THIS BLOG HAS BEEN CHANGED TO www.darsports.com PLEASE CLICK LINK TO VISIT.
BLOGU HII IMEBADILISHWA KUWA www.darsports.com TAFADHALI BOFYA KUTEMBELEA.
News, Events, Entertainment, Sports, Lifestyle, Fashion,politics, Beauty, Inspiration and yes... Gossip!
facebook likes
Showing posts with label NEWS. Show all posts
Showing posts with label NEWS. Show all posts
Tuesday, April 22, 2014
Sunday, October 20, 2013
UFOO SARO..."NIKIPONA NITAWEKA KILA KITU WAZI"
Mtangazaji
wa Kituo cha televisheni cha ITV, Ufoo Saro, ambaye alijeruhiwa kwa
kupigwa risasi na mzazi mwenzake Jumapili iliyopita, ameahidi kutoa ya
moyoni atakapopona na kuruhusiwa kutoka hospitalini.Ufoo ambaye
amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, kitengo cha moyo tangu
wiki iliyopita kutokana na majeraha ya risasi, afya yake inazidi
kuimarika na sasa ameanza kula mwenyewe na kufanya mazoezi ya kutembea.
SOMA ZAIDI..........
SOMA ZAIDI..........
Nicki Minaj Na Gari Yake Ya Pink Anayoipenda Zaidi.
Picha Zaidi Ziko Hapa.....
SIMANZII!! .....AUAWA KWA KUKATWA KICHWA NA KISHA KUTUPWA MITA CHACHE KUTOKA NYUMBANI KWAKE...SOMA ZAIDI!!!
Baadhi ya majirani wakiwa jirani na mwili wa marehemu Seba wakisubiri polisi kuja kuuchukua mwili huo
SOMA ZAIDI....
YOUNG DEE AKANUSHA SKENDO YA KUTUMIA MADAWA YA KULEVYA...!!SOMA ZAIDI HAPA
DownLoad Na Sikiliza Wimbo Mpya Wa Nikki Mbishi - Yote Sawa
SIKILIZA NA DOWNLOAD HAPA....
CCECC YA CHINA YAONYESHA NIA KUJENGA RELI YA KATI

KAMPUNI ya ujenzi na uhandisi wa
majengo ya China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC)
imesema iko tayari kuja Tanzania na kujenga upya reli ya kati ili iwe ya
kisasa zaidi endapo wataombwa wafanye hivyo.
SOMA ZAIDI....
ANKO J... JULIUS NYAISANGA AFARIKI DUNIA....
Kaimu Meneja wa Abood Media Abeid Dogoli amethibitishia kwamba ni kweli mtangazaji wa siku nyingi Tanzania Julius
Nyaisanga amefariki dunia leo asubuhi.
Amesema Nyaisanga alipelekwa hospitali ya Mazimbu Morogoro jana saa nane mchana kutokana na kusumbuliwa na Kisukari pamoja na presha ambapo asubuhi ya leo October 20 2013 ndio akafariki dunia.
Mara yake ya mwisho kuingia ofisini ilikua juzi japo alikua ameanza likizo toka October 12 ambapo huu ulikua ni mwaka wake wa tatu toka ameanza kufanya kazi na Abood Media ya Morogoro kama Meneja wa kituo.
2. AMEACHA MJANE NA WATOTO 3
3. MWILI UNAELEKEA CHUMBA CHA KUHIFADHIA MAITI HOSPITALI YA MOROGORO...
4. AWALI ALIKUA MTANGAZAJI WA RADIO ONE...KIPINDI CHA MAMBO MSETO ALMAARUFU KAMA BABU WA KIMANZICHANA..UNCLE JJ
ENDELEA KUTEMBELE JOVINBACHWA BLOG KUPATA UPDATES ZAIDI....
MTANDAO HUU UNAWAPA POLE NDUGU, JAMAA, MARAFIKI NA MASHABIKI WA MAREHEMU....AAAMIIIN...
CHANZO: ITV TANZANIA...
Amesema Nyaisanga alipelekwa hospitali ya Mazimbu Morogoro jana saa nane mchana kutokana na kusumbuliwa na Kisukari pamoja na presha ambapo asubuhi ya leo October 20 2013 ndio akafariki dunia.
Mara yake ya mwisho kuingia ofisini ilikua juzi japo alikua ameanza likizo toka October 12 ambapo huu ulikua ni mwaka wake wa tatu toka ameanza kufanya kazi na Abood Media ya Morogoro kama Meneja wa kituo.
2. AMEACHA MJANE NA WATOTO 3
3. MWILI UNAELEKEA CHUMBA CHA KUHIFADHIA MAITI HOSPITALI YA MOROGORO...
4. AWALI ALIKUA MTANGAZAJI WA RADIO ONE...KIPINDI CHA MAMBO MSETO ALMAARUFU KAMA BABU WA KIMANZICHANA..UNCLE JJ
ENDELEA KUTEMBELE JOVINBACHWA BLOG KUPATA UPDATES ZAIDI....
MTANDAO HUU UNAWAPA POLE NDUGU, JAMAA, MARAFIKI NA MASHABIKI WA MAREHEMU....AAAMIIIN...
CHANZO: ITV TANZANIA...
Saturday, October 19, 2013
UNDANI WA ALIYEMPIGA RISASI UFOO.....
KIDOLE CHA KATI ALICHOONESHA SALAMA JABIR KATIKA PICHA HII...CHAZUA MAMBO
HURUMA: WASTARA AUMIA TENA MGUU...!!
SOMA ZAIDI.....
INASIKITISHA...MAMA NA WATOTO WAKE WATATU NA MFANYAKAZI WA NDANI WA FAMILIA MOJA WAFA KWA PAMOJA ...
HII NDO TATOO YA MSANII DIAMOND PLATNUM ALIYEICHORA MIKONONI MWAKE...
HIKI NDICHO ALICHOKISEMA LULU KUHUSU KESI YA BABU SEYA NA WATOTO WAKE....
Elizabeth Michael(Lulu) ambaye ni star wa filamu anayetamba Swahiliwood
ametoa ya moyoni mwake kwa kuwaombea na kuwatakia kila la kheri Babu
Seya na wanawe ambao kesi yao inatarajiwa kusikilizwa upya baada ya
kukata rufaa. Lulu ameyasema hayo kwakuwa hata yeye tayari ameshayaonja
maisha hayo magumu ya jela. Kupitia mtandao mmoja wa kijamii star huyo
mwenye mvuto aliandika maneno hayo hapo chini kuhusu wanamuziki hao
ambao walifungwa maisha miaka michache iliyopita.SOMA ZAIDI..........
SERIKALI YATANGAZA KUANZA KUTUMIA NDEGE ZA KIVITA ZISIZO NA MARUBANI ILI KUTOKOMEZA MAJANGILI...
TATIZO la ujangili ambalo limekuwa sugu nchini kwa muda mrefu sasa
linaanza kupata dawa, baada ya Serikali kutangaza ‘Operesheni Tokomeza’
itakayotumia mbinu za kijeshi.SOMA ZAIDI..........
SIKILIZA AUDIO YA Zitto Kabwe adai kwamba yupo tayari CHADEMA na CCM wamnyonge lakini Ruzuku hawatapata mpaka wakaguliwe...
KIAMAAAA!!! Wanasayansi watabiri kuwa Mwisho wa dunia huenda ukawa tarehe 26/8/ 2032.....
Subscribe to:
Posts (Atom)










