facebook likes

Friday, July 26, 2013

VIDEO: HUYU NDIO BENARD - MBRAZILI ANAYEWANIA NA ARSENAL, LIVERPOOL NA TOTTENHAM HOTSPUR - NANI KUSHINDA VITA YA SAINI YAKE?



ANGALIA VIDEO 




TAKWIMU 

MNIGERIA WA YANGA APANDISHWA NDEGE KUREJEA NYUMBANI, SHUGHULI IMEISHA...KIIZA AREJESHWA DAR KWA MJADALA ZAIDI


HAMISI Friday Kiiza tayari yupo Dar es Salaam tangu jana na wakati wowote anaweza kusaini Mkataba wa miaka miwili kuendelea kuichezea Yanga SC, huku mshambuliaji Mnigeria, Ogbu Brendan Chukwudi anapanda ndege kesho kurejea nyumbani. 
Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Yanga SC, Abdallah Ahmed Bin Kleb ametuambia leo kwamba, Kiiza amerejea Dar es Salaam na watamalizana wakati wowote.
Bin Kleb pia amesema Mnigeria Chukwudi wameamua kuachana naye kwa sababu wanaona maumivu yake ni ya muda mrefu na kipindi kilichobaki kabla ya dirisha la usajili la Bara kufungwa ni kidogo.
Amerudishwa; Hamisi Kiiza kushoto akizungumza na Bin Kleb. Diego huyo wa Kampala atasaini Mkataba na Yanga wakati wowote

“Ni mchezaji mzuri, lakini hatuna namna kwa sababu ana maumivu mengi na tunahitaji watu wa kutufanyia kazi kwa wakati huu,”alisema Kleb.
Chukwudi aliyewasili wiki iliyopita Dar es Salaam kutoka klabu ya Heartland FC ya Nigeria, ameshindwa kupewa Mkataba Yanga baada ya kukumbana na maumivu mfululizo akiwa mazoezini.
Aliumia mara mbili mazoezini kabla ya kuumia tena akiwa anapasha misuli moto kujiandaa kuichezea Yanga SC mechi ya kwanza, dhidi ya URA mwishoni mwa wiki. 
Lakini tayari Yanga imesajili mshambuliaji mwingine mzawa, Hussein Javu aliyesaini Mkataba wa miaka miwili kutoka Mtibwa Sugar ya Morogoro na leo asubuhi ameanza mazoezi kwenye Uwanja wa Sekondari ya Loyola, Mabibo, Dar es Salaam.
Blog hii inafahamu Javu ameigharimu Yanga SC zaidi ya Sh. Milioni 60 kwa pamoja fedha alizopewa za usajili na ambazo klabu yake, Mtibwa imelipwa.
Javu ni kati ya washambuliaji wazuri Tanzania kwa sasa, ambaye kwa misimu mitatu amekuwa mwiba dhidi ya vigogo wa soka nchini, Simba na Yanga zinapokutana na timu hiyo ya Manungu.
Habari kutoka kwenye mazoezi ya Yanga SC leo, zimesema kwamba kocha Brandts amevutiwa mno na uwezo wa Javu na kwa ujumla amefurahia ujio wake.
Shughuli imeisha; Chukwudi anarejea nyumbani kesho baada ya mambo kumuendea kombo Yanga SC

Javu ni mchezaji mwenye uzoefu ambaye amekuwa akiitwa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars tangu enzi za Mbrazil, Marcio Maximo ingawa mbele ya Mdenmark, Kim Poulsen hajawahi kupata nafasi.  
Kusajiliwa kwa Javu, kunaongeza ushindani katika safu ya ushambuliaji ya Yanga SC, kwani sasa inakuwa na watu watano, wengine ni Jerry Tegete, Didier Kavumbangu, Shaaban Kondo na Kiiza.
 
source:binzubeiry

BBA EXCLUSIVE : Feza & Nando’s License To Thrill


ChaseFeza3LRG 

The good looking duo of Feza and Nando has done well to fly the Tanzanian flag high in this season of Big Brother The Chase.
This is the ninth week of the game and both Feza and Nando don’t look like they will be leaving anytime soon.
Nando is the resident bad-boy with a colourful personality, while Feza is as fiery as the bright colours she wears on her hair.
We put together some up close and personal pictures of this fun loving pair for your viewing pleasure. How long would you like to see these two stay in The Chase?
ChaseFeza1LRG
ChaseFeza2LRG

ChaseFeza3LRG

ChaseFeza4LRG

ChaseFeza5LRG

ChaseFeza6LRG

ChaseNando1LRG

ChaseNando2LRG

ChaseNando3LRG

ChaseNando4LRG
ChaseNando5LRG

BBA UPDATES: Wager: Sweet Victory


The sour taste of losing is no longer on the Chasemates lips, instead it is the sweet taste of victory that lingers.

After the Housemates had their Task Presentation this evening - where famed film stars Jackie Appiah and Akin Omotoso served as guest judges - they all headed into the living room and waited with baited breathe to hear whether their efforts this week in the Big Brother Ghandour Movie Festival had been enough to satisfy Biggie. It was like music ringing in their ears when the Housemates heard Big Brother made the announcement that they would had won their 100% Wager.

This week saw the Housemates really pulling up their socks after they suffered a double Wager loss last Thursday. During these past few days the newly Merged former Diamonds, Emeralds and Rubies threw themselves into their Task and now they have been richly rewarded for their efforts. Well done Housemates!

BBA UPDATES : We Gotcha!


Some of the Housemates had to pick up their mouths off the floor as they watched the Emeralds chanting: "We gotcha"!

All six Emeralds gathered in Diary Room this evening to bid an emotional farewell to the Chasemates and wish them well for the rest of their journey in The Chase after having spent one week with the Housemates, pretending to be one of them and helping them to bag a Task victory.

And thus weeks of speculation about whether they are real or not, has come to an end. The Chasemates finally learned once and for all just who and what the Emerald Housemates really are - just another ploy in Biggie's plan to confuse the real Housemates.

Some of the Housemates have not taken kindly to being duped; Oneal has had a sour look on his face all evening ever since Biggie dropped the bombshell on them. Meanwhile Cleo exclaimed: "I can't believe this shit," as soon as she learned of Biggie's trickery.

As for Dillish, who was always the most vocal about her belief that the Emerald House had existed, she was as quiet as a church mouse as she watched her new friends saying a sudden goodbye. "They deserve a kiss and slap," she declared later in the night.

But other Housemates like Annabel have spent the entire night boasting about how much clever they are than the rest of the Housemates for always being suspicious about the Emeralds. She and Angelo were the only ones that smelled a rat and remained apprehensive about the fake Housemates.

For the rest of the evening, the Emerald Housemates have been the hot topic on the Chasemates' lips. What did you think of the Emeralds?

Anaetajwa kumuoa Genevieve Nnaj mwishoni mwa 2013 ni huyu ‘white’


2 

Kwa mara nyingine tena yule staa wa movie kutoka Nigeria Genevieve Nnaj aliepata sifa ya kutunza siri hasa baada ya kuja kujulikana kwamba alificha siri ya kuwa na mtoto wa kike kwa miaka zaidi ya 15, anamiliki tena vichwa vya habari kwa hili jipya la mume mtarajiwa.
Ni mara nyingi stori zimemuweka kwenye headlines kwamba ataolewa na mwimbaji D’Banj ambae wako mapenzini lakini time hii naambiwa huyu mfanyabiashara raia wa Ghana Mathew Mensah ndio anatarajiwa kumuoa December 2013.
Kuna siku Genevieve aliulizwa kuhusu huyu Mghana ila akaapa kabisa kwamba wao ni marafiki wazuri tu lakini hawako mapenzini kama wengi wanavyoamini, sasa basi stori za kuaminika ni kwamba hawa wawili wanaoana kabla 2013 haijamalizika.
Ni muda mrefu wamekua wakionekana pamoja na inadaiwa hata kwenye birthday ya miaka 33 ya Genevieve huyu Mghana ndio ali-host party.
1

Baada ya Cisse kugoma kuvaa jezi kwa muda mrefu, hizi ndio taarifa mpya tumezipokea


CISSE
Star wa timu ya taifa ya Senegal na klabu ya Newcastle United ya ligi kuu ya England Demba Pappis Cisse hatimaye ameonekana kusalimu amri na kukubali kuvaa jezi ya Newcastle ambayo itakuwa na nembo ya mdhamini mkuu wa Klabu hiyo ambaye ni kampuni ya Wonga.
Cisse ambaye ni nahodha wa timu ya taifa ya Senegal amekubali kuvaa jezi hiyo baada ya kugoma kutokana na sababu za imani ya dini yake ya uislamu ambayo haiafiki masuala ya riba kwenye mikopo au biashara, na ilifikia hatua ya kupewa adhabu ya kufanya mazoezi mwenyewe na kuachwa na klabu hiyo wakati wenzie walipoenda nchini Ureno kufanya mazoezi ya kabla ya msimu ambapo ilidhaniwa kuwa nyota huyo angeweza hata kufukuzwa kutokana na msimamo wake.
Siku chache zilizopita wadakuzi wa magazeti ya England walimnasa Cisse akiwa ndani ya Casino akiwa amekaa kwenye meza ya kucheza kamari jambo ambalo liwafanya watu washindwe kuelewa nini kinaendelea kwani kamari kama ilivyo kwa masuala ya riba ni haramu kwa Waislamu.
Picha inayomuonyesha Cisse akiwa kwenye meza ya Kamari ndani ya Casino.
Picha inayomuonyesha Cisse akiwa kwenye meza ya Kamari ndani ya Casino.
Wonga ni kampuni ambayo inafanya biashara ya kukopesha watu ambapo mikopo inayotolewa na kampuni hiyo inalipwa kwa kutoza riba ya juu jambo ambalo Cisse kama muumini safi wa dini ya kiislamu anapingana nalo.
Hata hivyo suala hilo limemalizwa baada ya Pande zote kukaa chini na kuzungumza na kupata ufumbuzi kwenye Kikao kilichoongozwa na viongozi wa chama cha wachezaji wa kulipwa nchini England PFA na sasa Cisse atavaa jezi za Wonga kama mchezaji mwingine yeyote wa Newcastle.
Mmoja wa wachezaji waislamu wa Newcastle Mousa Cissoko akiwa amevaa jezi ya Wonga.
Mmoja wa wachezaji waislamu wa Newcastle Mousa Cissoko akiwa amevaa jezi ya Wonga.

Stori kamili kuhusu Lebron James kutoichezea tena timu ya taifa ya Marekani.


lebron
Star wa NBA Lebron James huenda asiichezee tena timu ya taifa ya Marekani kwenye michuano mbalimbali ya kimataifa ambapo taarifa iliyotoka kwa walio karibu nae  mkali huyu wa Miami Heat ambayo mwezi uliopita aliiongoza kutwaa ubingwa wake wa tatu wa NBA, ni kwamba amechoshwa na kucheza mechi nyingi za timu yake ya NBA na timu ya taifa hivyo wakati timu ya taifa ikicheza, yeye atakuwa karibu zaidi na familia yake.
L23 kama lilivyo jina lake, ana familia changa ambayo anahitaji kuwa karibu nayo na anahisi kuwa hakuna ulazima wa yeye kuwepo kuisaidia timu ya taifa kwani kuna wachezaji wengine wanaoweza kujaza nafasi yake.
Lebron James ameamua kuwatosa wenzie Team USA.
Lebron James ameamua kuwatosa wenzie Team USA.
Wakati Lebron akiwaza kuikacha Drea Team, Nyota wa Oklahoma City Thunder Kevin Durant ametangaza nia ya kuichezea timu ya taifa ya Marekani kwenye mashindano ya dunia mwakani na ameungwa mkono na staa mwingine wa Minesotta Timberwolves Kevin Love ambaye ametangaza kuendelea kuwa sehemu ya timu ya taifa hasa kwenye michuano ya mwakani ya dunia kwa timu za taifa za Kikapu ambapo Marekani ndio mabingwa watetezi.

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...