07
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Twiga Cement, Pascal Lesoinne (kulia) akimkabidhi Redds  Miss Tanzania Happiness Watimanywa mfano wa hundi wakati akimkabidhi msaada wa  mifuko 300 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa shule ya watoto wenye ulemavu wa ngozi (albino) itakayojengwa mkoani Shinyanga. wa pili kushoto ni Mkuu wa Nidhamu wa Miss Tanzania, Albert Makoye na Meneja Mahusiano  ya Jamii wa Twiga Cement, Natasha D’souza. 
SOMA ZAIDI......