facebook likes

Sunday, October 20, 2013

UFOO SARO..."NIKIPONA NITAWEKA KILA KITU WAZI"

Mtangazaji wa Kituo cha televisheni cha ITV, Ufoo Saro, ambaye alijeruhiwa kwa kupigwa risasi na mzazi mwenzake Jumapili iliyopita, ameahidi kutoa ya moyoni atakapopona na kuruhusiwa kutoka hospitalini.Ufoo ambaye amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, kitengo cha moyo tangu wiki iliyopita kutokana na majeraha ya risasi, afya yake inazidi kuimarika na sasa ameanza kula mwenyewe na kufanya mazoezi ya kutembea.
SOMA ZAIDI..........

Nicki Minaj Na Gari Yake Ya Pink Anayoipenda Zaidi.

 
Nicki Minaj ni msanii asiye na aibu ya kusema mambo gani anapenda kwenye maisha yake na yupo tayari kufanya nini kuyapata. Hivi karibuni alikuwa kwenye duka la K Mart akizindua nguo zake na aliwasili na gari yake mpya iliyo tengenezwa  na kuboreshwa kwa matakwa yake, Yes ndio hio Pink lamborghini Custom made for Minaj. 
Picha Zaidi Ziko Hapa.....

SIMANZII!! .....AUAWA KWA KUKATWA KICHWA NA KISHA KUTUPWA MITA CHACHE KUTOKA NYUMBANI KWAKE...SOMA ZAIDI!!!


Baadhi ya majirani wakiwa jirani na mwili wa marehemu Seba wakisubiri polisi kuja kuuchukua mwili huo

SOMA ZAIDI....

REPOST YA WEMA SEPETU INSTAGRAM KUHUSU DIAMOND ILITENGENEZWA NA HUYU DADA

 
I
ICHEKI HIYO PICHA HAPA CHINI.....

YOUNG DEE AKANUSHA SKENDO YA KUTUMIA MADAWA YA KULEVYA...!!SOMA ZAIDI HAPA

Msanii Young Dee amekanusha uvumi ulioenea mitaani kuwa anajihusisha na matumizi ya dawa za kulevya na kusema kuwa pamoja na story hizo kuwa kubwa lakini hali hiyo haijamuathiri sana kwasababu hazina ukweli wowote.

DownLoad Na Sikiliza Wimbo Mpya Wa Nikki Mbishi - Yote Sawa

Ni Moja ya joints kutoka kwenye kanda mseto yake mpya Malcom XI. Wimbo unaitwa yote sawa na Beat imetengenezwa na Nikki Mbishi. 
SIKILIZA NA DOWNLOAD HAPA....

Matokeo Ya Game Za Premier League Za Tarehe 19/10/2014

 
BOFYA "READ MORE" KUYACHEKI.............

CCECC YA CHINA YAONYESHA NIA KUJENGA RELI YA KATI


reli f5ba2
KAMPUNI ya ujenzi na uhandisi wa majengo ya China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC) imesema iko tayari kuja Tanzania na kujenga upya reli ya kati ili iwe ya kisasa zaidi endapo wataombwa wafanye hivyo.
SOMA ZAIDI....

ANKO J... JULIUS NYAISANGA AFARIKI DUNIA....


Kaimu Meneja wa Abood Media Abeid Dogoli amethibitishia  kwamba ni kweli mtangazaji wa siku nyingi Tanzania Julius Nyaisanga amefariki dunia leo asubuhi.

Amesema Nyaisanga alipelekwa hospitali ya Mazimbu Morogoro jana saa nane mchana kutokana na kusumbuliwa na Kisukari pamoja na presha ambapo asubuhi ya leo October 20 2013 ndio akafariki dunia.

Mara yake ya mwisho kuingia ofisini ilikua juzi japo alikua ameanza likizo toka October 12 ambapo huu ulikua ni mwaka wake wa tatu toka ameanza kufanya kazi na Abood Media ya Morogoro kama Meneja wa kituo.

2.  AMEACHA MJANE NA WATOTO 3

3. MWILI UNAELEKEA CHUMBA CHA KUHIFADHIA MAITI HOSPITALI YA MOROGORO...

4. AWALI ALIKUA MTANGAZAJI WA RADIO ONE...KIPINDI CHA MAMBO MSETO ALMAARUFU KAMA BABU WA KIMANZICHANA..UNCLE JJ

ENDELEA KUTEMBELE JOVINBACHWA  BLOG KUPATA UPDATES ZAIDI....

MTANDAO HUU UNAWAPA POLE NDUGU, JAMAA, MARAFIKI NA MASHABIKI WA MAREHEMU....AAAMIIIN...

CHANZO: ITV TANZANIA...

Saturday, October 19, 2013

Kutana na Mwanamuziki Mzuri wa Kiafrika Ambaye Awali Alikuwa Mwanaume


Titica
Mwanamke huyu  kwa jina akijulikana kama  Titica, amekuwa ni gumzo kubwa nchini Angola.
 Siku chache zilizopita UNAIDS ilimpa heshima  mwanamke huyu aliyejibadili jinsia kuwa  Balozi wake.
SOMA ZAIDI........

UNDANI WA ALIYEMPIGA RISASI UFOO.....

KIDOLE CHA KATI ALICHOONESHA SALAMA JABIR KATIKA PICHA HII...CHAZUA MAMBO


 
** *Mtangazaji wa Kipindi cha Mkasi kinachorushwa hewani kupitia kituo cha EATV Salama Jabir, wa pili kutoka kushoto akidaiwa kutukana kwa kutumia ishara ya kidole wakati walipokuwa kwenye moja ya haraka za kurekodi matukio ya
kipindi cha EPIQ BSS 2013,

HURUMA: WASTARA AUMIA TENA MGUU...!!


MWANADADA anayeendesha maisha yake kwa kuPkupitia  filamu  za Bongo,  Wastara Juma ameumia mguu baada ya kuwekewa mwingine mpya wa bandia huko Nairobi nchini Kenya.

SOMA ZAIDI.....

INASIKITISHA...MAMA NA WATOTO WAKE WATATU NA MFANYAKAZI WA NDANI WA FAMILIA MOJA WAFA KWA PAMOJA ...

MKOA wa Morogoro na vitongoji vyake kwa sasa umegubikwa na simanzi kubwa baada ya watu watano wa familia moja kufariki kwa mpigo katika ajali ya gari. 
SOMA ZAIDI.......

HII NDO TATOO YA MSANII DIAMOND PLATNUM ALIYEICHORA MIKONONI MWAKE...


DIAMOND3Hit maker wa Song ya “Nikifa Kesho”, na “Number One”  Diamond Platnumz anatarajia kuondoka leo nchini kuelekea china ambako atafanya show huko katika mji wa Guangzhou.
ANGALIA PICHA ZAIDI..........

HIKI NDICHO ALICHOKISEMA LULU KUHUSU KESI YA BABU SEYA NA WATOTO WAKE....

Elizabeth Michael(Lulu) ambaye ni star wa filamu anayetamba Swahiliwood ametoa ya moyoni mwake kwa kuwaombea na kuwatakia kila la kheri  Babu Seya na wanawe ambao kesi yao inatarajiwa kusikilizwa upya baada ya kukata rufaa. Lulu ameyasema hayo kwakuwa hata yeye tayari ameshayaonja maisha hayo magumu ya jela. Kupitia mtandao mmoja wa kijamii star huyo mwenye mvuto aliandika maneno hayo hapo chini kuhusu wanamuziki hao ambao walifungwa maisha miaka michache iliyopita.
SOMA ZAIDI..........

SERIKALI YATANGAZA KUANZA KUTUMIA NDEGE ZA KIVITA ZISIZO NA MARUBANI ILI KUTOKOMEZA MAJANGILI...

TATIZO la ujangili ambalo limekuwa sugu nchini kwa muda mrefu sasa linaanza kupata dawa, baada ya Serikali kutangaza ‘Operesheni Tokomeza’ itakayotumia mbinu za kijeshi.
SOMA ZAIDI..........

SIKILIZA AUDIO YA Zitto Kabwe adai kwamba yupo tayari CHADEMA na CCM wamnyonge lakini Ruzuku hawatapata mpaka wakaguliwe...



Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Zitto Kabwe akitoa ufafanuzi juu ya taarifa yake ya mahesabu ya vyama 9 vya siasa ambavyo havijapeleka ripoti ya ukaguzi wake wa mahesabu kwa Msajili. Baadhi a vyama hivyo vilikanisha taarifa hiyo.
BOFYA KUSIKILIZA HAPA CHINI......

KIAMAAAA!!! Wanasayansi watabiri kuwa Mwisho wa dunia huenda ukawa tarehe 26/8/ 2032.....

Dunia tunayoishi, inaweza kufikia mwisho wake August 26, 2032. Kwa mujibu wa wanajimu wa Ukraine, kimondo chenye upana wa futi 1,300 kinakuja kwa uelekeo wa duniani na kinaweza kuiponda dunia kikiwa na nguvu kubwa ya nuclear.
  SOMA ZAIDI....

NEW VIDEO: D PESA FT BADILIKA-CONSCIOUS BOY


WAZIRI MKUU AFUNGUA MAFUNZO YA MAAFISA CHINA...SOMA ZAIDI HAPA

PINDA_8414e.jpg Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama vifaru na silaha nyingine za kivita wakati alipotembelea banda la kunadi silaha mbalimbali za kivita zinazotengenezwa na kampuni ya NORINCO nje kidogo ya Beijing akiwa katika ziara ya kikazi nchini China Oktoba 18, 2013.
SOMA ZAIDI........

MAAJABU:ROCK RESTAURANT MGAHAWA ULIOJENGWA JUU YA MWAMBA BAHARINI VISIWANI ZANZIBAR..TAZAMA MAPICHA HAPA


Duniani kuna maajabu mengi,kati ya maajabu hayo ni huu mgahawa uitwao Rock uliopo visiwani Zanzibar uliojengwa juu ya mwamba mkubwa katika bahari ya Hindi.
ANGALIA PICHA ZAIDI.........

NEW VIDEO: PHD HEMEDY - REST OF MY LIFE


EDO KUMWEMBE AJIUZULU RASMI USEMAJI WA COASTAL UNION.


Bosi wa facebook anunua nyumba 4 zilizozunguka nyumba yake


ImageView
Uamuzi wa hivi karibuni wa kampuni ya Facebook wa kulegeza sera ya kutoingilia uhuru wa wateja ulisababisha gumzo lakini katika taarifa nyingine, imeripotiwa kwamba aliyegundua kampuni hiyo ambaye pia ndio bosi wake, Mark Zuckerberg ametumia dola za Kimarekani milioni 30 kununua nyumba nne za jirani kwake kulinda uhuru wake.
SOMA ZAIDI........

Picha,:Wale Wanaopenda Sneaker Za Kweli, Nike Mpya 'Nike Air Trainer 1' Ndio Hizi


 Wale wanaopenda sneaker za kweli Nike wanasema hii Sneaker ni mjumuisho wa raba zote kali unazo zifahamu kutoka Nike na yenye kila aina ya rangi bora. Pia unaruhusiwa kuvalia raba hii na nguo tofauti za michezo na mtoko pia. Sneaker hii inaitwa Nike Air Trainer 1.
 ANGALIA PICHA ZAIDI.....

Photos: Behind the Scene Video ya Shaa – Sugua Gaga

6B3A6297
  Mitaa ya Manzese ilikuwa ni  Uchukuaji wa Picha za Video ya Audio Mpya ya Shaa Sugua gaga. Ambayo inatarajiwa kutoka wiki kadhaa zijazo uku teaser ya Audio hiyo pamoja na pics ikielezea utamu na How video hiyo itakuwa? Pengine hii ni Track na Video ya Kwanza shaa akifanya ikiwa kwenye maadhi ya radha ya Uswahilini kabisa. akiwa chini ya usimamizi wa Mkubwa na Wanawe ( Saidi Fella ) Check out Photos za Video ya Sugua Gaga iliyokuwa inafanyika....

AY WA MITEGO AINGIA KUWANIA TUNZO NCHINI KENYA.


Msanii wa HipHop mwenye mashahiri yenye maneno yanayolenga mastaa tofauti tofauti nchini ambaye kwa sasa anatamba na kibao chake cha ‘Salamu Zao’ Nay wa Mitego, ameingizwa kwenye vipengele viwili kwenye tuzo zitakazofanyika nchini Kenya November 23 mwaka huu.
SOMA ZAIDI......

'' KAMA RIHANNA AKINITAKA SIWEZI KUMKATAA''- DANIEL STURRIDGE


Mshambuliaji wa klabu ya Liverpool Daniel Sturridge amefichua hisia zake kwa nyota wa muziki wa Pop Rihanna . Katika Interview moja aliyoifanya kwenye jarida la rapa wa marekani Jay Z, Sturridge alizungumzia usajili wake toka Chelsea kwenda Liverpool na pia maisha yake ya Mapenzi na zaidi alizungumza kumhusu Rihanna . Soma maneno yake hapa.....

HARUNA NIYONZIMA AZIONA FURSA ZA KIBIASHARA!


Kiungo wa Yanga Haruna Niyonzima ameanza rasmi kuziona fursa za kibiashara zilizopo hapa nchini katika sekta ya michezo.
Kwa kuanza kiungo huyo amefyatua T-SHIRT kibao ambazo zitaingia rasmi sokoni siku ya Juma pili kwenye mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga.
Meneja wa mchezaji huyo Imamu Abbas ameuambia mtandao huu kuwa bei ya T-SHIRT hizo ni shilingi za Kitanzania 20,000/=
SOMA ZAIDI........

NEW VIDEO DULLY SYKES -KABINTI SPESHO


PELE AZINDUA KITABU CHAKE NA KUKIUZA KIASI CHA DOLLA $1700


Mwanasoka bora kutoka pande za Brazil mwenye umri wa miaka 72 Pele amezindua kitabu chake kinachoitwa Pele ambacho kinauzwa kwa kiasi cha dolla za kimarekani 1700. Kitabu hicho chenye uzito wa 33 pounds kimechapishwa jumla ya nakala 1283.
SOMA ZAIDI........

Tuesday, October 15, 2013

WAPINZANI KUTINGA IKULU LEO

  *Lipumba: Tunaamini hoja zetu ni za msingi
*JK sasa amkumbuka Nyerere Katiba Mpya
RAIS Jakaya Kikwete leo anatarajia kukutana na viongozi wa muungano wa vyama vya upinzani, Ikulu jijini Dar es Salaam. Hatua ya Rais Kikwete kukutana na wapinzani hao, imekuja baada ya wabunge wa vyama vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi, kususia muswada uliowasilishwa na Serikali kuhusu sheria ya mabadiliko ya Katiba.
SOMA ZAIDI.............

MAMA WA MTOTO ALIYEKUFA NA KUFUFUKA AVAMIWA NA MAJAMBAZI NA KUMJERUHI VIBAYA

Siku tatu baada ya mtoto Shaban Maulid (15) aliyedaiwa kufariki kisha kuonekana akiwa hai mwishoni mwa mwezi jana, kuruhusiwa hospitalini alikokuwa amelazwa,watu wasiojulikana wanaosadikiwa kuwa majambazi wamevamia nyumbani kwao mtaa wa 14 Kambarage mjini hapa na kumjeruhi mama wa mtoto huyo baada ya kumpora fedha aliyokuwa amechangiwa na wasamaria wema wakati akimtibisha mwanaye.

Picha: Bi.Aziza Ramadhani akiwa na jeraha baada ya kuvamiwa na majambazi
 SOMA ZAIDI.....

JOVINBACHWA BLOG NA TIMU NZIMA TUNAWATAKIA WAISLAM WOTE ULIMWENGUNI " EID MUBARAK"

MASANJA MKANDAMIZAJI AKIKANDAMIZA USA,( NAANZA KUSAHAU KISWAHILI I DONT KNOW WHY.)...ASEMA MASANJA.....


ANGALIA PICHA ZAIDI....

VIDEO;DIAMOND AKI PERFOM WIMBO WA P SQUARE KWENYE PROJECT YA COKE STUDIO AFRICA


diamond1
 hii ndio video ambayo Diamond ame-perform kwa kutumia wimbo wa Temptation wa P Square kwenye project ya Coke Studio Africa. Diamond ameimba sehemu kubwa ya wimbo huu akiwa na live band pamoja na back ya msanii HHP.Chukua time yako kuiangalia hapa.....

HII NDIO VIDEO MPYA YA LUCCI -SUMU


Kutana na tatoo mpya ya Young D yenye maneno ya kifaransa na ijue maana yake.

d 
Young D msanii ambaye kwa mara ya kwanza alipewa nafasi ya kusikika kwenye radio kupitia Clouds FM na Adam Mchomvu long time ago Young D akiwa young kweli, leo hii ni mmoja kati ya wasanii maarufu kwenye muziki wa kizazi kipya. 
SOMA ZAIDI.....

HII NDIO NYIMBO MPYA YA JUSTIN BIEBER - ALL THE MATTER




OMMY DIMPOZ AMEONDOKA LEO MAREKANI KUJA TANZANIA NA BUSINESS CLASS YA EMIRATE....

OMMY DIMPOZ AKIWA NDANI YA EMIRATE BUSINESS CLASS AKIELEKEA TANZANIA
Mwanamuziki wa Bongo Flava aliyemaliza Tour yake ya kwanza nchini marekani Ommy Dimpoz ameondoka leo kuelekea Tanzania ambapo ana show inamsubiri kesho usiku......
SOMA ZAIDI.........

"MI NAFANYA KAZI NZURI,HAKUNA WA KUNIRUDISHA NYUMA,LOGENI NIWINDENI KWA VYOVYOTE MTAFELI TU"....NEY WA MITEGO

 Mpaka sasa ney hajasema ni nani na nini kimepelekea yeye kuandika hivi kuhusu maisha yake ya muziki. Ila inaonyesha hapa kati amekutana na misuko suko kwenye ,mishe zake, kuchukiwa na kutokukubalika kunaweza pelekea mtu kusema yote haya.
Bonyeza Read More Kuona Ujumbe Huo.......

RAILA ODINGA AELEZA NYERERE ALIVYOMSAIDIA KUSOMA NJE

Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga ameeleza kuwa bila ya Pasipoti ya Tanzania aliyopewa kwa msaada na Mwalimu Julius Nyerere asingeweza kwenda Ujerumani kusoma baada ya Idara ya Uhamiaji ya Kenya kumnyima hati hiyo ya kusafiria.
SOMA ZAIDI........

KESI YA BABU SEYA KUUNGURUMA OKTOBA 30 SWALI JE BABU SEYA ATAKUWA HURU TUMUOMBE

MAHAKAMA ya Rufaa Oktoba 30 mwaka huu inatarajiwa kusikiliza marejeo ya hukumu iliyotolewa na mahakama hiyo katika kesi iliyokuwa ikimkabili mwanamuziki Nguza Viki maarufu kama Babu seya na wanawe.
SOMA ZAIDI............

Mrs. Marlaw (Besta) asema yupo na atarudi Kimuziki, atoa ushauri kwa wasanii wanaotumia Madawa ya Kulevya

DK SLAA AREJEA TANZANIA BAADA YA KUMALIZA ZIARA NCHINI MAREKANI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Dk Wilbrod Slaa leo Jumapili 13 Oktoba amesafiri kurudi Tanzania baada ya ziara yake iliyomchukua wiki tatu nchini Marekani.
SOMA ZAIDI...

TANZANIA YAANZA VIBAYA MASHINDANO YA TUSKER PROJECT FAME

Tanzania leo imeanza vibaya kwenye shindano la Tusker Project Fame msimu wa sita, baada ya washiriki wawili wanaoiwakilisha kutoka.
SOMA ZAIDI............

PICHA ZA WAHAMIAJI HARAMU WALIO KAMATWA JANA MKOANI MOROGORO WAKIWA KWENYE GARI LILIBEBA CHOKAA

Wahamiaji haramu wakiwa kituo cha polisi mkoani morogoro mara baada ya kukamatwajana wakisafirishwaSOMA ZAIDI....

Saturday, October 12, 2013

Ex BBA housemate Prezzo Once Again Flaunts Wads Of Cash (PHOTO)

prezzo2Jackson Ngechu a.ka. Prezzo  lives in the beautiful world  filled with enormous fortunes and  mind-boggling extravagance.

HIVI NDIVYO VITU VYA THAMANI ANAVYO MILIKI DIAMOND PLATNUMZ


b1MSANII wa Bongo Fleva Diamond Platinumz, siku ya jana ya tarehe 10, alipost video akionyesha Bling Bling  kwenye mtandao wake wa kijamii wa instagram, 
Tazama video clip hio ya Raisi wa wasafi akionyesha vitu hivyo vya gharama hapa baada ya mkato …..

MELI KUBWA ZAIDI YATIA NANGA BANDARINI DAR NA MAKONTENA 4,500.


Meli hiyo ya Maersk Line.
Biashara katika bandari ya Dar es Salaam imeanza kushika kasi  huku Watanzania wakitarajia kunufaika na punguzo la bei ya bidhaa kutoka nje baada ya meli kubwa yenye urefu wa meta 249 kuanza kutia nanga katika bandari hiyo.
Hatua hiyo imekuja baada ya kuwepo kwa propaganda kuwa bandari hiyo haina uwezo wa meli zenye ukubwa huo wenye kubeba makontena 4,500 kutia nanga, lakini jana Tanzania iliandika historia kwa meli hiyo kutia nanga asubuhi.
SOMA ZAIDI........

PHOTOS: Samuel Eto’o Acquires 4 New Multimillion Cars Worth over £1.55Million

Samuel Eto’o has made good use of his bumper salary by amassing a fleet of cars worth £4million
The pick of the Chelsea FC striker’s fleet is the £1.55m Bugatti Veyron which was specially delivered along with three other vehicles to the London club’s training ground after his move from Russian club Anzhi this summer.

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...