facebook likes

Showing posts with label FOCUS. Show all posts
Showing posts with label FOCUS. Show all posts

Tuesday, April 22, 2014

Sunday, October 20, 2013

UFOO SARO..."NIKIPONA NITAWEKA KILA KITU WAZI"

Mtangazaji wa Kituo cha televisheni cha ITV, Ufoo Saro, ambaye alijeruhiwa kwa kupigwa risasi na mzazi mwenzake Jumapili iliyopita, ameahidi kutoa ya moyoni atakapopona na kuruhusiwa kutoka hospitalini.Ufoo ambaye amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, kitengo cha moyo tangu wiki iliyopita kutokana na majeraha ya risasi, afya yake inazidi kuimarika na sasa ameanza kula mwenyewe na kufanya mazoezi ya kutembea.
SOMA ZAIDI..........

Saturday, October 12, 2013

MELI KUBWA ZAIDI YATIA NANGA BANDARINI DAR NA MAKONTENA 4,500.


Meli hiyo ya Maersk Line.
Biashara katika bandari ya Dar es Salaam imeanza kushika kasi  huku Watanzania wakitarajia kunufaika na punguzo la bei ya bidhaa kutoka nje baada ya meli kubwa yenye urefu wa meta 249 kuanza kutia nanga katika bandari hiyo.
Hatua hiyo imekuja baada ya kuwepo kwa propaganda kuwa bandari hiyo haina uwezo wa meli zenye ukubwa huo wenye kubeba makontena 4,500 kutia nanga, lakini jana Tanzania iliandika historia kwa meli hiyo kutia nanga asubuhi.
SOMA ZAIDI........

MWENYEKITI WA SHINDANO LA MISS UTALII "CHIPUNGAHELO" APEWA ONYO KALI KWA KUWADHALILISHA WASHIRIKI WA KIKE.

BARAZA la Sanaa la Taifa (Basata), limempa karipio kali Mwenyekiti wa shindano la Miss Utalii, Gideon Chipungahelo(Pichani juu) kwa kosa la kudhalilisha baadhi ya washiriki na malalamiko kufanyiwa kazi na Baraza hilo. 
SOMA ZAIDI.....

DENTI WA MIAKA 12 APACHIKWA MIMBA HUKO KIPUNGUNI JIJINI DAR.....!!

Binti wa darasa la sita mwenye miaka 12 aliyepewa ujauzito na Roja.
BINTI wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Kilimani iliyopo Kipunguni, Dar mwenye umri wa miaka 12 (jina tunalihifadhi kwa sababu za kimaadili) amejikuta akishindwa kuendelea na masomo baada ya kupewa ujauzito na kijana wa mtaani aliyejulikana kwa jina moja la Roja. 
 SOMA ZAIDI...........

ANGALIA PICHA YA MTOTO ALIYENYONGWA NA DADA WA NYUMBANI

Mtoto Arafat Allan enzi za uhai wake.(picha kwa hisani ya gpl)
NI ukatili uliopitiliza! Hausigeli aliyejulikana kwa jina moja la Ester (14) yupo matatani kwa madai ya kumuua mtoto Arafat Allan (3) kwa kumnyonga shingo na kumpiga na kitu kizito kichwani kisha kuutumbukiza mwili wake kwenye dimbwi la maji machafu, Risasi Jumamosi limekamata tukio zima.
SOMA ZAIDI.........

MANYAMA UZEMBE ALIYETAKA KUJIUA KWA KUCHUKIA UNENE SASA NI KIDUME KWELI BAADA YA MIEZI 18 TU YA KUPIGA MATIZI YA UHAKIKA


Mike Waudby pictured at 33 stone
Mike says that losing weight has given him a life and is urging others not to get into the same situation he found himself in

kabla na baada: kushoto, mike wa manyama uzembe na kulia mike bwana misuli
SOMA ZAIDI..............

Friday, October 11, 2013

Wakaguzi Syria washinda tuzo ya amani ya Nobel

Wakaguzi wa silaha za kemikali Syria
Tuzo ya amani ya Nobel, mwaka huu imekwenda kwa shirika la kudhibiti silaha za kemikali duniani OPCW.
SOMA ZAIDI.........

Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa Atembelea Shirika la Anga la Marekani NASA huko Huntsville

Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa Atembelea Shirika la Anga la Marekani NASA huko Huntsville

Makaribisho ya kipekee
ANGALIA PICHA ZAIDI...........

TFDA yabaini dawa bandia katika soko

Sehemu ya dawa zilizokamatwa katka Operesheni.

 

Mkurugenzi MKuu wa TFDA na DCI Manumba wakitazama sehemu ya dawa zilizokamatwa.

SOMA ZAIDI......

Wabakaji waadhibiwa kwa kukata nyasi Kenya


Mwathiriwa alisema kuwa anawajua wabakaji
Wakenya wameghadhabishwa sana na hatua ya wanaume watatu waliombaka msichana mmoja na kutupa mwili wake kwenye choo kuamrishwa na polisi kukata nyasi kama adhabu kwao.
SOMA ZAIDI....

TUNAOMBA RADHI KWA PICHA::AUAWA BAADA YA KUMUUA MWENZAKE KWA MKUMCHOMA NA KISU MKOANI MWANZA


Huyu ndiye marehemu kijana maarufu kwa jina la 'Mkandarasi' anayesadikika kufanya mauaji kwa mumchoma kijana mwenzake kisu naye aliuawa na wananchi wenye hasira katika mtaa wa Msikiti wa Ijumaa jijini Mwanza.
SOMA NA ANGALIA PICHA ZAIDI.........

MABALOZI WA JUMUIYA YA NCHI ZA ULAYA (EU) WATEMBELEA GEREZA KUU UKONGA, JIJINI DAR ES SALAAM

imageKamishna Jenerali wa Magereza Nchini, John Casmir Minja akisalimiana na Balozi wa Jumuiya ya Ulaya Nchini Tanzania, Mhe. Gilberto Sebregondi ambaye aliongoza ujumbe wa Mabalozi wa Jumuiya ya Nchi za Ulaya katika ziara yao leo Oktoba 10, 2013 Gereza Kuu Ukonga, Jijini Dar es Salaam ili kujionea namna ambavyo Jeshi la Magereza linazingatia kikamilifu masuala ya Haki za Binadamu na Utawala Bora katika Uendeshaji wa Magereza hapa nchini.
SOMA NA ANGALIA PICHA ZAIDI....

A FIRST TANZANIAN JUDGE SWORN IN AS INTERNATIONAL RESERVE JUDGE IN CAMBODIA

IMG_9765
Judge Steven Bwana (centre) from Tanzania accompanied by his wife Angelika Bwana in Official tete-atete through video conference with a Panelist of Judges in Cambodia. Looking on is WFP Representative and Country Director, Mr Richard Ragan, who was acting as the UN Resident Coordinator during the Sworn in Ceremony held at WFP Headquarters in Dar es Salaam.

MOHAMMED DEWJI AMONG TWO YOUNGEST BILLIONAIRES ON THE CONTINENT OF AFRICA

Mohamed deji3
MeTL Group CEO Hon.Mohammed Dewji.
Africa boasts 55 billionaires from 10 countries Africa, the world’s fastest growing emerging market, is now home to 55 billionaires, with an average net worth of $2.6bn.

Thursday, October 10, 2013

MAITI YA BINADAMU YAKUTWA IMETUPWA JIRANI NA CHUO CHA TUMAINI IRINGA......

Askari wakiutoa mwili wa marehemu jana jioni  katika kichaka juu ya mawe ambapo ndipo ulipotupwa
 SOMA NA ANGALIA PICHA ZAIDI......

TAZAMA PICHA 10 WEMA NA DIAMOND WALIPOKUWA MALAYSIA


Baada ya habari kuenea kuwa Diamond PLatnumz amerudiana na Wema walipokuwa Malaysia katika moja ya show zake na Platnumz kukanusha habari hiyo kupitia website yake, hatimaye Jb blog imepata picha nyingi za Diamond na C.E.O wa Endless Fame Wema Sepetu wakiwa kwenye pozi tofauti tofauti  nchini humo.
ANGALIA PICHA ZAIDI.........

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...