facebook likes

Thursday, September 26, 2013

DEREVA WA KIKE ANUSULIKA KUFA BAADA YA KONTENA KUBWA KUFUNIKA GARI YAKE


Miracle: This car was crushed by an enormous container which fell off a lorry, but the woman inside was somehow unhurt

World’s Largest Tortoise found in Amazon Basin – 529 Years Old

The World’s largest tortoise found in Amazon River is around 529 years old / height-59 feet/ weight-800 pounds OR 362.87 kg incredible.

Hivi umeshawahi kusikia collabo la JCB & Professor Jay….??? Sikiliza kionjo hiki kidogo “DRIVE SLOW”

Pata kusikiliza kionjo cha JCB ft Professor Jay, wimbo unaitwa “Drive Slow” ikiwa ni kazi toka Mj Records chini ya MarcoChali, Download HAPA

(Photo) BLACK RYHNO ametoa rasmi picha za mtoto wake wa kike RISHONA CHERISSE HAULE


CHRISTINA MILIAN AVALISHWA PETE YA UCHUMBA


Muimbaji Christina Milian ameonesha pete ya uchumba aliyovalishwa na mpenziwe mpya Jas Prince, na akaliambia jarida la People kuwa "Hakika nimezama kwenye penzi la mtu niko katika mahusiano yenye furaha sana, mahusiano madhubuti jambo ambalo ni kubwa, na ananisapoti sana hakika tunaangalia mbele

DAKTARI FEKI WA KCMC APANDISHWA KIZIMBANI LEO...!!


MTU anayetuhumiwa kuwa daktari bandia aliyekamatwa akijiandaa kufanya upasuaji katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC leo atapandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya mjini Moshi kusomewa shitaka kwa mara ya kwanza.
SOMA ZAIDI...

BABU WA LOLIONDO AIBUKA TENA. AINENEA MAZITO TANZANIA.AMWELEZA PINDA MAMBO ALIYOOTESHWA NA MUNGU.


BABU MCHUNGAJI Ambilikile Mwaisapila wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) amesema Mungu ameendelea kujifunua kwake na kumuonyesha kuwa Tanzania itakuwa kioo cha Afrika na baadaye kioo cha dunia.
SOMA ZAIDI....

IZI PESA HIZI NI NOUMA MCHINA ametengeneza pua mpya katika paji la uso baada ya ajali iliyoharibu pua yake

SOMA ZAIDI.....

Video ya Mwana FA & AY “BILA KUKUNJA GOTI” kupigwa katika vituo vya TV za Nje


Siku nyingine hatua nyingine...video ya BILA KUKUNJA GOTI imefanikiwa kufikia viwango(imepita) TRACE,MTV Base,Channel O na Sound City...Yes,itaonekana kote huko...#AfrikaNzima...#GoingPlaces...#KeepingTheGoodMusicAlive
Siku nyingine hatua nyingine…video ya BILA KUKUNJA GOTI imefanikiwa kufikia viwango(imepita) TRACE,MTV Base,Channel O na Sound City…Yes,itaonekana kote huko…#AfrikaNzima…#GoingPlaces…#KeepingTheGoodMusicAlive
SOMA ZAIDI....

AJALI MBAYA KATI YA GARI NA BODABODA YATOKEA ASUBUHI YA LEO HUKO MKOANI MARA....TUNAOMBA RADHI KWA KUZIONYESHA PICHA ZA TUKIO...!!

Ajali mbaya imetokea asubuhi ya leo majira ya saa 2 kwenye barabara ya majita karibu na makazi ya mkuu wa mkoa wa Mara baada ya gari aina ya VX land cruser namba T 901 AHH kuigonga pikipiki iliyokuwa ikitoka maeneo ya mjini musoma kuelekea kamnyonge.

SOMA NA ANGALIA PICHA ZAIDI....

Mama wa Tupac afungua kesi kudai mirahaba ya $mil 1.1 ya albam ya mwanaye ‘Beginnings: The Lost Tapes’


 Ni miaka 17 imepita toka legend wa Hip hop Tupac Amaru Shakur afariki dunia (September 1996) lakini kazi zake     alizozifanya kipindi cha uhai wake zinaendelea kuingiza pesa kutokana na mirahaba ya kazi hizo.
2pacmotherafenishakur Tupac na mama yake Afeni enzi za uhai wake
SOMA ZAIDI.....

OMMY DIMPOZ AKIWA SHOPPING NDANI YA JIJI LA NEW YORK KUJIANDAA NA SHOW YA HOUSTON JUMAMOSI HII TAREHE 28


Kushoto ni Promoter/USA Tour Manager Mr “DMK” pamoja na Dimpoz wakipiga picha na Fan
ANGALIA PICHA ZAIDI.....

Hatimaye beef ya Chris Brown na Drake imemalizika, wana mpango wa kurekodi wimbo wa Pamoja.

Kuna uwezekano ile beef ya staa wa R&B Chris Brown na rapper Drake ikawa imefika ukingoni rasmi baada ya kuonekana wakiwa pamoja na kukumbatiana katika tamasha la muziki la iHeartRadio lililofanyika weekend iliyopita huko Las Vegas, Marekani.

brown_drake SOMA ZAIDI.....

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...