facebook likes

Monday, July 15, 2013

HATIMAYE K-LYNN AMUWEKA WAZI MUMEWE MH MENGI NA WATOTO WAKE

Embedded image permalink

Embedded image permalink

NANDO AAMBUKIZWA GONJWA LA ZINAA NDANI YA JUMBA LA BBA


 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
In a hushed conversation between Nando and Bimp, Nando narrated how he got infected with an STD after his liason with Selly!

For the past days we have been seeing Nando and Selly who were once an item getting distant and avoiding each other but not knowing what happened between them. Thank God that nothing can be kept secret forever and so we had to know the cause why the two fell out.

Nando disclosed that Selly gave him chlamydia a Sexually Transmitted Disease, but we can’t tell how true this is. However, if we are to go by the Tanzanian’s revelations, it explains why the two are no longer getting along well as it was the case at the beginning.

Nando for the past days has been ill, down in bed and if at all his words are to be believed, they answer the question; “What has he been suffering from?”

The Tanzanian lad and the Ghanaian dame had strong feelings for each other that it didn’t even take them a day to open the sexual gates and enjoyed each other’s package through the deed. Despite the fact that he enjoyed Selly’s goodies, Nando made it crystal clear that he wasn’t ready for a serious relationship but just wanted to satisfy the hungry Nando in him.

All in all, we are not sure whether it was Selly who gave Nando the STD or he had it before. And there is also a possibility that he was suffering from another disease. But let’s scrutinize this; For Nando to have been sick and seeing doctors for the past days and with Selly mentioning to Oneal that Biggie told her to be using protection (condoms), it explains that she has also been treated for it.

The same Nando also openly called Selly out on her arena failure right before everyone else causing her to run off crying saying they should nominate her out to go home if that is how badly they all feel about her.
Did Selly make a mistake by getting involved with Nando who has only disgraced her every step of the way since then? What is your view on this issue

ITAMBUE NDEGE YA MH.RAIS JAKAYA KIKWETE WA TANZANIA

Hii ndio Ndege ya Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inatambulika kama 5H - ONE

XAVI HERNANDEZ AVUTA JIKO:MESSI,ALBA NA WENGINE KIBAO WAHUDHURIA HARUSI



                                Xavi akiwa na mkewe Nuria Cunillera 
Htimaye kiungo wa Klabu ya Barcelona ya Hispania Xavi Hernandez ameamua 
kuachana na ukapela kwa kumuoa mchumba wake wa muda mrefu Nuria Cunillera, 
ndoa iliyofungwa siku ya jumamosi usiku huku ikihudhuriwa na wachezaji wenzake akiwemo gwiji Lionel Messi.
Shuhudia jinsi mambo yalivyokuwa katika picha

ANGALIA PICHA ZA CHAMELEON ALIVYOACHA HISTORIA CALIFORNIA KWA MIONDOKO YAKE



    Hapa mwanamuziki huyo kutoka UGANDA akiimba hit song yake "VALU VALU" wimbo ambao ulimpatia tuzo za Kilimanjaro nchini tanzania kama Wimbo bora wa mwaka 2013.

WEMA: SIACHI MKOROGO HADI MADUKA YAFUNGWE


THE big boss wa The Endless Fame Production, Wema Isaac Sepetu ametundika mtandaoni picha zinazoonesha mapaja yake jinsi yalivyoharibika na kuweka michirizi ambapo alipoulizwa na shushushu wetu kulikoni, alisema kuwa hataacha mkorogo hadi maduka yafungwe.
 
Wema katika pozi linaloonesha mapaja yake jinsi yalivyoharibika.
Baada ya staa huyo wa filamu za ‘kikwetukwetu’ kuulizwa na kujibu hivyo wikiendi iliyopita, alitundika picha nyingine kwenye ukurasa wake katika mtandao wa kijamii wa BBM zikimuonesha akiwa nyumbani kwake, Kijitonyama jijini Dar huku madhara ya mkorogo yakionekana waziwazi kwenye mwili wake.
..Mapaja ya mrembo huyo.
Baadhi ya marafiki zake walianza kujadili namna alivyoharibika na wengine kudai matumizi ya vipodozi vikali maarufu kwa jina la mkorogo ndiyo vimemfanya apasuke kiasi hicho.

Wema, baada ya kupokea maoni mengi juu ya picha hizo mengine yakiwa ni ya kejeli, aliwajibu kwa kuandika kuwa hataacha matumizi ya mkorogo hadi maduka yanayouza yafungwe.
Wema alipotafutwa na gazeti hili ili aweze kuweka wazi madai haya hakutoa ushirikiano kufuatia simu yake ya kiganjani kuita muda wote bila kupokelewa.

Source:Global Publisher

BINTI KIZIWI AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA MITANO JELA HUKO HONG KONG BAADA YA KUKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA..!!


MTANDAO wa wauza madawa ya kulevya unazidi kupukutika Bongo kufuatia madai ya kukamatwa kwa watu wanaodaiwa kujishughulisha na ubebaji ‘punda’ wa biashara hiyo haramu, Ijumaa Wikienda lina mtiririko wote.


Hivi karibuni, Video Queen wa Wimbo wa Masogange, Agnes Gerald ‘Masogange’ amedaiwa kunaswa nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’ akiwa na kilo mia moja na hamsini za unga unaoaminika ni sehemu ya madawa ya kulevya. Ameshapanda kortini mara moja Ijumaa iliyopita.
Wakati Masogange akisota Sauzi kwa madai hayo mazito, habari ya mjini kwa sasa ni ya mtalaka wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Ally Mohammed ’Z-Anto’, Sandra Khan au Binti Kiziwi kudaiwa kutupwa jela miaka mitano kwa sakata la ‘unga’.

HABARI YA MJINI KWA SASA NI BINTI KIZIWI
Kuanzia Alhamisi iliyopita, habari zilizoligubika Jiji la Dar ni kuwa Binti Kiziwi amenyongwa nchini China baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na madawa ya kulevya.
Kwa mujibu wa mitandao, Binti Kiziwi alinyongwa wiki mbili zilizopita.
Hata hivyo, mitandao hiyo haikusema kama mrembo huyo alinyongwa hadi kufa au la! Sheria za hukumu hiyo, mwenye hatia anatakiwa kunyongwa hadi kufa.


UKWELI WA BINTI KIZIWI NI HUU
Baada ya kusambaa kwa manenomaneno hayo, Ijumaa Wikienda liliingia mtaani kuisaka familia ya Binti Kiziwi lakini bila mafanikio.
Kwenye makazi ya mama yake, Buguruni, Dar, majirani walisema mzazi huyo amehama baada ya kufunga ndoa siku chache kabla ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.

IJUMAA WIKIENDA LAZIDI KUCHIMBA
Ijumaa Wikienda lilizidi kuzama ndani katika kuchimbua tetesi hizo ambapo lilifanikiwa kumpata ndugu wa kiume wa Binti Kiziwi na kufanya naye mazungumzo kama ifuatavyo:
Wikienda: Samahani, nimeambiwa wewe ni ndugu wa Binti Kiziwi, ni kweli?
Ndugu: (huku akitaja uhusiano wao) Ni kweli, nikusaidie nini?
Wikienda: Kuna manenomaneno kwamba Binti Kiziwi amenyongwa nchini China baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na madawa ya kulevya, ni kweli?
Ndugu: Sijui hizo habari watu wanazipatia wapi?! Watanzania wana maneno sana. Si kweli ndugu mwandishi.
Wikienda: Ukweli ni upi?
Ndugu: Kwanza kabisa Binti Kiziwi hakukamatiwa China, alikamatiwa Hong Kong, kwa sheria za kule mtu akipatikana na hatia ya kukutwa na ‘unga’ anahukumiwa jela tu.
“Binti Kiziwi amehukumiwa miaka mitano jela Hong Kong, na si China. Watu wajue hilo na miaka mitano si mingi, atatoka.”
Wikienda: Nashukuru sana kwa ushirikiano ndugu yangu.
Ndugu: Asante, waambie Watanzania waache kuongeaongea sana.

source-GPL

Huyu ndiye model wa Tanzania aliyepata dili ya kutangaza nguo na viatu vya kampuni ya Adidas.

Huyu ndiye model wa Tanzania aliyepata dili ya kutangaza nguo na viatu vya kampuni ya Adidas.

Jina lake anaitwa Danny David ni Mwanamitindo wa kume toka Tanzania na mwanamitindo pekee toka Tanzania alipata nafasi ya kufanya kazi ya kutangaza nguo na viatu vya kampuni kubwa ya Adidas tawi la Afrika ya kusini.

Alianza kuonekana kwenye fashion mwaka 2012 kwenye maonesho ya Swahili Fashion Week chini ya mwanamitindo maarufu nchini Mustapha Hasanali, ameshiriki kuonesha mavazi kwenye Harusi fashion week iliyofanyika chini ya mbunifu wa mavazi Ally Rehmutula na pia alishawahi kushiriki na kushinda kwenye mashindano ya wanamitindo ya Maridadi model search yaliyofanyika hapa Tanzania.



Danny ni mwanasheria kitaaluma na ana degree ya sharia toka chuo cha Tumaini Iringa



Katika interview tuliyofanya naye hivi karibuni Danny amesema pamoja na kuwa mwanamitindo anamipango ya kuwa muigizaji kwani ni kitu alichokuwa anapenda kukifanya tangu utotoni.


COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...