News, Events, Entertainment, Sports, Lifestyle, Fashion,politics, Beauty, Inspiration and yes... Gossip!
facebook likes
Thursday, September 19, 2013
Iran yasisitiza kuwa haina mpango wa kutengeneza silaha za nyuklia
Rais mpya wa Iran Hassan Rowhani amesisitiza kuwa nchi yake kamwe haitakua na mpango wa kutengeneza silaha za nyuklia kama ambavyo imekuwa ikidaiwa na Marekani na nchi za magharibi.

SOMA ZAIDI.........
SHEREHE YA KUSAINI MABALOZI WA HESHIMA NCHINI MAREKANI
SOMA ZAIDI....
HATIMAYE RAY C ANUNUA GARI JIPYA...LITIZAME HAPA

ANGALIA PICHA ZAIDI...
TANZANIA YAMKATAA BALOZI MPYA WA UJERUMANI

SOMA ZAIDI,.....
VIGOGO WA SERIKALI,MBUNGE WATUHUMIWA WIZI WA MAFUTA TPA...

Akizungumza na mwandishi wetu jana kwa sharti la kutotajwa jina lake, mmoja wa wafanyakazi wa kituo cha mafuta kilichoko kandokando ya Bahari ya Hindi alikiri kuwepo kwa hujuma hiyo hasa kwa vituo vya mafuta.
SOMA ZAIDI......
SOMA ZAIDI......
Agness Masogange ameachiwa kutoka kwenye mikono ya polisi huko South Africa.
Video model Agness Gerald maarufu kama “Agness Masogange” ambaye ililipotiwa kwamba yeye pamoja na mdogo wake wamekamatwa nchini South Africa wakiwa na mzigo wa dawa za kulevya.
SOMA ZAIDI...
Van Vicker aingia Tanzania kuigiza bongomovie, Hashimu Kambi aelezea kuhusu movie hiyo
Van Vicker muigizaji kutoka Ghana ambaye anafanya vizuri hadi nchini Nigeria ameingia Tanzania jumapili iliyopita na anaondoka leo tarehe 19/9 kurudi kwao Ghana.
SOMA ZAIDI.....
Angalia video ya model Ally Daxx alivyoshiriki kwenye TV show ya “The Link” huko South Africa.

Hatimaye BBM application kupatikana kwenye Android na iOS weekend hii
NEWZ# BABA AFIKISHWA MAHAKAMANI BAADA YA KUMBAKA MWANAE
MKAZI wa Kijiji cha Njoro wilayani Kiteto mkoani Manyara, Mohamed Ally (42) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi kwa tuhuma za kumbaka mtoto wake wa kufikia.
SOMA ZAIDI.....
LAANA: BABU WA MIAKA 95 AMUOA BABU MWENZIE WA MIAKA 65 HUKO NCHINI MAREKANI..!!
Wanaume wawili wazee ambao ni maaskari wakongwe walioshiriki vita ya pili ya dunia, ijumaa iliyopita (September 13) walifunga ndoa ya jinsia moja (mashoga) baada ya kuwa katika uhusiano kwa miaka 20 kabla ya kufikia uamuzi wa kuoana.
SOMA ZAIDI.....
Subscribe to:
Posts (Atom)