![]() |
| Rais Goodluck Jonathan wa Nigeria |
Rais Goodluck Jonathan wa Nigeria amesema kuwa, Waislamu nchini humo
hawabaguliwi na kwamba serikali inaamiliana nao kama ilivyo kwa raia wa
dini nyingine.
.......SOMA ZAIDI.....
News, Events, Entertainment, Sports, Lifestyle, Fashion,politics, Beauty, Inspiration and yes... Gossip!
Naona kidogo Mgabe kafuatia.

MAUAJI
ya wafanyabiashara wakubwa ‘mabilionea’ yameshika kasi nchini ambapo
baada ya tajiri mkubwa Arusha, Erasto Msuya kuuawa kwa risasi hivi
karibuni, Agosti 3, 2013 bilionea Elia Daniel Endeni (49) naye aliuawa
kwa kupigwa risasi nje kwa mwanamke anayedaiwa kuwa ni mke wake mdogo
aitwaye Juliana Labson (28).