facebook likes

Tuesday, June 25, 2013

VIBONZO VYA LEO

 HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHA

HAYA NDIO MAAJABU YA MWENYEZI MUNGU YATOKEA MKOA WA MBEYA:



Mapacha walioungana Eliudi na Elikana.
MWANAMKE mmoja mkazi wa Kijiji cha Kasumuru, Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya, Grace Joel Lwesha (19), amelia baada ya kujifungua watoto walioungana. Akizungumza na waandishi wetu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Jengo la Watoto, Grace alilia kutokana na kile alichodai kujifungua watoto walioungana wakati yeye ni maskini.
Watoto hao mapacha wa kiume, Eliudi na Elikana wameungana sehemu ya makalio hivyo kulazimika kutumia sehemu moja ya haja kubwa.


Grace aliwaambia waandishi wetu kwamba, watoto hao walizaliwa katika Hospitali ya Kyela, Februari 20, mwaka huu wakiwa na miguu miwili na mikono miwili kila mmoja.
“Baada ya kujifungua Machi mosi nilihamishiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Mbeya kwa uchunguzi zaidi ili waweze kujua ni jinsi gani watakavyotenganishwa,” alisema.


Hata hivyo, hospitali hiyo ya mkoa haikufanikiwa badala yake Machi 16, walimhamishia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo kuanzia hapo mpaka sasa anafanyiwa maandalizi kwa ajili ya safari ya kupelekwa nchini India kwa upasuaji.
 “Ninawapenda sana watoto wangu hawa pamoja na kwamba wapo katika hali hii, ndugu zangu walipokuja hospitalini kuniona akiwema mama yangu walinifariji na kunisihi nisiwachukie nizidi kuwapenda.
“Kuwatunza ni kazi ngumu sana kwani mara nyingi wamekuwa wakininyima usingizi kwa sababu wamekuwa wakilala kwa nyakati tofauti.


“Nakumbuka siku niliyojifungua mume wangu alikosa raha lakini sasa anawapenda kwani amejua kuwa hii ni zawadi kutoka kwa Mungu.
 “Maisha yetu ni magumu kwani tunatoka kwenye familia maskini, kazi yetu ni kilimo cha kutumia jembe la mkono hivyo bado kuna mahitaji mengi nashindwa kumudu. Nichukue nafasi hii kuwaomba msaada Watanzania wote walioguswa na tukio hili,” alisema Grace.
Grace alifunga ndoa na Erick William Mwakyusa Desemba 23, 2010 na katika ndoa yao wamejaliwa kupata mtoto mmoja aitwaye Lide (3) na hao mapacha ni uzao wake wa pili.


Mama huyo anaomba msaada kwa mtu yeyote aliyeguswa na habari hii atume mchango wake kupitia namba 0753308525 ambayo ni ya mumewe au aende kumuona Muhimbili.\

HABARI NA GPL :

MATITI YALIYOWAOTA WAVULANA YASABABISHA BALAA!!!!1




VIJANA watatu wa familia moja ya  Felipe Ramirez, wamepata balaa kubwa baada ya kuota matiti yaliyosababisha kuchekwa na vijana wenzao waliokuwa wakiwaona kuwa ni mashoga.
Vijana hao kutoka katika Jamhuri ya Dominica ni  Yeuri (17 ), Gabriel (11) na  Daniu Ramírez  (12),  hata hivyo, kwa sasa wanaishi kwa amani baada ya kufanyiwa upasuaji na kuondolewa matiti hayo.
Baba yao mzazi, Felipe Ramirez alifanya jitihada ya kuomba msaada kupitia televisheni na magazeti ili wanawe wafanyiwe upasuaji kwani walikuwa wakiishi katika mateso kwenye jamii yao.


Baada ya kuomba msaada, Mkurugenzi wa Hospitali ya  Marcelino Velez Santana nchini humo, Dokta  Pedro Antonio Delgado aliamua kuwalipia gharama za upasuaji ambao ulichukua saa mbili.
 Ramirez, alisema: “Wakati wanaingizwa katika chumba cha upasuaji nilikosa raha kwa kuhofia kama watatoka salama nao waliogopa lakini baada ya kutoka, wote tumefurahi sana.”

 

Cheka na ushangae!!!!!!

WAZIRI MKUU WA ZAMANI WA ITALY AHUKUMIWA MIAKA 7 JELA

WAZIRI MKUU WA ZAMANI WA ITALY AHUKUMIWA MIAKA 7 JELA

 
 

 

Mahakama ya mji wa Milan nchini Italia imemuhukumu kifungo cha miaka saba jela, Silvio Berlusconi Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo.

Berlusconi ambaye aliwahi kuwa Waziri Mkuu wa Italia kwa vipindi vitatu tofauti, alipatikana na hatia ya kujihusisha na vitendo vya ngono na mabinti walio na umri wa chini ya miaka 18.

Mahakama hiyo pia imemfungia Berlusconi mwenye umri wa miaka 76 kujishughulisha na masuala ya siasa kwa maisha yake yote baada ya kukumbwa na kashfa hiyo.

Hii ni mara ya tatu kwa Waziri Mkuu wa zamani wa Italia kuhukumiwa katika kipindi cha miezi tisa iliyopita.

Mwezi Oktoba 2012 alihukumiwa kifungo cha miaka minne jela baada ya kupatikana na hatia ya kukwepa kodi na mwezi Disemba mwaka huohuo alihukumiwa kifungo cha mwaka mmoja kwa kosa la kutumia ushahidi wa kunasa mazungumzo ya simu kinyume cha sheria.

Mahakama ya Milan imetangaza kuwa, Berlusconi anayo haki ya kukata rufaa kwenye Mahakama ya Rufaa.


ikumbukwe kuwa  berlucconi ni rais wa club ya ac milan ya italia.

KUNDI LA MZIKI LA P-SQUARE WATOA WIMBO MPYA-PERSONALLY-SIKILIZA NA DOWNLOAD HAPA

 
 
P-Square has released a new single titled, Personally. Listen to it below and tell us what you think...
 

USHAIDI WA PICHA MME WA JOYCE KIRIA NA VIJANA WENGINE WACHADEMA WAKIWA NA PINGU,KESI YA UGAIDI IGUNGA

Bw.Henry Kilewo akiwa na watuhumiwa wenzake wa mashtaka ya Ugaidi yanayowakabili wakati walipofikishwa Mahakama ya Hakimu mkazi mkoani Tabora kwa mara ya kwanza 

 Wanachama wengine wa Chadema ambao wanahusishwa katika mashataka hayo ya Kigaidi ambapo imedaiwa kuwa watuhumiwa walifanya makosa hayo ya Ugaidi na kumjeruhi Bw.Mussa Tesha ambaye ni mwanachama wa CCM wakati wa kampeni za uchaguzi wa Ubunge wa jimbo la Igunga mnamo tarehe 9/9/2011 katika msitu wa Hanihani huko wilayani Igunga.
Kamanda Henry Kileo akiwa ndani ya gari pamoja na wtuhumiwa wenzake wanne wakisubiri kupelekwa Gereza la Mahabusu hadi watakapoletwa tena Mahakamani hapo mnamo tarehe 8/7/2013.

UNDER-30 YOUTH AWARDS TANZANIA

Under-30 Youth Awards 2013 Online Polls 

 
1. Youth with Social Impact
2. Youth in Entrepreneurship
3. Youth in Innovation
4. Youth in Media Category
5. Youth in Sports
6. Youth in Art and Design
7. Youth in Entertainment
8. Youth in Fashion
http://youthawards.or.tz 
TO VOTE

Maandalizi ya tamasha la Grand Malt Tanzania Open Film Festival yazidi kunoga.


HUKU zikiwa zimebaki siku chache kabla ya kufanyika kwa Tamasha la Wazi la Filamu Tanzania, maarufu kama ‘Grand Malt Tanzania Open Film Festival’ ambalo litafanyika katika Viwanja vya Sahara jijini Mwanza, maandalizi yake yamezidi kupamba moto.
Mratibu wa Tamasha hilo ambaye pia ni Mkurugenzi wa Sophia Records, Musa Kissoky, alisema kwa sasa kila kitu kimekamilika na kinachosubiriwa ni kuanza kwa tamasha hilo Jumatatu ijayo.


Kissoky alisema, tamasha hilo ambalo litakuwa la bure kwa watu wote na kushirikisha mastaa wa filamu hapa nchini, litakuwa la aina yake kwani vitu vitakavyofanyika vitakuwa si vya kawaida.  “Kwa sasa maandalizi yamekamilika kwa asilimia 90, yaani tunaleta kitu tofauti ambacho watu watashangaa, ndio maana mpaka sasa wengi wanapigwa na bumbuwazi kuhusu kile tutakachofanya siku hiyo,” alisema.
Naye Meneja wa kinywaji cha Grand Malt walio wadhamini wakuu wa tamasha hilo, Consolata Adam, alisema wameamua kufanya kweli zaidi kwani wanataka kuona Watanzania wanapata kitu chenye uhakika. “Tumejipanga katika hili na wala hatutanii kwani tunataka kuwawezesha wakazi wa Mwanza na maeneo ya jirani kuhudhuria tamasha hili kwa wingi . Tunawakaribisha watu wote wenye mapenzi na filamu zetu za Tanzania kufika na kushuhudia tamasha hili ambalo mwaka huu limeboreshwa zaidi,” alisema Consolata.
Naye Meneja Habari na Mawasiliano wa TBL, Edith Mushi, alisema, kutokana na ubora wa kinywaji cha Grand Malt hata tamasha hilo litakuwa la aina yake na litakaloiteka mikoa yote ya Kanda ya Ziwa. “Tumeona jinsi wananchi wanavyozipenda filamu za Tanzania, maarufu kama ‘Bongo Movies’ na jinsi walivyo na kiu ya kuwaona wasanii wa filamu ana kwa ana, sasa kazi kwao kuwashuhudia na kuona tamasha bora zaidi,” alisema.
Tamasha la Filamu la Grand Malt linatarajiwa kuanza Julai 1-7, mwaka huu huku kukiwa na filamu mbalimbali zitakazooneshwa katika kipindi hicho. Filamu zote hizo ni kutoka Tanzania.Wasanii wakali wa Bongo Muvi wakiwemo Aunty Ezekiel, Vicent Kigosi ‘Ray’, Jacqueline Wolper, Irene Uwoya, Jacob Steven ‘JB’, Mahsein Awadh ‘Dk Cheni’na  Issa Mussa ‘Cloud’ ni baadhi ya wasanii walioahidi kufanya kweli pia katika tamasha hilo.


Tamasha hilo la filamu limedhaminiwa na kinywaji cha Grand Malt kisicho na kilevi ambacho kinazalishwa na kusambazwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL).

Swala to Sponsor ten students at the Dept. of Geology, University of Dar es Salaam

Swala Oil and Gas (Tanzania) Limited (“Swala”) is pleased to announce a new scholarship scheme to sponsor ten students at the Department of Geology, University of Dar es Salaam.  This scheme is part of Swala’s commitment to the development of local capacity able to fully participate in Tanzania’s hydrocarbon economy. 


Students wishing to attend a university course must apply to the Tanzania Commission for Universities (www.tcu.go.tz) or the National Council for Technical Education (www.nacte.go.tz).  Once selected for a course, students may apply for national grants to assist them in their studies.

Swala invites applications for its scholarship scheme from students wishing to start a Geology degree at the University of Dar es Salaam in the 2013/2014 academic year.  Students with outstanding academic results are invited to send a CV together with copies of their academic results and the names of two referees to Swala Oil and Gas (Tanzania) Limited DSMscholarship@swala-energy.com

Joint Arena Media: #BBAChase: Nando and Sill Uncut Having Sex Part 2 ...

Joint Arena Media: #BBAChase: Nando and Sill Uncut Having Sex Part 2 ...: Watch Video after the cut...

Big Brother Africa Contestants Craving sex; Natasha Caught On Camera Using Sex Toy (Photo)

Curious things tend to happen in the Big Brother House when the lights go out as Natasha proved in the wee hours of the morning.

She purred to her fellow Rubies, “Don’t be scared if you hear a zzzzzzzzz sound while you sleep, it’s just me and my vibrator,” and then smiled mischievously like the cat that got the cream. Wowza, this Natasha sure likes to stir things up doesn’t she? Her fellow Housemates were clearly taken aback by this declaration as Maria and Oneal quickly leapt out of bed to get a better listen to this intriguing bit of information. “Seriously if you hear a grrr grr sound, don’t think that I am shaving, I am not shaving,” she added while laughing.

photo

But with Natasha and that dirty mouth of hers you just never know what is true and what is not and so the intrigued Rubies asked her for proof. She suddenly played coy and merely giggled but as she giggled Elikem who was sleeping in the bed next to her with Pokello jumped up from under the covers and exclaimed, “I heard it". “You are hearing things,” Natasha said in a fit of laughter.

Hmm so what do you think, was Natasha just joking or did she really play naughty with herself under the covers?

UPDATE: #BBATheChase - Nando And Selly Making Love ADULTS ONLY,

SCROLL DOWN TO WATCH VIDEO

After a weekend of countless intimate moments and alleged sexual intercourse between Ghana beauty queen Selly and bad Nando from Tanzania, Selly has finally confessed her feeling for the ‘sex hungry’ Nando.


“I love Nando,” that was the potent declaration that Selly made in the Diamond House today.

The young Ghanaian was having a heart to heart with Melvin in the bedroom when the Nigerian quickly pounced on her about her steamy new romance with the Tanzanian. “Do you love Nando? Do you love Nando?” he queried repeatedly.

At first the aspiring actress tried to avoid giving a definitive answer and instead hid herself under the covers and giggled like a school girl. But eventually after much probing from the Diamond dude she eventually caved in and proclaimed, “Yes, I love Nando”. Oh snap! Who knew that things between the two were already at the L-word stage? Does Nando have any idea about this? Does he feel the same way?

Judging by his careless comments in the past about not wanting a relationship but just shag; it does not look like it as Nando told Selly he want to have a “beneficial friendship” with her.

But you never know maybe the young student has had a change of heart now that the pretty Ghanaian has come into his life and his bed. For Selly’s sake we hope that she is not setting herself for a one way trip to Heartbreak land.

It all started on Friday night when Selly was moved into the Diamond house. She spent the entire night with Nando in the same bed getting cozy.

Whiles sweet talking her in bed, Nando did not hide his desire to have sex with Selly asking her to have what he calls a “beneficial friendship” with him.

Selly had an opportunity to spend time with one housemate of her choice in the Rendezvous room on Saturday evening and she chose Nando. The two were seen Flirting, toasting Champagne, stealing little baby kisses and playing with each other under the blanket while in the Rendezvous room.

What do you think of Selly’s declaration of love for Nando.

MTANGAZAJI JOYCE KIRIA AOMBA AFAHAMISHWE ALIPO MUMEWE HENRY KILEO

1a

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...