facebook likes

Tuesday, February 12, 2013

NYIMBO 2 MPYA ZA WAREMBO WA BONGO FLEVA LEO, FEZA KESSY NA DYNA ZIKO HAPA




Dyna.
THANKS TO MILLARDAYO

KILICHOSEMWA NA VIONGOZI MBALIMBALI BAADA YA PAPA KUTANGAZA KUJIUZULU


Msemaji wa serikali Ujerumani amesema anaheshimu kazi kubwa iliyofanywa na Papa huyu aliyezaliwa katika Jimbo la Bavaria ndani ya nchi hiyo, Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron amemsifu Papa kwa jitihada zake za kuimarisha uhusiano wa Vatican na Uingereza.
Askofu mkuu wa Canterbury amesema amazipokea taarifa za kujiuzulu kwa Papa Benedict wa XVI kwa huzuni mkubwa ingawa anaelewa undani wa hatua yake, kiongozi wa Ujeremani Angela Merkel amesifu mchango wa Papa wa kupendekeza mjadala wa makanisa, waislamu na wayahudi.
Kasema uamuzi na hatua ya Papa Benedict XVI  kujiuzulu mwishoni mwa mwezi huu baada ya takriban miaka minane kuliongoza Kanisa Katoliki kwa hoja kuwa umri wake wa miaka 85 ni mkubwa kiasi kwamba hawezi kuendelea kuhudumu zaidi ya umri huo, ni sahihi

Makao makuu ya Kanisa Katoliki huko Vatican yanasema yanatarajia Papa mpya atachaguliwa kabla ya mwisho wa mwezi wa tatu na sherehe za Pasaka ambapo kama hufahamu, tabia ya kujiuzulu kwa Papa si ngeni, ingawa ni tukio jipya katika karne za hivi karibuni.

.
Mwandishi wa BBC Roma Alan Johnston anasema habari hizi zimetokea kama radi, hakukua natetesi yoyote juu ya uwezekano kama huu na hata msemaji wa Vatican Father Federico Lombardi amesema  hata wasaidizi wa Papa wa karibu mno hawakuwa na fununu juu ya tukio hili.
Kaka yake Papa akizungumza kutoka nyumbani kwake huko Regensburg Ujerumani, Georg Ratzinger amesema Papa alikuwa ameanza kupata shida kutembea.

Wakati wa kutawazwa kama Papa, Kadinali Joseph Ratzinger alikuwa mmojawapo wa mapapa wapya kuchaliwa akiwa mwenye na umri mkubwa wa miaka 78 na alitangazwa kuwa Papa Aprili 2005 kufuatia kifo cha marehemu John Paul wa pili.
Uongozi wake ulitokea wakati wa wimbi kali la ubakaji kulikumba kanisa katoliki katika kipindi cha miongo mingi, ubakaji uliofanywa na watawa dhidi ya watoto wavulana ambapo Papa amekaririwa akisema “baada ya kujichunguza binafsi na nafsi yangu mbele ya Mola wangu, nimefikia uwamuzi kua uwezo wangu na afya, ukiambatana na umri mkubwa, ni mambo yatakayokwaza jitihada zangu za kuendelea kuliongoza Kanisa Katoliki”
Kwa mujibu wa BBC Swahili walioiandaa hii ripoti, Kuna kipengele katika sheria ya Kanisa kinachosema kuwa kujiuzulu kwa Papa kunakubalika iwapo kitendo hicho kimefanywa kwa hiari na kwa utaratibu unaostahiki.

NU JOINT/ SOLO THING FT CHID BENZ "VIINI MACHO"


NAS NA DAMIAN MARLEY SOON KUTOA BURUDANI KALI TANZANIA

Rapper Nas na mtoto wa mwisho hayati Bob Marley maarufu kama Damian Marley tarehe 15 Feb na 16 feb wanatarajia kutua katika ardhi ya Kikwete kwa ajili ya ziara yao waliyoipa jina la Damian Marley- Nas African Tour. Kundi hilo kwa sasa wanatamba na album yao inayofanya vizuri hapa africa"Distance Relative"ambayo waliuza chini ya kopi milioni tano.

 Hii ni orodha ya nchini ambazo zimetajwa ambazo Nas na Damian wanatarajia kutoa burudani.

v Accra, Ghana
v Johannesburg, SA
v Cape Town, SA
v Dar-Es-Salaam, Tanzania
v Harare, Zimbabwe
v Nairobi, Kenya
v Kampala, Uganda
v Addis Ababa, Ethiopia........

WIZKID KWENYE HEADLINES MAPENZINI


.
Staa wa muziki kutoka Nigeria Wizkid ameanza kuonyesha makali yake baada ya kuandamwa na fununu za kwamba mapenzi ya jinsia moja yako ndani yake, yani ni shoga.
Taarifa kutoka Naija ni kwamba mrembo huyu Omotoni Omotayo ambae yuko chuoni Marekani ni mtoto wa tajiri mmoja wa Kinigeria, wanaishi Marekani.

.

KAMA WEWE NI SHABIKI WA DRAKE HII NDIYO VIDEO YAKE MPYA "STARTED FROM THE BOTTOM"


HAYA NDIO MATOKEO YA MECHI YA NDUGU ZETU LIVERPOOL FEB 11 2013


.

.

.

PICHA: OMMY DIMPOZ NA VANESSA WAZINDUA RASIMI VIDEO YA "ME AND YOU"

ommy dimpoz na vanessa mdee

ommy na d. platnumz
platnumz na warembo
ommy na dully

Davido becomes First Nigerian To Buy Blackberry 10: "Just Got Ma BB10"


The Omo Baba Olowo himself recently updated his twitter saying "Just Got Ma BB10" and according to reports which i totally disagree with, he's the first Nigerian to do so. But come to think it, did blackberry pay him to tweet that or haven't he heard of the word "Endorsement"? And even at that he needs to really grow up.

Nigerian celebs eh, una ways tire me oh. Make una learn small packaging abeg, even the ones when dem born for abroad na still the same blood, God go help us.

Actress Amanda Bynes calls Jay Z ugly...

The actress posted this on her twitter page and deleted it a few minutes later after she was bashed by Jay Z fans and people who found it offensive. She took it down but didn't apologize or offer an explanation. Who is Amanda Bynes again? :-)

Kim K and Kanye in Rio de Janeiro, Brazil

 
Kim and Kanye are currently holidaying in Brazil. The lovebirds visited the famous Cristo Redentor - Christ the Redemer - statue atop of Corcovado Mountain today. See more photos after the cut...




 


Basketmouth & D' African Kings of Comedy event to stream live


The African King of Comedy was 1st hosted in Lagos last year @ Eko Hotel,this 2nd instalment has been structured to be more universal in terms of viewing and participation which is why Barons Entertainment anf cokobar.com came together to stream the show live on the web.

The show will feature Kojo,Eddie Kadi,Ndumiso Lindi,Daliso Chaponda,Bovi,Timaya and Basketmouth as the host.

The show will witness an online live streaming on Beat 99.9 FM, www,diamondbank.com, www.cokobar.com and  www.basketmouth.tv

Live streaming starts @ 8pm Nigerian time and can be viewed worldwide.
The streaming is powered by Diamond Bank. 

Supported by Beat FM and Linda Ikeji.
www.basketmouth.tv

Pope Benedict XVI to resign on February 28th

Pope Benedict XVI will resign on February 28, 2013, a Vatican spokesman said today Monday February 11th. The 85-year-old German-born Pope said he was resigning because he no longer has the strength to fulfill the duties of his office. If the Pope resigns February 28th, he will be the first pontiff since Middle Ages to quit

See the Pope’s full resignation statement after the cut...

 

Dear Brothers,

I have convoked you to this Consistory, not only for the three canonizations, but also to communicate to you a decision of great importance for the life of the Church.

After having repeatedly examined my conscience before God, I have come to the certainty that my strengths, due to an advanced age, are no longer suited to an adequate exercise of the Petrine ministry.
I am well aware that this ministry, due to its essential spiritual nature, must be carried out not only with words and deeds, but no less with prayer and suffering.

However, in today’s world, subject to so many rapid changes and shaken by questions of deep relevance for the life of faith, in order to govern the bark of Saint Peter and proclaim the Gospel, both strength of mind and body are necessary, strength which in the last few months, has deteriorated in me to the extent that I have had to recognize my incapacity to adequately fulfill the ministry entrusted to me.

For this reason, and well aware of the seriousness of this act, with full freedom I declare that I renounce the ministry of Bishop of Rome, Successor of Saint Peter, entrusted to me by the Cardinals on 19 April 2005, in such a way, that as from 28 February 2013, at 20:00 hours, the See of Rome, the See of Saint Peter, will be vacant and a Conclave to elect the new Supreme Pontiff will have to be convoked by those whose competence it is.

Dear Brothers, I thank you most sincerely for all the love and work with which you have supported me in my ministry and I ask pardon for all my defects. And now, let us entrust the Holy Church to the care of Our Supreme Pastor, Our Lord Jesus Christ, and implore his holy Mother Mary, so that she may assist the Cardinal Fathers with her maternal solicitude, in electing a new Supreme Pontiff.

With regard to myself, I wish to also devotedly serve the Holy Church of God in the future through a life dedicated to prayer.

Quote of the day


"People don't have to believe in you for you to succeed. Just work hard, when you succeed, they will believe. - Coach Stephen Keshi

2013 Grammys: See The List of Winners

0210_clarkson_split



LOS ANGELES (AP) — List of awards presented during Sunday's telecast of the 55th annual Grammy Awards at Staples Center:
— Album of the year: "Babel," Mumford & Sons.
— Record of the year: "Somebody That I Used to Know," Gotye featuring Kimbra.
— Song of the year: "We Are Young," fun.
— New artist: fun.
— Pop solo performance: "Set Fire to the Rain (Live)," Adele.
— Pop vocal album: "Stronger," Kelly Clarkson.
— Rock performance: "Lonely Boy," The Black Keys.
— Urban contemporary album: "Channel Orange," Frank Ocean.
— Rap/sung collaboration: "No Church in the Wild," Jay-Z, Kanye West featuring Frank Ocean, The-Dream.
— Country solo performance: "Blown Away," Carrie Underwood.
— Country album: "Uncaged," Zac Brown Band.

GRAMMY AWARDS 2013 PICTURES OF AUDIENCE AND BACKSTAGE!!!






































COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...