facebook likes

Thursday, September 19, 2013

President Obama Speaks to the Business Roundtable

President delivers remarks to members of the Business Roundtable.



Iran yasisitiza kuwa haina mpango wa kutengeneza silaha za nyuklia

Rais mpya wa Iran Hassan Rowhani amesisitiza kuwa nchi yake kamwe haitakua na mpango wa kutengeneza silaha za nyuklia kama ambavyo imekuwa ikidaiwa na Marekani na nchi za magharibi.

Rais mpya wa Iran Hassan Rowhani
SOMA ZAIDI.........

SHEREHE YA KUSAINI MABALOZI WA HESHIMA NCHINI MAREKANI

Rais Dkt Jakaya Kikwete akiongea machache kuwashukuru Mabalozi wa Heshima kwa kukubali kwao kuitangaza Tanzania nchini Marekani na kusema sio kazi rahisi lakini ana Imani nao na aliwatakia kila la kheri ya kuwa na nia thabiti ya kuitangaza Tanzania nchini Marekani.
SOMA ZAIDI....

HATIMAYE RAY C ANUNUA GARI JIPYA...LITIZAME HAPA

STAA wa Bongo Fleva Rehema Chalamila‘Ray C’ameuanika ‘mkoko’(gari) wake ambao anatembelea kwa sasa aina ya Jaguar ambalo namba zake za usajili hazionekani vizuri ila mwishoni zinasomeka T…CHL,huku akiandika kwenye instragram kuwa… Jaguar don't care...CHL means Chalamila Family..... 
ANGALIA PICHA ZAIDI...

HIVI NDIVYO CLOUD ALIVYO JIBADILISHA NA KUWA MZEE ILI AWEZE KUCHEZA FILM YAKE MPYA DR.MAX

ANGALIA PICHA ZAIDI.....

TANZANIA YAMKATAA BALOZI MPYA WA UJERUMANI

Dar es Salaam. Tanzania imemkataa Balozi mteule wa Ujerumani ambaye alitakiwa kuja kufanya kazi nchini.
SOMA ZAIDI,.....

VIGOGO WA SERIKALI,MBUNGE WATUHUMIWA WIZI WA MAFUTA TPA...


Underwater pipelineBAADA ya siku chache wavuti hii kuripoti juu ya tamko la Waziri Mwakyembe kutaka uongozi wa Mamlaka ya Bandari (TPA) kutaja majina ya wezi wa mafuta toka bomba kuu la serikali, imebainika kuwa  vigogo wa serikali  akiwemo mbunge mmoja wa CCM wanadaiwa kumiliki vituo vya mafuta, kando kando ya Bahari ya Hindi wametajwa kuwa vinara wa hujuma na wizi wa mafuta kwenye bomba kubwa la TPA.




Akizungumza na mwandishi wetu jana kwa sharti la kutotajwa jina lake, mmoja wa wafanyakazi wa kituo cha mafuta kilichoko kandokando ya Bahari ya Hindi alikiri kuwepo kwa hujuma hiyo hasa kwa vituo vya mafuta.
SOMA ZAIDI......

Agness Masogange ameachiwa kutoka kwenye mikono ya polisi huko South Africa.

masogange2
Video model Agness Gerald maarufu kama “Agness Masogange” ambaye ililipotiwa kwamba yeye pamoja na mdogo wake wamekamatwa nchini South Africa wakiwa na mzigo wa dawa za kulevya. 
SOMA ZAIDI...

Van Vicker aingia Tanzania kuigiza bongomovie, Hashimu Kambi aelezea kuhusu movie hiyo

v
Van Vicker muigizaji kutoka Ghana ambaye anafanya vizuri hadi nchini Nigeria ameingia Tanzania jumapili iliyopita na anaondoka leo tarehe 19/9 kurudi kwao Ghana. 
SOMA ZAIDI.....

Angalia video ya model Ally Daxx alivyoshiriki kwenye TV show ya “The Link” huko South Africa.

daxxmodelMwanamitindo wa Tanzania ambaye anafanya kazi South Africa ameshirikishwa kwenye moja ya show maarufu huko bondeni inaitwa The Link. Show hii ina kipengele ambacho kinahusisha models wa kiume, kipengele hicho kinaitwa “Hunk of the week”.Kwenye episode ya 24 ndiyo Ally Daxx amehusika. Unaweza kuangalia hapa.....

Hatimaye BBM application kupatikana kwenye Android na iOS weekend hii

blackberry-messenger-logoBaada ya muda hatimaye BBM itapatika weekend hii kwenye simu za Android na iOS. Upatikana ji wa BBM kwenye platform nyingine ulitangazwa mapema mwaka huu na C.E.O Thorsten. 
SOMA ZAIDI....

NEWZ# BABA AFIKISHWA MAHAKAMANI BAADA YA KUMBAKA MWANAE

MKAZI wa Kijiji cha Njoro wilayani Kiteto mkoani Manyara, Mohamed Ally (42) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi kwa tuhuma za kumbaka mtoto wake wa kufikia.
SOMA ZAIDI.....

LAANA: BABU WA MIAKA 95 AMUOA BABU MWENZIE WA MIAKA 65 HUKO NCHINI MAREKANI..!!

Wanaume wawili wazee ambao ni maaskari wakongwe walioshiriki vita ya pili ya dunia, ijumaa iliyopita (September 13) walifunga ndoa ya jinsia moja (mashoga) baada ya kuwa katika uhusiano kwa miaka 20 kabla ya kufikia uamuzi wa kuoana.
SOMA ZAIDI.....

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...