facebook likes

Saturday, February 16, 2013

MTANZANIA APATA SHAVU LA KUIANDAA TIMU YA MAREKANI ITAKAYO SHIRIKI MASHINDANO YA DUNIA


Professional Choreographer kutoka Tanzania House of Talent (THT), Msami Jiovani, weekend hii atafly kuelekea Marekani katika miji ya Washington DC, LA,Ohio na NY kwa ajili ya kutoa mafunzo ya dance, kwa team ambayo itashiriki mashindani ya World Jump Rope 2013, lakini licha ya kutoa somo hilo Msami pia atajifunza vitu vingine vipyakatika tasnia ya dance...
zaidi huyu hapa:
   Inaaminika kuwa style ya kiduku, imeasisiwa nchini Tanzaniana THT, na watanzania tunajivunia kwa hilo, swali ni je Msami atakiwakilisha kiduku akifika huko ama?

Beyonce Shows Off 1-Year-Old Blue Ivy, Says ‘I Will Still Be Protective’


We haven’t seen Blue Ivy since she was about 6 months old and paparazzi secretly snapped some shots while Beyonce was shopping last summer. Now, a photo of the 1-year-old has made it’s way on to the net and has circulated on all social media platforms just as fast as you can blink.
The picture is a screen cap from Beyonce’s upcoming documentary Life Is But A Dream”, which will debut tomorrow night on HBO and is right on time for all the promo the Carters have drummed up for the special night.  Meanwhile, don’t think that Blue Ivy’s appearance in the film means that Beyonce will be more open to showing off her child after the documentary airs. In a recent interview with E!, Bey revealed that she is doing everything that she possibly can to make sure Blue has a normal childhood:
I think for [Gwyneth Paltrow and I], protecting our daughters is so important and…keeping things on our own terms, so I will still be protective and make sure [Blue Ivy] has a childhood and a great time.
At some point, you know it is what it is, you can’t control it anymore. But I know as long as I’m the mother that I know I can be and the mother I have—such an incredible mother—my daughter’s going to be fine.
[The film is] out now because I feel like I finally know what to say after seeing my child’s eyes.
Blue is so adorable and is a perfect little blend of Beyonce and Shawn Carter.
Bonus: Catch Beyonce’s spread in The Gentlewoman magazine in the photo gallery.  She is giving me modern housewife in this spread!


Beyonce and Blue IvyBeyonce featured in Gentlewoman Magazine

Stevie Wonder Offended By Lil Wayne’s ‘Beat The P-ssy Up Like Emmett Till’ Lyrics


Black history month not only highlights the accomplishments that black people have made all over the world, but it also brings back to light the triumphs and losses of the Civil Rights Movement. This week, Lil Wayne and Epic Records rubbed a lot of people the wrong way, when they dropped the remix to Future’s track “Karate Chop,” where Wayne used poor judgment and spit a verse that offended the masses. In talking about how he would have sex with a woman, he said:
“Beat that p—y up like Emmett Till.”
If you don’t know the horrific, disgusting and tragic story of Emmett Till, he was a 14-year-old boy who was viciously murdered in 1955 after two white men claimed that he had been flirting with a white woman. He was from Chicago, visiting his uncle in Mississippi for the summer. The woman’s husband and his half-brother found Emmett, beat him, shot him, gouged out one of his eyes, attached a cotton gin fan to his body, and threw his body in a river. The men were found not guilty and later on admitted in an interview that they did indeed commit the murder. A picture of the 14-year-old’s unrecognizable face was featured on the cover of Jet Magazine just a few weeks after the vicious attack, giving the world just a glimpse into the frightening racism that had been going on in the south. [If you want to see how horrific it was, you can click here at your own risk.]
Now, Lil Wayne and Epic are catching some major heat for allowing the reference to be featured in a song. Emmett’s cousin, Airickca Gordon-Taylor, spoke out on behalf of the family, demanding an apology from Wayne and the label.
“It was a heinous murder. He was brutally beaten and tortured, and he was shot, wrapped in barbed wire and tossed in the Tallahatchie River. The images that we’re fortunate to have that ‘Jet’ published, they demonstrate the ugliness of racism. So to compare a woman’s anatomy — the gateway of life — to the ugly face of death, it just destroyed me. And then I had to call the elders in my family and explain to them before they heard it from some another source.”
The legendary Stevie Wonder even spoke out saying he can’t believe anyone would equate anything with Emmett’s death.
“You can’t equate that to Emmett Till. You just cannot do that. … I think you got to have someone around you that – even if they are the same age or older – is wiser to say, `Yo, that’s not happening. Don’t do that.’
Sometimes people have to put themselves in the place of people who they are talking about. Imagine if that happened to your mother, brother, daughter or your son. How would you feel? Have some discernment before we say certain things. That goes for me or any other (song)writer.
Meanwhile L.A. Reid did reach out to Airickca to apologize, calling her with Jesse Jackson on the line to assure her the reference to Emmett would be removed and that both Future and Wayne agreed to it. However, Airickca says she hasn’t heard anything from Wayne personally. Emmett’s cousin Simeon Wright was in the bed with Emmett when he was kidnapped and later murdered, and Airickca said he made the comment that “‘the Ku Klux Klan would be very proud of Lil Wayne.’ And as tough a man as he is, I could see the hurt and the anger in his eyes. It just demonstrates to our family just how lost are our youth.”
If Lil Wayne didn’t know how inappropriate his lyrics were, he definitely got a wake up call and a history lesson this week. And to think that the label approved the track before it was released. It gets to the point when you have to ask when is enough enough?
This isn’t the first time Emmett Till was referenced in a rap song. On Kanye West’s breakout hit “Through The Wire,” while rapping about his girlfriend’s reaction to his car accident, Kanye West spit the line, “Just imagine how my girl feel, On the plane scared as hell that her guy look like Emmett Till.

AHAMISHIA MAKAZI YAKE NDANI YA KABURI KWA MIAKA 15

Bratislav akitoka ndani ya makazi yake yaliyoko kwenye kaburi.



Mtu asiye na makazi ameeleza jinsi alivyoanza kulala na wafu wakati alipohamia kwenye kaburi miaka 15 iliyopita.

Bratislav Stojanovic, 43, anachangia eneo hilo la kuzikia wafu na mavumbi ya familia moja ambayo ilifariki zaidi ya miaka 100 mjini Nis, Serbia.
Lakini baada ya kulibadilisha kaburi hilo na kulipamba, mfanyakazi huyo wa zamani wa ujenzi alisema anajisikia yuko nyumbani.

Alisema: "Ni pakavu na kuna joto. Nina taa kadhaa na mali zangu mwenyewe.
"Sio hekalu lakini ni raha zaidi kuliko mtaani."

Stojanovic, ambaye hakuwahi kuwa na kazi ya kawaida, alipoteza makazi yake mjini humo baada ya kuzidiwa na madeni.

Alihamia kwenye kaburi hilo baada ya kutangatanga kwenye mitaa kwa miezi na sasa anatumia muda wake kujimulikia kwa mishumaa kwenye makaburi hayo.
Bratislav alisema kwamba kuishi na wafu sio jambo la kutisha kama ambavyo wengi wanaweza kufikiri. Alisema: "Nilikuwa nikiogopa mwanzoni, lakini nimezoea kwa sasa. Sasa ninahofia zaidi maisha kuliko hawa wafu.

"Wakati wowote ninapotaka kutoka nje kwanza nahakikisha hakuna mtu yeyote eneo hilo, vinginevyo ninaweza kumtisha mtu hadi akafa.

"Watu ni wakarimu mno kwangu, wakati mwingine huniletea chakula au nguo.
Wakati mwingine ninalazimika kupata chakula changu kwenye mapipa ya taka lakini kinaweza kuwa na lishe bora. Inashangaza vitu ambavyo watu wanavitupa," alielezea.

"Hainiogopeshi mimi kulala kwenye kaburi. Wafu wamekufa. Ninaogopeshwa zaidi kuwa na njaa.

"Na kama nakufa usiku, angalau niko kwenye sehemu sahihi."
Stojanovic anaishi kwa vyakula vye lishe bora anavyokusanya kutoka kwenye takataka na kukusanya vipisi vya sigara anavyookota chini.

Pango lake lina ukubwa wa yadi mbili za mraba na  paa lake liko umbali wa yadi moja kwenda juu.

Maofisa wa eneo hilo la makaburi wamesema mpangaji wao huyo anaweza kuishi hapo kwa kipindi chochote atakavyo kama tu habughudhi wageni wengine.

"Familia iliyokuwa ikimiliki kaburi hilo ilishatoweka kitambo hivyo kwa sasa halina mwenyewe. Kama atakuwa mstaarabu hakuna mipango ya kumwondoa," alieleza msemaji.

Jina la familia iliyokuwa ikimiliki kaburi hilo haijafahamika kufuatia majina hayo kufutika kwenye jiwe lililowekwa hapo.

ITAZAME HAPA VIDEO YA ITV KUHUSU MAANDAMANO YA DAR ES SALAAM LEO

ITV imeripoti kwamba Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kudhibiti baadhi ya watu wanaodhaniwa kuwa wafuasi wa dini ya Kiislam waliokuwa wakitaka kuandamana kushinikiza itolewe dhamana kwa sheikh Issa Ponda Issa.

 

WIMBO MPYA: ALAWI JUNIOR FT OMMY DIMPOZ - NATAKA LEO

STORI KUHUSU MCHEZAJI DANNY MRWANDA KUPATA TIMU NYINGINE BAADA YA KUTEMWA


.
Mwandishi wa habari za michezo Shaffih Dauda ameandika kwenye website yake kwamba miezi kadhaa baada ya kutemwa na klabu bingwa ya Tanzania bara, Simba Sports Club, mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Danny Mrwanda sasa amepata timu ya kuichezea huko nchini Vetnam.
Mrwanda ambaye miaka kadhaa iliyopita alikuwa mchezaji tegemeo wa Simba kabla hajauzwa kwenda nchini Vetnam kucheza soka la kulipwa katika vilabu vya Dong Tam Long An na Hoang Anh Gia Lai na baada ya kumaliza mkataba wake akarudi bongo kujiunga na Simba, lakini muda mfupi baada ya kujiunga na timu akatemwa kwa madai kwamba kiwango chake kimeshuka. 
Akizungumza na mtandao huu Mrwanda amesema kwamba baada ya kuondoka Bongo, alirudi nchini Vetnam ambapo sasa ameweza kujiunga na mabingwa wa ligi kuu ya Vetnam klabu ya DA NANG FC kwa mkataba wa mwaka mmoja na nusu.
“Nimepata timu huku ya DA NANG FC, hii timu ndio bingwa wa ligi kuu ya Vetnam. Sasa tutashiriki ligi ya mabingwa wa bara la Asia.” – Alisema Mrwanda.

BREAKING NEWS: POLISI WAPAMBANA NA WAUMINI WA KIISLAM WALIOANDAMANA HII LEO


Polisi jijini Dar Es Salaam imepambana na baadhi ya watu wanaodaiwa ni waumini wa dini ya Kiislam walioamua kuandamana katika maeneo ya Kariakoo.

Licha ya kupigwa marufuku kwa maandamano hayo na jeshi la Polisi wamedai kuwa lengo la maandamano hayo ni kushinikiza kupewa dhamana kwa Sheikh Issa Ponda.
Zaidi tembelea mtandao huu

HAYA NDIO MADHARA YA UKIKOSEA MASHARTI YA FREEMASON

 

Unapovunja Masharti ya Pesa za Mashetani, Matokeo yake ndio haya!!!, Jamaa anajaribu kuomba msaada kwa Freemason wenzio coz alikwenda kinyume na Masharti so hao chatu wamempa muda ukipita tu jamaa anamezwa!!!......

JUSTIN TIMBERLAKE FT. JAY-Z - SUIT & TIE OFFICIAL VIDEO....

AVRIL - HAKUNA YULE (MISSING YOU)...... OFFICIAL VIDEO

VAZI LA MBUNGE SHYROSE BHANJI LAZUA UTATA BAADA YA KUKIANIKA "KITOVU" CHAKE


VAZI alilotinga Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Shyrose Bhanji limezua utata kufuatia kuonesha sehemu yake ya tumboni (kitovu). 

Utata huo umekuja mara baada ya picha inayomuonesha mbunge huyo akiwa amejipara  na kuvalia vazi hilo ambalo linamuonesha sehemu hiyo nyeti na kutupiwa mtandaoni.

“Jamani huu ni utata sasa, inakuwaje mheshimiwa anatinga vazi kama hili? Haya mambo bora angewaachia mastaa wadogo, umri wake haufanani na mambo haya!” aliandika mdau mtandaoni

Mwanadada RAYUU aonyesha TATOO YAKE MPYA YA MGUUNI


NIGERIA IMEPANDA VIWANGO VYA FIFA, TANZANIA JE? STORI NDIO HII


.
Nigeria imepanda kwa nafasi 22 hadi kufika kwenye nafasi ya 30 kwenye viwango vya FIFA vya dunia ikiwa ni baada ya kufanikiwa kushinda kombe la mataifa ya Afrika 2013 kwa kuifunga Burkina-faso 1-0.
Kabla ya AFCON 2013 Naija ilikua kwenye nafasi ya 52 ambapo licha ya hivyo nchi hiyo imeendelea kuwa nyuma ya Ivory Coast ambayo inabakia kuwa timu namba moja Afrika huku ikishika nafasi ya 12 kidunia, Nigeria ni ya nne kwa Afrika.
Afrika kusini imepanda kwa nafasi 25 zaidi kwenye viwango hivyo vya shirikisho la soka duniani hivyo kufikia nafasi ya 60 kidunia.
Nchi ambazo zimeingia 10 bora Afrika ni pamoja na Algeria, Tunisia, Zambia, Central African Republic, Burkina Faso na South Afrika wakati timu 5 bora za dunia ni Hispania, Ujerumani, Argentina, England na Italia.
Tanzania imeshuka kwa nafasi tatu na sasa hivi inashika nafasi ya 127 pamoja na kwamba iliifunga Cameroon 1-0 hivi karibuni ambapo kama haufahamu, nafasi kubwa kuwahi kushikwa na Tanzania kwenye hivyo viwango ni 65 na hiyo ilikua mwaka 1995.

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...