IN THE CATEGORY "The Best Newcomer Blog"
TO VOTE FOR JOVIN BACHWA'S BLOG CLICK LINK BELOW
http://
News, Events, Entertainment, Sports, Lifestyle, Fashion,politics, Beauty, Inspiration and yes... Gossip!
![]() |
Greda itakavyokarabati ardhi kuwezesha watu kuishi Mars. 






![]() |
| Shanga za Shilole zikionekana kiunoni sambamba na nguo yake ya ndani wakati akitumbuiza jukwaani |
KOCHA Arsene Wenger amesema mustakabali
wake Arsenal kuendelea kuwa kocha utategemea na mafanikio au kufeli
kwake msimu huu baada ya kuboresha timu kwa kumsajili Mesut Ozil kwa dau
la rekodi.
MSHAMBULIAJI Samuel Eto'o amesema kwamba alikuwa anamchukia kocha Jose Mourinho kabla ya kuanza kufanya naye kazi Inter Milan.