facebook likes

Thursday, August 8, 2013

AZAM FC ILIVYOICHAPA KIDUDE MAMELODI LEO AFRIKA KUSINI, SALAMU ZAO YANGA...



Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar akimtoka beki wa Mamelodi Sundwon katika mchezo wa kirafiki leo kwenye Uwanja wa Mamelodi, uliopo Chloorkop, Johannesburg Afrika Kusini. Azam ilishinda 1-0. Azam itacheza na Yanga SC Agosti 17, katika mechi ya kuwania Ngao ya Jamii, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.   (picha kwa hisani ya binzubeiry)
....SOMA NA ANGALIA PICHA ZAIDI....


Sure Boy chini...


John Bocco na kipa wa Memelodi
Mfungaji wa bao pekee la Azam leo, Gaudence Mwaikimba katikati ya mabeki wa Azam  


Mwaikimba akishangilia bao lake
Seif Abdallah akimpongeza Mwaikimba


John Bocco alikuwa mwiba leo
Kipre Tchetche akigombea mpira na mchezaji wa Mamelodi


Kiungo wa Azam, Himid Mao akimtoka mchezaji wa Mamelodi


John Bocco anajianda kumtoka mtu


Sure Boy alionyesha kiwango leo


Jabir Aziz akiwatoka wachezaji wa Mamelodi


Kipa Aishi Manula akidaka vizuri leo na kuokoa michomo kadhaa ya hatari


John Bocco leo alishindwa kufunga tu, ila mabeki wa Mamelodi walimtambua


John Bocco akipambana


11 wa Azam FC walioanza leo 


11 wa Mamelodi walioanza leo                    source: bin zubeiry   

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...