facebook likes

Sunday, February 10, 2013

RIPOTI YA MATUMIZI YA SERIKALI YATUA MIKONONI MWA SPIKA

Mwenyekiti wa kamati Mahsusi iliyoundwa na Mhe Spika kuishauri serikali namna ya kuongeza uwigo wa mapato Mhe. Andrew Chenge akitao utangulizi wa ripoti yao kabla ya kumkabidhi Spika wa Ofisini kwake Bungeni leo
 Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiwa amekabidhiwa ripoti hiyo
 Mwenyekiti wa kamati Mahsusi iliyoundwa na Mhe Spika kuishauri serikali namna ya kuongeza uwigo wa mapato Mhe. Andrew Chenge akimkabidhi Spika wa  Bunge  Anne Makinda ripoti yao. Kamati hiyo iliundwa na Mheshimiwa Spika kwa lengo ka kuaandaa Mapendekezo ya kuishauri serikali kuhusu kuainisha vyanzo mbalimbali vya Mapato ndani ya serikali yaliyo ya kodi na yasiyo ya kodi
 Spika wa  Bunge  Anne Makinda akiwapongeza wajumbe wa kamati amati Mahsusi iliyoundwa na Mhe Spika kuishauri serikali namna ya kuongeza uwigo wa mapato mara baada ya kukabidhiwa ripoti ya kamati hiyo ambayo ataiwasilisha serikalini.
Picha na Owen Mwandumbya-Bunge

MISS UTALII 2012/2013 KUANZA WIKI IJAYO

Miss Utalii Tanzania 2012/13 wiki ijayo wataanza ziara ndefu ya kutembelea Hifadhi za Taifa na vivutio vya utalii katika mikoa ya Dar es salaam,Morogoro,Mtwara,Lindi na Pwani. Vivutio hivyo ni pamoja na Hifadhi za Taifa za Mikumi, Udizungwa, Saadani, Selous, pia maeneo ya kihistoria ya Bagamoyo, Amboni, Kijiji cha makumbusho,Makumbusho ya Taifa, Pugu sekondari,maeneo mengine ni ufukwe wa kigamboni, soko la kimataifa la magogoni, uwanja wa taifa, J.K.Nyerere Air Port, Soko la kariakoo, mashule ya sekondari na msingi, pia watatembelea manispaa za ilala, temeke na kinondoni ambapo watakutana na viongozi wakuu wa wilaya, mikoa, na wabunge katika majimbo ya mikoa hiyo.

Picha na Habari na
Erasto Gideon Chipungahelo
President Miss Tourism Tanzania International 

The Symbol Of National Heritage

HAWA NDIYO WABUNGE MACHACHARI WA CHADEMA WAKIWA BUNGENI

Kikao cha Bunge kikiendelea mjini Dodoma.
Wabunge wanne wa Chadema wamebainika kuhusika na utovu wa nidhamu bungeni, uliojitokeza wiki iliyopita na kusababisha vurugu. 

Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge iliyopewa kazi ya kuchunguza mazingira yaliyochangia uvunjifu wa kanuni pamoja na wabunge waliohusika, ilitoa taarifa yake jana bungeni na kuwataja wabunge hao.  

Wabunge hao  hata hivyo, wamewekwa kiporo kusubiri Kamati ikutane nao kabla ya kuamua ni adhabu gani wapewe. Wabunge hao ni Tundu Lissu (Singida Mashariki), Joshua Nassari (Arumeru Mashariki), Pauline Gekul (Viti Maalumu)  na John Mnyika (Ubungo).

Akiwasilisha taarifa ya kamati, Mwenyekiti Hassan Ngwilizi alisema kwa kutumia ushahidi wa picha za video zilizopigwa na TBC na kumbukumbu za Bunge, ilibaini wabunge waliokuwa wakisimama,  kuwasha vipaza sauti na kujibizana na kiti cha Spika kinyume na kanuni. 

Ngwilizi alisema Mnyika alisimama mara kadhaa akiomba utaratibu licha ya Kiti kutomruhusu, hali iliyodhihirisha utovu wa nidhamu. 

Kwa upande wa Lissu, Nassari na Gekul, walibainika kuzungumza kwa jazba kwamba ‘mnatuburuza’ na kuamsha ari kwa wabunge wengine hali iliyoibua vurugu. 

Ngwilizi alisema Nassari alikishambulia na kujibizana na Kiti cha Spika akimwambia anabaka kanuni. 

Wakati miongoni mwa adidu za rejea ni mazingira yaliyochangia vurugu, Kamati ilibaini kwamba tafsiri ya muda aliotumia Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe ndicho kilikuwa chanzo cha vurugu. 

Hata hivyo Kamati ilisema muda aliotumia Waziri Maghembe wa dakika 30 ulikuwa sahihi kulingana na kanuni, tofauti na Lissu alivyohoji akidai anapaswa atumie dakika 15. “Hatua ya kuhoji Kiti kuhusu muda haikuwa sahihi bali kukilazimisha,” alisema. 

Kamati ilisisitiza kwamba Naibu Spika, Job Ndugai alikuwa sahihi kuondoa hoja bila mjadala. Alisema hoja ilifika hatua ya kujadiliwa na ilikuwapo dhamira isipokuwa mtoa hoja (Mnyika) alifanya fujo.  “Kilichokosekana ni hali ya utulivu na si kukiukwa kanuni,” alisema.

Ingawa Kamati ya Ngwilizi yenye wajumbe 16 ilipewa kazi ya kutoa maoni na mapendekezo, katika taarifa yake haikufanya hivyo. Hata hivyo Spika Anne Makinda alisema Kamati haikufanikiwa kukutana na wabunge waliobainika kuhusika na utovu wa nidhamu.

Alisema katika kuzingatia utawala bora, Kamati itakutana na kila mmoja kabla ya kuamua hatua za kuchukuliwa dhidi yao. “Kama Kamati ingekutana nao, tungechukua hatua,” alisema Makinda. 

Kanuni ya  74 inataja adhabu zinazoweza kutolewa na Spika kwa ukiukaji wa kanuni inaweza kushauri ikiwa ni kosa la kwanza, mbunge asihudhurie vikao vya Bunge visivyozidi 10.

Ikiwa ni la pili au zaidi mbunge huyo hatahudhuria vikao vya Bunge visivyozidi 20. Hata hivyo, bila kujali ushauri wa Kamati, Bunge linaweza kumchukulia hatua nyingine za kinidhamu, ikiwa ni pamoja na kumsimamisha kazi mbunge  aliyetenda kosa.

MSAKO WA WALIOFICHA FEDHA NJE YA NCHI WAANZA

Waziri Mkuu Mizengo Pinda.
Serikali imeunda Kamati maalumu ya kitaifa kuchunguza na kubaini majina ya Watanzania wanaodaiwa kuficha fedha nje ya nchi kinyume na sheria na kanuni za nchi.

Pamoja na kuchunguza, Kamati hiyo yenye wajumbe wanane iliyoundwa Januari 9, itachunguza iwapo fedha hizo ni haramu au la.

Hayo yalisemwa bungeni jana na Waziri Mkuu Mizengo Pinda, alipokuwa anatoa hoja ya kuahirisha Mkutano wa 10 wa Bunge mjini hapa.

Hatua ya kuundwa Kamati hiyo ilitokana na Azimio namba 9/2012 likiitaka Serikali kuchukua hatua dhidi ya Watanzania hao. Azimio hilo lilizaliwa na hoja binafsi ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto. 

Kwa mujibu wa Azimio hilo, Serikali inatakiwa kuwasiliana na Benki ya Dunia kupitia kitengo cha urejeshaji mali, ili mabilioni yanayomilikiwa na Watanzania katika benki za nje ambako hufichwa kwa kukwepa kodi, yarudishwe nchini.

Lakini pia Watanzania wote wenye akaunti za fedha nje ya nchi waeleze wamezipataje ili Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ichukue hatua za kisheria dhidi ya wamiliki wa fedha na mali kinyume na mapato yao halali. 

Serikali ilikubali, kwamba katika Mkutano wa Bunge wa 11 itawasilisha taarifa ya hatua iliyochukuliwa ili kuziba mianya ya utoroshaji wa fedha nje ya nchi.

Mbali na kuchunguza uhalali wa fedha hizo, Kamati hiyo ambayo wajumbe wake hawajatajwa kwa majina, pia itatakiwa kutambua benki na nchi zilikofichwa fedha hizo na pia kuandaa mashitaka dhidi ya Watanzania watakaobainika kuficha fedha haramu nje ya nchi; na kuishauri Serikali jinsi ya kuzuia uhalifu wa makosa ya fedha.

“Ili kuiwezesha Kamati hii kufanya kazi yake kwa ufanisi, ni wazi kwamba itahitaji ushirikiano mkubwa kutoka kwa wananchi kwa kutoa taarifa kuhusu suala hili. Hivyo, wananchi wote wenye taarifa sahihi na za ukweli zinazoweza kuisaidia Kamati kutekeleza kazi hii, wajitokeze kutoa maoni yao kupitia Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na kushirikiana kwa karibu na Kamati …waheshimiwa wabunge nao nawaomba kutoa ushirikiano wa kufanikisha kazi za Kamati hii,” alisema Waziri Mkuu.

Kuhusu hali ya amani nchini, Waziri Mkuu alielezea kuwapo hivi karibuni dalili za kupoteza sifa ya umoja wa kitaifa na amani ambavyo vimedumu kwa miaka mingi, kwa wananchi kushuhudiwa wakishindwa kuvumiliana, japo kwa tatizo dogo tu miongoni mwao. 

Vyama vya siasa vimeonesha dalili ya kuhamasisha wanachama kuingia kwenye malumbano ya siasa  baina  yao  wenyewe  kwa  wenyewe au baina ya chama  na kingine na baadhi ya wanachama kushikana mashati na kujeruhiana. 

“Napenda kutumia fursa hii, kuasa viongozi wa vyama vya siasa kuepuka kutumia majukwaa ya siasa kuvuruga amani na utulivu uliopo. Waepuke matamko ya vitisho na kuhamasisha wanachama kuendeleza vitendo vya uvunjifu wa amani na kujenga chuki na uhasama miongoni mwa jamii na kwa Serikali halali iliyoko madarakani,” alisema Pinda.  

Aliongeza kuwa pamoja na kutofautiana kwa mawazo na sera za vyama vya siasa, ni muhimu kujenga mazingira ya kuvumiliana kwa hali ya juu katika kujenga demokrasia ya kweli nchini. 

“Viongozi wa vyama wanatakiwa kueleza sera zao badala ya kutukanana, kubezana, kushutumiana na kuzomeana. Tujenge nchi yetu kwa amani na utulivu ndipo tutapata maendeleo endelevu,” aliasa.

Alisema kumeibuka pia chokochoko za kidini; baadhi ya waumini wa dini wamekuwa wakikashifu dini nyingine kwa kejeli na vitendo vingine visivyostahili, ambapo pia baadhi ya viongozi wa madhehebu ya dini wamekuwa wakiwaingiza waumini wao katika migogoro isiyokwisha, ikiwa ni pamoja na kufungiana milango na kuzuia waumini kuabudu siku za ibada. 

“Napenda kusisitiza, kuwa madhehebu ya dini yana nafasi kubwa ya kujenga umoja wa kitaifa, amani na mshikamano. Nawaomba viongozi wa madhehebu ya dini kutatua kwa amani migogoro iliyopo na kuelimisha waumini wao kuthamini, kujenga na kuenzi amani na utulivu uliopo. 

“Serikali imetoa uhuru wa wananchi kuabudu, kila mtu kwa dini anayoitaka. Hivyo, hakuna sababu ya dini moja kukashifu nyingine. Aidha, tupinge kwa nguvu zetu zote chokochoko za kidini ambazo zimeanza kujitokeza sehemu mbalimbali nchini,” alisema.
Aliyagusa pia mashirika yasiyo ya serikali (NGOs) akisema baadhi yao yamekuwa yakihusishwa kuwa mstari wa mbele kurubuni wananchi kufanya vurugu zinazolenga uvunjifu wa amani wakati yana jukumu kubwa la kuelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kujenga umoja wa kitaifa. 

“Viongozi wa mashirika haya waepuke kutumiwa na baadhi ya viongozi, kupanda mbegu mbaya kwa wananchi kuvuruga amani,” alisema.

Kwa upande wa vyombo vya habari, alisema kumekuwa na kutiliana shaka kwa baadhi ya vyombo hivyo kuandika habari za uchochezi, hivyo kuashiria uvunjifu wa amani na mshikamano wa kitaifa. 

“Vyombo vya habari vina wajibu mkubwa wa kuelimisha umma na kuhabarisha kuhusu masuala ya maendeleo, kama wafanyavyo jirani, hususan vyombo vya habari vya Rwanda. Aidha, vyombo hivi vina fursa nzuri ya kutumia uhuru uliopo kudumisha amani na utulivu nchini,” alisema.

Kuhusu nini kifanyike, Waziri Mkuu aliitaka Serikali, wananchi na wadau wote vikiwamo vyama vya siasa, madhehebu ya dini, vyombo vya habari, mashirika yasiyo ya serikali, n.k. wakae wazungumze na kutafakari kuhusu hali hiyo.

“Tunapaswa kwa namna zote tuvumiliane na kuheshimiana kwa kuzingatia utamaduni wa kitanzania na misingi ya amani na utulivu tuliojijengea kwa muda mrefu; na wananchi wote tuzingatie na kuheshimu utawala bora wa sheria, kanuni na taratibu zilizopo,” alishauri Waziri Mkuu.

Akizungumzia hali ya chakula nchini, Waziri Mkuu alisema tathmini iliyofanyika hivi karibuni juu ya chakula na athari za mvua zinazoendelea kunyesha, inaonesha kuwa maeneo mengi hasa  yanayopata mvua za msimu, ya Mbeya, Ruvuma, Rukwa, Iringa, Tabora na Mtwara, mazao mengi yako katika hatua mbalimbali za ukuaji na kama mvua zitaendelea vema, upatikanaji wa chakula katika maeneo hayo utakuwa mzuri.

Hata hivyo, alisema kuna upungufu wa chakula katika wilaya 47 katika mikoa 15 ambazo zitahitaji msaada wa chakula katika vipindi tofauti ambapo inakadiriwa kuwa jumla ya watu 1,615,445 watahitaji jumla ya tani 32,870 za chakula. 

“Kutokana na matarajio hayo ya uhaba wa chakula, Serikali itahakikisha Kitengo cha Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA) kinaendelea kusambaza mahindi katika maeneo yenye uhaba. Hadi sasa jumla ya tani 20,000 zilishatolewa kwa mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara, Dodoma, Singida, Morogoro, Lindi, Tanga, Mtwara, Pwani, Dar es Salaam, Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara na Tabora,” alisema. Bunge liliahirishwa hadi Aprili 9, Dodoma.

OFFICIAL RELEASE OF NEW SINGLE FROM STEVE RNB ON FEBRUARY 12TH, 2013

Steve RnB new single will come out on Tuesday( February 12th, 2013) and the name of the song is Music ( Its all about music). This is a special gift for Valentine from Steve RnB to his fans and all RnB fans out there. Please share this with your friends, family, on your blogs and webites.
 
Name of the song: Music ( Its all about Music)
Artists : Steve RnB
Studio : Pacific Records
Producer : Chief Eliyah
 
Thanks,
Kvelli Entertainment LLC

BARAZA LA MITIHANI LATOA TOVUTI RASMI ZA KUANGALIZIA MATOKEO



Baraza la mitahani la taifa leo limetoa tovuti rasmi kwa ajili ya kuangalizia matokeo pindi yatakavyo tangazwa. Tovuti hizo ni www.necta.go.tz na www.matokeo.necta.go.tz. vilevile wamesema kwamba tovuti ya wizara ya elimu www.moe.go.tz haitatumika kwasasa kwasababu haipo hewani.

KAMATI YA ZITTO KABWE YA HESABU ZA MASHIRIKA YA UMMA (POAC) YAFUTWA



ZITTO KABWE.



SPIKA wa Bunge, Anne Makinda ametangaza mabadiliko ya Kamati za Kudumu za Bunge, huku Kamati ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC) iliyokuwa ikiongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe ikifutwa.

 

Kutokana na mabadiliko hayo, shughuli za POAC sasa zitaendelea kufanywa na Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), ambayo itaendelea na jukumu lake la msingi la kuchambua taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na kwa Serikaki Kuu.


Kamati nyingine iliyofutwa ni ya sheria ndogo, huku Spika akiunda kamati mpya tatu na nyingine kuzifanyia marekebisho kadhaa ikiwa ni hatua ya kuimarisha usimamizi wa Bunge kwa shughuli za Serikali.


Akitangaza mabadiliko hayo muda mfupi kabla ya kuahirisha mkutano wa kumi jana, Makinda alizitaja kamati mpya kuwa ni Kamati ya Bajeti, Kamati ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Kamati ya Ulinzi na Usalama, ambayo imetenganishwa kutoka Kamati ya kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama.

NGOMA MPYA YA SKYLIGHT BAND

I'm listening to Skylight Band - Carolina @Hulkshare:

CHADEMA KUFANYA MAANDAMANO YA KUTISHA, TAZAMA VIDEO HII

BREAKING NEWS:AJALI MBAYA YA LORI YATOKEA KIBAMBA, MMOJA AFARIKI














 Mwili wa Marehemu Dereva kwa Mbele ukiwa Umekandamizwa na Lori lililo beba Mbao izo
 Huu ni Mguu wa Dereva ambaye amekandamizwa na Gari hilo






 Hivi Ndivyo Gari hili lililo beba Mbao limeanguka 










VIDEO:POLISI WATUMIA NGUVU KUTAWANYA WACHOMAJI MOTO NYUMBA ZA WATU MKOANI MARA

HII NDIYO ALBUM MPYA IJAYO YA JUA KALI

Universal To Release Biggie & Jay-Z Albums On Cassette For Prison Inmates

Universal To Release Biggie & Jay-Z Albums On Cassette For Prison Inmates
Universal Records will release albums by Notorious B.I.G., Jay-Z and others, so that music is more readily available for prison inmates.
Universal music has signed a deal with Sendapackage.com, which will result in the release of a number of classic rap LPs to be released in cassette tape form. The deal is meant to benefit prison inmates, who often only have access to cassette players.
Sendapackage is a company that provides inmates with care packages in the New York area. NY emcee Jadakiss had a few words in support of the company.
"Big shout out to Universal for that [deal with Sendapackage.com], and definitely a big shout out to all the correctional facilities," Jada said. "That's one of my biggest markets. I make a lot of music for the inmates, so it's beautiful that they're able to get it on cassette and really absorb and listen to it…I'm sending packages [to inmates] all the time. Sometimes it's difficult 'cus they send third parties to get the money, and sometimes you get up in jail and some things can't get accepted, this and that - there's always a lot of discrepancies…Sendapackage makes everything much easier."
Universal will re-release classic albums from Biggie, Jay-Z, 50 cent, and Young Jeezy, among others.
[Via]

Gospel Songwriters Sue Rick Ross, Dr. Dre & Jay-Z Over "3 Kings"

Gospel Songwriters Sue Rick Ross, Dr. Dre & Jay-Z Over
Two gospel singers are taking action against Rick Ross and those featured on his song "3 Kings," which they labeled as "vulgar."
Rick Ross' celebrity personae has gotten him into quite a bit of trouble throughout his career. Whether it's Freeway Rick Ross trying to sue the rapper, or death threats, or drive-by shootings, there seems to always be something. Rozay now has a new lawsuit to deal with, surrounding his "3 Kings" song.
"3 Kings" appeared on the MMG boss' religion-themed album, God Forgives, I Don't. The song features Jay-Z and Dr. Dre, who are also named in the lawsuit, as well as the producer Jake One and Universal Music Group.
Two gospel songwriters,Clara Shepherd Warrick and Jimmy Lee Weary, filed the lawsuit. The two own the rights to the 1976 song "I’m So Grateful (Keep In Touch)" which is sampled on "3 Kings." Warrick and Weary say that the lawsuit isn't only about the sample though-- it's about the fact that the song goes against their values.
AHH reports that the lawsuit talks about the "3 Kings" video. The suit states, "The video includes very graphic depictions of drug use, vulgarity, nudity, gun violence, criminal conduct, actions demeaning to women and many other items that are certainly inconsistent with Plaintiffs’ wishes for how Plaintiffs’ song would be portrayed."
Warrick and Weary also say that the single "3 Kings" is largely responsible for the success of God Forgives, I Don't, which is now up for Grammy. If Rozay wins, that will only shine more light on the song.
The suit says, "Once the Grammy Awards are broadcast, the listeners will be alerted to existence of Plaintiffs song, at which time it will be subjected worldwide to irreparable harm of being linked to defendant’s song."
The two songwriters are calling for immediate action, including an injunction to prevent further distribution, performance, or commercial sale of the song.
As well, they're suing for copyright infringement, unfair trade practices, unfair competition by misappropriation, conversion and unjust enrichment.
Warrick and Weary are seeking an undetermined amount in damages.

Wiz Khalifa Reveals Plans For Movie With 50 Cent, Talks Molly Trend


Wiz Khalifa Reveals Plans For Movie With 50 Cent, Talks Molly Trend
Wiz Khalifa plans to do a movie with 50 Cent this year, he revealed in a new interview, as well he talks about the drug of the moment.
Wiz Khalifa has always been an advocate for Mary, but that doesn't mean he can't also support the Molly movement. Although Wiz says that at first he wasn't all-for Molly, now he's seen there's money in it and he doesn't mind hopping on a track about the trendy drug. However, you'll probably never see a solo Molly record from the weed rapper. 
While talking to Hardknock TV, Wiz Khalifa detailed his views on Molly, and as well revealed he has more than just music in the pipeline with 50 Cent-- they're going to film a movie together. Wiz references his movie with Snoop when discussing how the movie with Fif came about, however it's not clear if the movie will be another comedy.
On linking up with Fif, Wiz explained it happened initially at the failed Chief Keef video shoot. "Yeah, well we had talked we shot the video, the Chief Keef video. And I just respected 50 from a business standpoint as well as music, and that's when we were just talking about how to expand and build on what we both have going on." Wiz continued, "We made a song together, and I was like, 'let's do a movie.' And that's basically how me and Snoop did our situation, we chilled and was like, 'let's do a movie.' So I was like 'let's do a movie,' and he's like, 'yeah, let's do a movie, I'ma get this person involved, I'ma get that person involved.' So just through time I think we'll put it together and make it work, but it's something I'm definitely taking serious as a project this year."
Soon Wiz was asked about the Molly trend, and he has no qualms about it."You know what, I think it's passed the people who are actually using that, it's just money now. And I would be crazy not to tap into that, I want some of that money too. And it's kids, they're partying and they're having fun. So I'm not gunna tell you what not to do, I've never been that dude," Wiz said, "When I seen that it was kinda growing and becoming more and more popular, at first I was one of the people that was like, 'ah you gotta chill with the Molly,' I said that, but the more popular it grew, it got bigger than me and my influence, so it's like you can either get with it or get lost, and I did not wanna get lost. So I just brought the Mary aspect to it. I never talk about popping Mollys, but I'll say some slang that people that use Molly they fuck with it, and I'll say what I do, do."
Check out the full interview below, where Wiz also discusses his friendship with Kevin Durant, wanting to work with Dr. Dre and more.
CHECK HIM OUT HERE IN AN INTERVIEW,....
 
http://www.hotnewhiphop.com/wiz-khalifa-talks-working-with-50-cent-and-dr-dre-molly-and-more-video.9184.html

Toni Braxton Announces Retirement From Music


Toni Braxton Announces Retirement From Music
Eight-time Grammy winner, singer Toni Braxton, has announced that she will no longer be recording music.
While many artists are set to make come-backs this year, there is one face you won't be seeing in music anymore. R'n'b singer Toni Braxton has announced her retirement from recording. 
There have been many new-comers to the genre of r'n'b, including Miguel, The Weeknd and Frank Ocean to start, and it seems the changing landscape and sound of r'n'b is something Braxton isn't that comfortable with, as she says, current songs don't "impact" her. Toni made the announcement of her retirement of Good Morning America yesterday, and followed up with an appearance on Wendy Williams.
Toni said on Good Morning America that her "heart isn't in [music] anymore." While visiting Wendy Williams she clarified, "I’m singing in ['Twist of Faith'] but that’s about it for me… I’ll have do shows here and there, but I’m not going to do any albums… I’m falling out of love with it, it’s weird. I don’t know what to say when I hear songs, they don’t impact me."
Toni had a long career, selling over 65 million records worldwide, and winning a total of 8 Grammys.
CHECK HER OUT BY CLICKING THIS LINK BELOW
http://www.hotnewhiphop.com/toni-braxton-announces-retirement-from-music-video.9187.html

Lil' Wayne To Be Sued By LA Promoter Over Skateboard Assault

An LA promoter is claiming that a member of Tunechi's entourage attacked him with a skateboard last May, and is just now taking legal action.
Lil' Wayne isn't known for being levelheaded. Just last week, he blew up at a cameraman during a Celebrity Beach Bowl football game after the man shoved him out of the way (to his credit, he did explain himself). 
Now, LA Weekly has reported that California music promoter Alfredo Marino is preparing to sue Wayne for an assault he claims took place last May near the Odd Future store in Los Angeles. He planned on buying a shirt for his daughter at the store, but apparently ended up being knocked unconscious by a blow from a skateboard to the back of the head. After spotting Wayne outside the shop and approaching him for a picture, witnesses claim one of the his bodyguards hit Marino after being instructed to do so by the rapper. 
"The bodyguards started tripping and saying, 'I told you that Lil' Wayne does not want to be bothered,'" he said. "I told them I have taken pictures of tons of people and I just want to show my friends that I saw Lil' Wayne. They started calling me a 'groupie' and I said, 'I ain't no groupie.'"
It was at that point that Tunechi's entourage surrounded and attacked him. After regaining consciousness, Marino was taken to the Cedars-Sinai hospital and treated for a concussion and vertigo. 
The New Orleans rapper will be beginning a European tour shortly, and as such Marino's lawyer is pressing to have the lawsuit served as soon as possible, while he's still in town. He filed it today. 
So far, there's been no response from Wayne's camp. There's word that a Cash Money label party has been organized at an undisclosed location in West Hollywood tomorrow evening, and Wayne is scheduled to make an appearance. Stay tuned. 

Beanie Sigel Waives Preliminary Hearing On Drug And Gun Charges

Beanie Sigel went before court and waived his preliminary hearing on a drug and gun charge from an August 2012 arrest.
 After his arrest on gun and drug charges over five months ago, Beanie Sigel has waived his hearing during his appearance this week in court.
Shackled and wearing prison blues, Sigel, born Dwight Grant, stood before Magisterial District Judge Edward Christie and waived his preliminary hearing on all charges. Though he said little during the proceedings, Sigel smiled when Judge wished him good luck.
Beanie was originally arrested on August 29th following a traffic stop. Following the discovery of marijuana and prescription pill bottles on the driver, police found a bottle of codeine and $4,500 cash in his cargo pockets. He also allegedly admitted to having various prescription pills wrapped in a plastic bag tucked inside of a cigarette pack in his pocket and was put under arrest. His car then being towed had a custodial search be done and state police found a fully loaded .38-caliber Smith in the upper console above his stereo. Bail was set at $300,000 cash, which kept him confined to the Delaware County prison even though he was scheduled to start beginning a 24-month sentence for a tax evasion.
Sigel is scheduled to be formally arraigned in media on March 6th.

Justin Timberlake Confirmed For BRIT Awards 2013 Performance

Justin Timberlake Suit and Tie

Justin Timberlake has been confirmed to perform at this year's BRIT Awards.

The 'SexyBack' star's appearance was confirmed by the BRITs themselves on Friday.
Justin gave one of the all time great performances at the 2003 version of the show when he grabbed Kylie Minogue's bottom in front of the live audience.

The former N*Sync star has previously won three prizes at the show including Best International Male twice.

Justin will make his first live performance since announcing his return to music at a pre-Super Bowl party this weekend.

Speaking about the 'What Goes Around' star's involvement with the BRITs 2013, Chairman David Joseph said: "Justin is an exceptional artist with global appeal and unrivalled successes."

He continued: "We are thrilled to add him to a stellar line-up that will celebrate an amazing year of music and make this one of the strongest BRIT live shows to date."

The singer will also be taking to the stage at the Staples Center in Los Angeles on 10th February for the Grammy Awards 2013.

Justin's new album 'The 20/20 Experience' will be released on 18th March and features new single 'Suit & Tie'.

Hatimaye DIAMOND AMWEKA WAZI MCHUMBA WAKE WA SASA..Angalia PICHA




KUPITIA MTANDAO WA INTSGRAM MAJIRA YA SAA TANO USIKU MSANII MAARUFU TANZANIA KWA JINA LA DIAMOND ALIWEKA PICHA HII NA KUWEZA KULETA MASWALI MENGI KWA JAMII ILIYO IONA PICHA HIYO HASA HASA MANENO YALIYO ANDIKWA KUHUSU HIYO PICHA.






 



NINA WASIWASI NI HUYU HAPA CHINII........CHEKI VIZURIIIIIIIIIIIIIII































COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...