facebook likes

Monday, September 9, 2013

EXCLUSIVE PHOTOS!! Rita Dominic Shows Off S*xy Bikini Body In Vegas REVEALING 'The FLat Zone'


The actress is cooling off in Vegas, thinking of the future and considering if she should accept her former lover back. The guy came back saying he's serious and wants to marry her. See more photos below:

HUYU NDO MWANAMKE ALIYEPOTEZA NYETI ZAKE MARA BAADA YA KUFAMANIWA NA MUME WA MTU HUKO BUKOBA.

Mama huyu akiwa hajielewi kwa kile kilichompata,baada ya Kufumaniwa na mwanaume katika nyumba ya wageni ya super star hamugembe alitoweka na pesa za mwanaume huyo ambae inasemekana ni mkazi wa kigoma,
SOMA ZAIDI..........

MZUNGU WA AFRICAN BARRICK GOLD KORTIN KWA KUMTELEKEZA MTOTO ALIYEZAA NA MWENYEJI.


Andre akiwa na mzazi mwenzie akimsihi aondoe shauri hilo mahakamani  
SOMA ZAIDI........

HILI NDO GARI AINA YA BUGATTI ILIYOTENGENEZWA KWA DHAHABU.

If you thought flossing and stunting were two unrelated words, one meaning to clean one’s teeth with a string, while the other referring to jumping through a window made of sugar, the English language slang says no!

QUEEN DARLEEN ATOA SABABU KWANINI MPAKA LEO HAJAFANYA WIMBO NA MDOGO WAKE DIAMOND


Pamoja na kwamba kaka yake, Diamond kuwa msanii mkubwa na mwenye mafanikio, Queen Darleen hafikirii kufanya collabo naye hivi karibuni.
SOMA ZAIDI........

STAILI YA KUCHEZA YA NGOLOLO ALIYOIANZISHA DIAMOND YAANZA KUSHIKA


Baada ya Diamond kutoa wimbo wake mpya wa Number one ambae kwa sasa ni gumzo, kila mahali kwenye sherehe ama harusi watu wanacheza staili aliyocheza diamond kwenye huo wimbo ambayo yeye mwenyewe anaiita NGololo ....Hii naitabiria itakuwa staili kubwa ya kucheza kama ilivyokuwa AZONTO ya Kutoka west Africa...Big Up  Diamond

MSANII WA BONGO MOVIE 'AISHA BUI' AFUNGWA BRAZIL,MCHUMBA WA PENDO WA MAISHA PLUS AKAMATWA CHINA NA MBWANA MATUMLA AKAMATWA NCHINI HISPANIA....


Kwa wiki iliyopita, tuilipekenyua maeneo yote muhimu na kukumbana na mambo mapya kuhusu habari za ‘unga’ huku taarifa zikionesha kuwa, hali katika viwanja vye ndege duniani kote ni tete.
SOMA ZAIDI.....

KOMBE LA DUNIA-AFRIKA: CAMEROUN YANYAKUA NAFASI YA MWISHO!!

>>10 ZA RAUNDI YA MWISHO YA MTOANO ZAKAMILIKA!!
>>DROO KUPANGWA SEPTEMBA 16!!
SOMA ZAIDI........

Syria Vow To Hit Back Against Any US Air Strikes With All Available Force

The pledge came as President Obama launched a hard-hitting media campaign in favour of military action.

REVEALED: How Mezut Ozil's Obsession With Beautiful Women Threatened His Football Career

German-born Ozil’s weakness for beautiful women was a major factor in Real Madrid’s decision to sell him, it was reported.

MAMA LISHE ABAKWA NA AFISA TARAFA NA KUUMIZWA VIBAYA



AFISA Tarafa ya Kaliua Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, Josephat Brown anatuhumiwa kumbaka mama lishe na kumsababishia maumivu makali na kisha kutokomea kusikojulikana.
SOMA ZAIDI.........

ANTY EZEKIEL"NIKO VIZURI MKONO WANGU HAUJAOZA WALA NINI NI UZUSHI TU"

Huyu ndiye Super Star Aunt Ezekiel at Nyama Choma Posta Ground Kijitonyama, jana aliambiwa kidonda chake kimeoza na mkono utakatwa kumbe ulikuwa ni uongo wa mchana, she is just fine!! 

MADIWANI WATAKA SHERIA YA KUWALAZIMISHA WANAUME KWENDA KLINIKI ITUNGWE


BAADHI ya madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Itilima mkoani Simiyu wameomba itungwe sheria ndogo, kushinikiza wanaume kushiriki huduma ya kliniki kwa lazima.
soma zaidi...........

WAZIRI MAGUFULI AZOMEWA MBELE YA RAIS JIJINI MWANZA


RAIS Jakaya Kikwete jana alipata wakati mgumu, baada ya kukutana na nguvu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jijini Mwanza katika ziara yake, huku Waziri wake wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, naye akijikuta akizomewa mbele yake.
SOMA ZAIDI..........

Mwigizaji Zuhura Maftah Maarufu Kama Melissa Afariki Dunia


Mwigizaji Zuhura Maftah Maarufu Kama Melissa Afariki Dunia  8/9/2013 .
SOMA ZAIDI.......

Beyonce’s First Boyfriend Says He Regrets Cheating On Her And It Will Always Haunt Him

beyonce-1st-love-cheated-she-wasnt-having-sex-lyndall-locke-regrets-it-now_3
Beyonce’s first boyfriend Lyndell is somewhere drinking his sorrows away, over his lost love Beyonce if you believe the latest interview that appeared in The Sun over the weekend.

Assad akana alitumia silaha za kemikali

 Rais Bashar al Assad wa Syria amekanusha kuwa alihusika na shambulio kwa silaha za kemikali mjini Damascus mwezi uliopita.
SOMA ZAIDI........

Kibano chamgeukia Ndugai

*Yadaiwa alipewa maelekezo kuwabana wapinzani
*Profesa Lipumba adai uwezo wake bungeni mdogo
NAIBU Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amezidi kujiweka katika wakati mgumu, baada ya viongozi wa vyama vya upinzani kudai alipewa maelekezo na Serikali kupitisha Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Katiba.
SOMA ZAIDI..........

Mbinu za usafirishaji ‘unga’ zaanikwa


MBINU mpya za usafirishaji wa dawa za kulevya kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA), zimeanikwa baada ya kubainika kuwa mbwa wanaotakiwa kuchunguza dawa za kulevya kuondolewa sehemu husika.
SOMA ZAIDI...........

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...