na mpenzi wa Selly wamemshauri ampige kibuti.


Wote tunafahamu kwamba washiriki wote wa BBA wana maisha yao nje ya Big Brother na inawezekana kila mmoja anamahusiano huko alikotoka, lakini mission iliyowapeleka BBA ‘The Chase’ ni kushinda $300,000 inayomsubiri kinara mmoja, na ili kupenya njia nyembamba za kuufikia ushindi kila mmoja anajitahidi kufumba macho na kujisahaulisha kama camera ziko on ili aweze ku accomplish mission hiyo bila kujali njia anazotumia.


Baada ya video clip ya wapenzi wa BBA The chase Nando na Selly wakifanya mapenzi kusambaa ,baadhi ya watu wa karibu na boyfriend wa Selly wa Ghana wametoa maoni yao juu ya kitendo hicho cha ‘aibu’.


Steven Fiawoo maarufu nchini Ghana kama Praye Tiatia ndiye boyfriend wa Selly, na ni msanii maarufu nchini humo.
Praye na Selly


Kwa mujibu wa mtandao wa News One wa Ghana, CEO wa Record lebel ya nchini humo iitwayo Bull Haus Entertainment, Bull Dog ni kati ya watu ambao wametoa maoni yao juu ya kitendo alichokifanya shemeji yao ‘Selly’, na kusema kwamba kama yeye angekuwa Praye (something that will never be) angevunja mahusiano na Selly bila kujali sababu za kufanya hivyo.


“One thing I will note is that the BBA is just a game and there is no way I’m going to agree that my girlfriend or wife will go there and have sex in order to bring home that money. If I do that, then it means I’m lazy as a man and I’m unable to take care of my girlfriend or wife. Let us not forget the Praye Tiatia is a celebrity,” Alisema Bull Dog.


Katika Interview aliyofanyiwa na mtandao huo, Bull Dog alimshauri Praye aachane na Selly kwasababu yeye ni mtu maarufu na amemtia aibu kwa kiasi kikubwa kwa kufanya mapenzi na Nando huku karibia Afrika nzima ikishuhudia kupitia TV zao.

“Maybe if it was just a kiss I would have let it go but going to the extent of having sex? Not me, I won’t allow that because the whole world saw you giving it out willingly.” Aliongeza Bull Dog.


Kwa mujibu wa Ghana Web Mama mzazi wa Selly aitwaye Benedicta Galley amemtetea binti yake kuhusiana na maneno yanayozungumzwa na watu kwa kitendo alichokifanya.

 Akizungumza exclusive na kituo cha Peace FM, Mrs Galley alisema yeye haamini kama mwanae na Nando wali fanya  mapenzi, sababu alichokiona katika video ni wawili hao wamejifunika blanketi hivyo hata ‘biggie’ hana ushahidi wa kilichokuwa kinaendelea chini ya blanketi hivyo watu wasimhukumu binti yake.


“In the Big Brother house things are not that open especially about the romantic scenes for everybody to see that people are having sexy openly because everything is done under the blanket. We always see male and females together so for me I don’t think they had sex as it is being speculated all over”. Alisema.


Benedecta aliongeza kuwa amefurahishwa na kitendo cha boyfriend wa Selly, Praye Tiatia kukataa kutoa maoni yake kuhusu swala hilo na kuwa anamsubiri Selly atakaporudi 
Ghana ampe nafasi kuelezea ukweli wa kilichotokea.
 
Couple nyingine ambayo video clip ilivuja ikionesha wakikata kiu ya viungo viwili muhimu vya mwili ni Betty ambaye tayari ameshauaga mchezo pamoja na Bolt.

LOWASSA AMTAKA OBAMA ASIZUNGUMZIE MAMBO YA USHOGA NA NDOA ZA JINSIA MOJA AKIWA TANZANIA


Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo yaNje na Ushirikiano wa Kimataifa, Edward Lowassa, amemtahadhalisha kujiepusha na kauli za kuunga mkono ushoga.
 
Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, ameliambia NIPASHE Jumapili ofisini kwake jijini hapa jana kuwa ushoga na hai za ndoa kwa watu wa jinsia moja vinaweza `kuiharibu’ ziara yake hapa nchini.
Mapema wiki hii, Rais Obama alikaririwa akizungumzia masuala hayo yanayotajwa kuwa ni moja ya haki za msingi za binadamu, alipokuwa Senegal, lakini akapingwa.
 
“Watanzania hawatalikubali na wataendelea kushikilia uhuru na heshima walizojengewa tangu awali, kwamba ushoga na ndoa za jinsia moja havikubaliki,” alisema.
Akiwa Senegal, Rais Obama alitaka serikali za Afrika kutoa haki kwa mashoga kama inavyotoa kwa raia wengine.
 
"Ninachotegemea, I pray and hope (ninasali na kutegemea) kwamba kuhusu mashoga na ndoa za jinsia moja, Rais Obama hatarudia kauli aliyoitoa kule Senegal,” alisema.
Aliongeza, "ninasema hivi kwa sababu Tanzania hatuamini katika ushoga, na endapo utawalazimisha Watanzania, watakukatalia na kushikilia uhuru na heshima waliyojengewa toka awali."
AHIMIZA MAPOKEZI MAZURI
Hata hivyo, Lowassa aliwataka Watanzania kuiheshimu na kuitumiavema fursa ya kutembelewa na Rais Obama, hivyo wajitokeze kumlaki kwa wingi.
 
"Tutambue mataifa makubwa yanakimbilia maslahi ya karne inayofuata, kwa mfano Rais wa China, Xi Jiping siku moja baada ya kuapishwa kwake alikuja hapa nchini, " alisema.
 
Hivyo, alitoa wito kwa Watanzania kuhakikisha maslahi na fursa za kiuchumi zinakuwa za kwanza kulindwa, kwa kuwa ziara hiyo itafungua milango zaidi kwa wawekezaji kuja nchini.
 
Pia, Lowassa alisema ziara ya Rais Obama ni kielelezo cha amani na usalama uliopo, na kwamba itasaidia kuwavutia watalii na wadau wa sekta nyingine za maendeleo kuitembelea Tanzania.
KITUO CHA KIJESHI
Kuhusu hofu na tetesi kuwa ziara hiyo imelenga taifa hilo kuja hapa nchini kufungua kituo cha kujiimarisha kiulinzi, Lowassa alisema Watanzania wanapaswa kufahamu kuwa tayari nchi hiyo ina kituo cha kijeshi nchini Kenya.

"Tuangalie maslahi yetu tuachane na mitazamo hasi, kama ni kituo cha kijeshi tayari kipo Kenya, tujiulize kwa nini marais wa Marekani Bill Clinton na George Bush walivyofanyaziara zao hapa nchini hawakwenda Kenya," alisema.
WALINZI WA NDANI KUWEKWA KANDO
Kuhusu ziara hiyo kutumia ulinzi wa kimataifa huku majeshi ya Tanzania yakiwekwa kando kwa ushiriki wa moja kwa moja, Lowassa alisema Rais wa Marekani ana kiwango cha juu cha ulinzi unaosimamiwa na nchiyake pekee.
 
"Ni sahihi walinzi wetu kukaa pembeni, huyu ni kama Rais wa dunia, lakini hata majeshi yetu yanafanya kazi ya ulinzi lakini sio kwamba yatakaa nyuma tu," alisema.
 
SUMAYE: TUMKARIBISHE
Naye, Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye, alisema ziara ya Rais Obama haina ujumbe zaidi ya kuhimiza watu wajitokeze kumpokea.
 
Hata hivyo, Sumaye alikwepa kuzungumzia kwa undani hatua ya kuwafukuza wafanyabiashara kutoka kandoni mwa barabara, ili kupisha mapokezi ya Rais Obama.
 
“Ninachokielewa ni kuwa barabara ambazo wanapita viongozi kama Rais Obama zinatakiwa kuwa katikahali ya usalama na hivyo kutakiwa kuboreshwa,” alisema.
LIPUMBA: MAFANIKIO NI MADOGO KIUCHUMI
Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF) Profesa Ibrahim Lipumba, alisema mafanikio ya ziaraya Rais Obama yapo katika kujitangaza kimataifa kuliko kiuchumi.
 
Profesa Lipumba ambaye ni mchumi aliyebobea, alisema changamoto iliyopo ni kwamba bado biashara kati ya nchi mbili hizo siyo kubwa kama ilivyo kwa nchi kama China na Tanzania.
 
Alitolea mfano, mwaka 2012 bidhaa za hapa nchini zilizouzwa Marekani zilikuwa na thamani ya Dola milioni 66 ikilinganishwa na zile zilizouzwa China ambapo zilikuwa ni zaidi ya Dola milioni 500.
 
Alisema bidhaa zilizoagizwa kutoka Marekani zilikuwa na thamani ya Dola milioni 230 huku za kutoka China zikiwa na thamani ya zaidi ya Dola milioni 1,100.
"Utakubaliana nami kuwa mahusiano yetu na China ni makubwa kuliko Marekani licha ya nchi hii kutoa fursa kwetu ambazo hatujazitumia ipasavyo," alisema
 
Profesa Lipumba alisema Marekani kupitia mpango wake wa kusaidia Maendeleo ya Afrika (AGOA), ulitoa fursa kwa bidhaa za Afrika kuuzwa nchini humo bila ushuru, lakini Tanzania haikuitumia.
Pia alisema utawala wa George Bush, uliisaidia Tanzania kupitia Mfuko wa Changamoto za Milenia (Millenium Challenge Compact (MCC) kupewa Dola milioni 700 kwa ajili ya kusaidia miundombinu na ujenzi wa nyaya za umeme kutoka bandarini hadi Zanzibar.
"Pana uwezekano wa mpango wa pili wa MCC, Tanzania ikapata msaada wa kuimarisha miundombinu ya umeme, lakini pia kampuni za Marekani kuja kuwekeza hapa kwetu," alisema.
 
Alisema uwekezaji wa kampuni hizoutategemeana na wafanyabiashara wa hapa nchini pamoja na serikali kutumia fursa mbalimbali za nchi hiyo.
 
Katika hatua nyingine, Profesa Lipumba alisema ili nchi iweze kujikwamua na umasikini itatokana na jinsi itakavyotumia sera na juhudina siyo kutegemea msaada kutoka nje.
 
HOTELI ZIMEJAA
Wingi wa wageni wakiwamo watakaofika kwa ajili ya ziara ya Rais Obama, umesababisha hoteli nyingi za jijini Dar es Salaam `kujaa’.
 
Uchunguzi wa NIPASHE Jumapili ulibaini kwamba kwa zaidi ya wiki sasa, hoteli nyingi hazikupokea wageni kutokana na kile kilichoelezwa kuwa, nyingine zililipiwa ingawa vyumba havikutumika kwa wakati.
 
POLISI: WASIO NA KAZI WASIJE MJINI
Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohammed Mpinga, amewataka wananchi ambao hawatakuwa na mambo muhimu ya kufanya katikati ya jiji, wasifike huko kupunguza msongamano wa watu na magari baada ya kuwasili kwa Rais Obama.
 
Alisema, baadhi ya barabara zitafungwa kwa muda kwa ajili ya viongozi kuzitumia, hivyo kusababisha msongamano.
 
Hekaheka zimetanda jijini Dar es Salaam, ikiwa ni zaidi ya saa 24 kabla ya kuwasili kwa Rais Barack Obama.
 
Rais Obama, atawasili nchini kesho akitokea Afrika Kusini, ambapo pamoja na mambo mengine, alizungumza katika mkutano wa ‘viongozi vijana wa Afrika’ na kujibu maswali kutoka nchi tofauti.
 
Mkutano huo ulifanyika jana jioni huko Soweto nchini Afrika Kusini, ambapo alipokewaa na kujibu maswali kutoka Kenya, Uganda, Nigeria na Afrika Kusini kwenyewe.
 
Jijini Dar es Salaam, shughuli kadhaazikiwamo za ulinzi na usalama, zinafanyika kwa kasi na umakini kuhakikisha ziara ya Rais Obama inafanyika pasipo bughudha. kujibu maswali kutoka Kenya, Uganda, Nigeria na Afrika Kusini kwenyewe.
 
Jijini Dar es Salaam, shughuli kadhaazikiwamo za ulinzi na usalama, zinafanyika kwa kasi na umakini kuhakikisha ziara ya Rais Obama inafanyika pasipo bughudha.
 
Hata hivyo, sehemu kubwa inayohusu masuala ya itifaki, ulinzi na usalama yanafanywa na taasisi za Marekani, kwa kuzishirikisha taasisi za ndani kwa kiwango kidogo.
 
“Hawa jamaa (Wamarekani) wanapoingia nchi yeyote wakiwa naRais wao, shughuli nyingi na uamuzi wanafanya wao, sisi wa ndani inakuwa kushirikishwa kwa kiasi kidogo,” kilieleza chanzo cha NIPASHE Jumapili kutoka moja ya taasisi zinahusika katika ziara hiyo.
 
Maeneo kadhaa ya jijini humo, yaliendelea kudhibitiwa kwa ulinzi mkali na doria za mara kwa mara, huku kandoni mwa baadhi ya barabara wakionekana askari wa Jeshi la Wananchi (JWTZ).
 
Mathalani, kandoni mwa barabara ya Morogoro, eneo la Ubungo, walionekana askari wa JWTZ maarufu kama MP.
 
Shughuli nyingine zimehusisha pia operesheni zinazofanywa na polisi kwa kusaidiana na mgambo wa jiji, kuhakikisha watu na bidhaa zilizopokandoni mwa barabara zitakazotumika kwa ziara ya Rais Obama, vinaondolewa.
 
Magari yaliyowabeba polisi wenye silaha za moto na mabomu ya machozi, yalionekana katika mitaa kadhaa jijini humu, wakihakikisha operesheni hiyo inafanyika pasipo kikwazo kutoka kwa wahusika.
 
Kila palipofanyika operesheni hiyo, baadhi ya askari walifanya doria zamu kwa zamu, kuhakikisha kuwa bidhaa na watu walioondolewa, hawarejei.
 
Hata hivyo, waathirika katika operesheni hiyo walieleza kutofurahia, huku wakihoji ni kwa nini serikali haikuwaandalia mazingira mbadala kabla ya utekelezaji wake. 
  Walisema miongoni mwao, wamekopa mitaji kutoka kwenye taasisi za kifedha, hivyo kusimamisha biashara zao ili kupisha ujio wa Rais Obama, kutawaweka katika hali ngumu kiuchumi.
 
“Ikiwa ujio wa Rais Obama unatutesa wafanyabiashara kiasi hiki, ni vigumu kuhimili maisha yetu, kwa sababu hatujui hatma yetu baada ya yeye kuondoka,” alisema mfanyabiashara Zena Rashidi wa Kariakoo.
 
Hata hivyo, wamachinga walionekana jana katika kituo cha mabasi cha Mwenge walipofukuzwa, wakiwa wanaendelea na biashara zao.
Lakini walifanya hivyo kwa tahadhali ikiwamo kushika bidhaa chache mikononi, huku wakitumia 'janja' ya kupiga kelele za 'kumsifia' Rais Obama.
 
Walisikika miongoni mwao wakisema, 'praise to Obama' na wengine wakaitikia 'aaamen'. Walifanya hivyo zamu kwa zamu, lakini haikujulisha waliashiria nini.
 

BARABARA ZAPAMBWA
Aidha, barabara zote atakazopita Obama wakati wa ziara yake zimepambwa kwa bendera za Marekani na Tanzania; huku zikinakshiwa kwa picha yake ambayo imeandikwa 'President Barack Obama' karibu Tanzania.
 
Barabara hizo ni ile ya Nyerere kuanzia uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius K. Nyerere, Ali Hassan Mwinyi, Mwai Kibaki na Bagamoyo.
NIPASHE Jumapili imeshuhudia pichana bendera hizo zikiwa zimewekwa kwenye mabango yote yaliyo barabarani kuanzia Ikulu hadi kwenye barabara hizo huku usafi wa jiji ukionekana kuimarika zaidi.
 
Jana gazeti hili lilishuhudia karibu barabara zote, vijana wanaofanyakazi ya kuweka bendera na picha ya Obama wakifanyakazi hiyo.
CHANZO: NIPASHE JUMAPILI
TOA MAONI YAKO HAPA

BRAZIL NI NOMA WAMFANYA VIBAYA SPAIN NA KUTWAA KOMBE LA MABARA


Timu ya Taifa ya Brazil usiku wa saa 8 kuelekea sas 9 kwa saa za Afrika Mashariki waliweza kuwafunga Mabingwa wa Dunia na Mabigwa wa Ulaya timu ya Taifa ya Spain jumla ya Magoli 3-0 katika mchezo wa fainali ya kombe la Mabara na hivyo kuitimisha rekodi ya Spain ya kutofungwa mara 29 katika michezo ya ushindani.

 

Waliopeleka kilio cha Magoli kunako timu ya Spain walikuwa ni Fred aliefunga Magoli mawili huku lingine likitiwa nyavuni na Mchezaji anaekuja juu kwa sasa Neymar.

 



TOA MAONI YAKO HAPA

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...