facebook likes

Wednesday, June 26, 2013

UCHAMBUZI WA KIMBUZIMBUZI WA MAGAZETI YA LEO


 Okay  okay okay, kuna maswali kadhaa yanahitaji majibu, Alinunua lini hii meli? Je aliicheki kama haina matundu chini? Je alinunua road licence? Ilikwisha lini? Alinunua Uchina? Kuna maswali kadhaa ambayo bodi ya wakurugenzi wa blog tumeona tujiulize kabala hatujatoa msimamo wa blog.

 Dah Mbunge kamloga nani tena? Inajulikana kuna wengi wanatumia teknolojia hiyo, sasa huyu mpaka akasimamishwa ina maana alipewa masharti ya ziada. Au alianza kuzima nyota za wenzie? Au alivunja yai viza kwenye ukumbi wa Bunge? Why why, aftaol ukubwa huku Afrika unaambatana na utamaduni kidogo au siyo?

 Ajali ni kitu kinachotokea kwa bahati mbaya, sasa ishu ya watu kufanya makusudi kwanini iitwe ajali? 

 Hii itakuwa ni kwa kuwa mashine zetu za kunyongea hazifanyi kazi, kwa hiyo tumelazimika kupata wawekezaji katika taaluma hiyo. Kwa hiyo ishu ya kunyongwa ukihukumiwa hapa kufanyika Ulaya.Teh teh teh kuna watu walivyo waroho wa kwenda majuu watang'ang'ania kwenda kunyongwa Marikani

Sasa huu ni ukorofi, nyie ndie wenye mitambo ya simu sasa na nyie eti mnabip dah, serikali ikiwapigia mtaidai hela ya kupiga, acheni hizo jamani pigeni simu kieleweke mnabip hata nyie?

Usupa sta kazi kweli, eti ukikuna kichwa watu wanaandika, ushauri kwa masupasta mkiona sehemu nyingine fulani zinawasha msikune hadharani watawaandika. Supasta nanihii kakuna tako, yule mwingine kakuna kwapa hahahahaha
 
 
THANKS TO CHEKA NA KITIME

PICHA YA SIKU: RONALDO NA DEMU WAKE IRINA NDANI YA PRIVATE JET WAKILA BATA


ANDRE SCHURRLE - MCHEZAJI WA KWANZA KUSAJILIWA NA MOURINHO CHELSEA MSIMU HUU - ANGALIA UWEZO WAKE


Jose Mourinho amefungua rasmi akaunti ya Chelsea na kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa kijerumani ANDRE SCHURRLE - ambaye leo hii amefaulu vipimo vya afya na kujiunga rasmi na Chelsea akitokea Bayern Leverkusen.

Chelsea wamempa mjerumani huyo mkataba wa miaka mitano, na kuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na Jose Mourinho tangu arejee kutoka Santiago Bernabeu mapema mwezi uliopita.

Schurrle, 22, alisema: “Nina furaha kusajili hapa. Ni heshima kubwa kwangu kuichezea klabu hii, ninaangalia mbele kuitumikia timu hii.”

Schurrle ana uwezo wa kucheza aidha kama winga au mshambuliaji wa kati akiungana na wachezaji wengine kama  Juan Mata, Eden Hazard, Oscar na Kevin De Bruyne katika kugombea nafasi ya kuwemo katika kikosi cha kwanza cha Mourinho. 

Schurrle amepewa jezi namba 14.

ANGALIA MAVITU YAKE KWENYE VIDEO HII HAPA CHINI
 

LIVERPOOL WAENDELEZA VURUGU KWENYE USAJILI: WAKAMILISHA USAJILI WA MCHEZAJI WA NNE - GOLIKIPA MIGNOLET WA SUNDERLAND


Liverpool wamekamilisha usajili wa nne katika dirisha hili la usajili baada ya kutangaza kukamilisha usajili wa golikipa Simon Mignolet kutoka Sunderland kwa ada ya uhamisho ya £9million.

Golikipa huyo amekuwa akitamaniwa na Brandan Brendan Rodgers kwa muda mrefu, na sasa anatajwa kuja kuchukua nafasi ya kwanza kwenye kikosi cha Liverpool mbele ya Pepe Reina.
 

WAKATI WACHEZAJI WENGINE WAKILA BATA IBIZA - DEMBA BA AENDA KUFANYA IBADA MAKKA NA MEDINA



BAADA YA KURUSHIWA CHUPA AKIWA STEJINI OMMY DIMPOZ AOMBA MSAMAHA KWA MARA YA PILI.


Ommy Dimpoz kwa mara nyingine ameamua kupaaza sauti yake na kuwaomba watanzania wamsamehe kwa kauli zake mbaya kuhusu marehemu Ngwea....

Sambamba na msamaha huo,Ommy anadai kuwa amejifunza kutokana na kosa lake na kwamba hatarudia tena...

Uamuzi wa kuomba msamaha kwa mara ya pili umekuja baada ya msanii huyu kupigwa mawe mjini Dodoma hivi juzi


Hii ni kauli yake kupitia ukurasa wake wa facebook:

MBUNGE WA CHADEMA SUGU AKANA KUMUOMBA RADHI WAZI MKUU KWA KUMUITA "MPUMBAVU"


Juzi, mbunge wa mbeya mjini alitoa tusi zito kwa waziri mkuu wa Tanzania na kudai kuwa Tanzania haijawahi kuwa na waziri mkuu mpumbuvu kama yeye...

Kupitia account yake ya facebook, Sugu, ambaye ni mbunge wa mbeya amezidi kusisitiza kuwa hawezi kuomba msamaha wala kuifuta kauli yake....

Hii ni post yake facebook:

"...naskia kuwa watu wanasema kwamba eti nimefuta kauli yangu kuhusu waziri mkuu na amri yake kwa polisi kupiga wananchi?!...


Sina sababu ya kufuta wala kuomba radhi, na nasimamia kauli yangu to the end...kwanza 'upumbavu' sio tusi,upumbavu kwa kiingereza ni stupidity-which is lack of knowledge and understanding...

So hata uwe na cheo gani kama ukishindwa kuwa na 'understanding' juu ya madhara ya kauli zako kwa taifa then u r 'stupid'...ambapo kwa kiswahili ndio 'mpumbavu'..."

MOHAMMED DEWJI AWA MTANZANIA WA KWANZA KUTAMBULIKA NA JARIDA LA KIMATAIFA LA FORBES AFRIKA

942331_578714148840668_773339795_n 
Mo mjasirimali kijana mwenye mafanikio ya kipekee katika bara la Afrika.

Mjasirimali mchapakazi na Mbunge Kijana nchini Tanzania, Mohammed Dewji (MO) ametajwa katika jarida la Kimataifa la mabilionea duniani katika Nyanja za biashara (Forbes Africa Magazine) kama mjasirimali mwenye umri mdogo mwenye mafanikio ya kuigwa hapa Afrika na duniani kwa ujumla taarifa la Jarida hilo limeeleza.
Kwa mujibu wa taarifa hizo toka kwa Jarida hilo la Forbes African Magazine linasema amekuwa Mtanzania wa Kwanza kupata kuhojiwa na (Forbes Magazine) mafaniko, changamoto na matatizo kadhaa kwenye uwanja wa biashara kwenye ukanda huu wa Afrika Mashariki na kati.
Mo akihojiwa na Jarida hilo alisema toka kwenye masaa mia moja kwa wiki na kutengeneza faida ya Millioni 85 dola za kimarekani! Ni mafanikio makubwa katika biashara Afrika.
Anasema ni safari ya takribani miaka 12 ya ushindani wa kibiashara ndani ya mipaka ya Tanzania na Afrika kwa ujumla.
“Nani anaweza kufikiri kwamba tunaweza kubadilisha biashara yetu toka Millioni 30 za kimarekani hadi dola Billioni 1.1 ndani ya miaka 12 tu,’ alinukuliwa akisema.

REVIEW: Tyler Perry's Temptation: Confessions of a Marriage Counselor

MOVIE
Tyler Perry's Temptation:
Confessions of a
Marriage Counselor

CAST
Jurnee Smollett-Bell,
Lance Gross

RATING
PG-13

RELEASE
March 29, 2013

DIRECTOR
Tyler Perry

STUDIO
Lionsgate

RUNNING TIME
1 hour 51 minutes

REVIEW:

Well, it took me long enough to see my first Tyler Perry movie.  Unfortunately, I kind of wish I had waited a little while longer to see one of his movies instead of seeing 'Temptation.'  The full title of 'Temptation' is 'Tyler Perry's Temptation: Confessions of a Marriage Counselor,' but frankly it would take a long time to read this by using that title every time I mention the name, so let's just stick with 'Temptation,' since chances are nobody will remember this movie by the end of the year.  This film stars a lot of somewhat unknown actors/celebrities, with the only names that pop off the poster are Kim Kardashian and Vanessa Williams, both of whom are horrible in this movie.  The plot of the film basically says why you should never leave the love of your life for someone new and how you should be a good Christian 24/7 instead of sleeping around with the first guy who says they can offer you something more.  If you're a Tyler Perry fan, then I'm going to guess that you will probably enjoy this movie.  If you are anybody else, then this movie is 2 hours of wasted time and money.

The sad thing about this movie is that it had the potential to be good.  In fact, the first 45 minutes had me somewhat invested with the main characters and the conflicts the main girl Judith was going through.  There was even a shimmer of decent acting from the three main leads of the movie.  Everyone else in the cast is pretty forgettable and just downright bad.  As soon as Judith goes into her little love affair on an airplane, everything just goes downhill by incorporating a twist that if you think about it, it can be predicted early on in the film.  My entire audience was shocked as any typical audience would be.  I was just sitting in my seat saying to myself "Really? How could nobody have seen this coming like an hour ago?"

Tyler Perry just knows how to please his regular demographic and nobody else.  If he was able to make a movie that could please all audiences, then maybe he could get somewhere in life other than just making either sappy dramas or stupid comedies where he dresses up as a criminal christian woman with some sass.  'Temptation' is an example of when the slightest glimmer of something decent gets hammered down by wacky editing, a stupid twist, and some terrible jokes that will make anyone with the mind of a 13 year old laugh.  Seriously, I sensed a little bit of goodness in this movie while watching it.  I see the potential that Perry has as a director and a writer.  If he's able to write something that isn't just for his demographic audience, then maybe he'll go farther than he is now in Hollywood.  In the mean time, please spend your hard earned time and money on seeing something else.

THEATRICAL TRAILER


 HERE TYLER PERRY TALKS ABOUT IT

10 Things women should know straight from the guys….

1. Calling you does not mean we are hitting on you
Most men are left wondering that why’s it that just because he called you, you assumed he wants you to fill in the post of his girlfriend. He may actually just want to hang out with you.

2. You are much prettier without all that makeup
Your basic foundation and kajal is fine, but layers upon layers of makeup only makes you unappealing to your guy. So keep it simple.

3. When you act giggly, it’s seriously embarrassing
When you spot your gang of girls while you are out with your boyfriend, don’t squeal and go giggly or jump up and down. Most men find it extremely childish.

4. Gossiping, whispering and writing notes makes you look shallow
When you pass notes or whisper when you and your friends are sitting at a table along with others makes it seem like you are still in your classroom.

5. Boys worry about what you think of their hair, skin, weight and clothes
Do tell your boyfriend if you think his new haircut makes him look cute or if his favourite T-shirt needs to be done away with.

6. PMS is no excuse to be mean
Yes, men do understand that every month you are likely to get crabby for a few days, but that’s not reason enough to be mean and cranky all the time.

7. Talking about your butt is boring
It’s a known fact that no boyfriend — who doesn’t want to be dumped — will ever tell his girfriend that she is looking fat. So no in point discussing, arguing and then discussing some more, aboutweight issues with your boyfriend.

8. Tight clothes make you look sort of desperate and insecure
You may be in shape but anything that amounts to too much skin show is not going to be appreciated by your boyfriend. Don’t keep showing how desperate you are. It can be a big put off if the guy is serious about you.

9. Most boys are looking for the right girl
It’s not just women who are looking for Mr Right, but boys are looking out for their Miss Perfecttoo. So don’t be scared to play the love game.

10. If you like him, just tell him
Don’t pretend to ignore him and then cry when he asks another girl out for dinner. If he’s interested in you, and if you feel the same way then respond. Don’t keep the guy waiting too long.

NU VIDEO: JIKUBALI BY BEN POL


Video hii nilikuwa naisubiri sana, na kweli inaendana na hadhi ya audio yake, mwanzo mwisho anaonekana yeye tu, clean video isiyo na complications.simple but classic, imetengenezewa jijini arusha na producer Nisher

DRAKE ANUNUA MZIGO WOTE WA ALBUM YA J COLE "BORN CINNER" KATIKA MOJA YA MADUKA UNION SQUARE


  baada ya kupanda stage  na J cole kwenye show yake ya "Dollar And Dream", Drake alienda katika moja ya maduka yaliyokuwa karibu eneo la union square na kununua mzigo wote wa album ya J Cole "Born Cinner" uliokuwepo katika duka hilo.
wakati wawili hao wakiwa ndani ya duka hilo walifuta shelve lote lenye album hiyo ya Cole na  wakanunua na cd album zingine zikiwemo za Sade, French Montana, Kendrick Lamar, na The Weeknd.

kwenye video hii Cole anaonekana akicheka na kusema "Nataka kujua nani atalipa" wakati wakielekea kwa muuza duka, na alionekana Drake akiwa ameshikilia risiti yenye jumla ya dola 888.
muuza duka pia anaonekana akimwambia J Cole kuwa album yake imeuza copy nyingi kuliko "Yeezus" ya Kanye West.

OMMY DIMPOZ AELEZEA SAKATA LA KUPIGWA MAKOPO YA MAJI DODOMA


Baada ya kutokea amesema sijasema, ni kweli ni uongo wiki iliyopita, kuhusu kutoa maneno ya dharau kwa Marehem Albert Mangweha a.k.a Ngwea, (ujinga wake umemfanya afe maskini), Ommy Dimpoz ametokea kupokea makopo na chupa akiwa stajini  (Kili tour) siku ya jumamosi ndani ya dodoma, Ommy alionekana steji akiwa anaimba na kukwepa makopo kwa wakati mmoja na baada ya kushindwa kuyavumilia aliamua kuachia stage na kushuka chini na mwisho kuondoka na kurudi hotelini alipofikia

leo hii kupitia xxl Ommy Dimpoz amezungumza juu ya situation hiyo

"ndio hivyo, nilikua nimepanda stajini, unajua kutokana na hili lililotokea, kwa hiyo tangia mwanzo hata mimi wenyewe nilijua labda kunaweza kukatokea fujo, lakini nilivyopanda watu walinipokea kuliko nilivyotarajai, kwasababu ndio tumetoka katika vugu vugu hili la, matatizo haya ambayo yamejitokeza sasa hivi.

kwahiyo ilivyofikia nimemaliza kuimba baadae, unajua hata kama kuna mtu alipanga kufanya fujo lakini ilikua sasa nguvu hata akipiga yeye akitaka kutumia nguvu ya watu wanaoshangilia ni wengi, ilipofika wakati naimba wa me and you, namalizia mwisho ndio kuna  baadhi ya mashabiki wakarusha makopostajini, lakini si unajua mimi mwenyewe nimepitia kumfuu kidogo kwahiyo nikayapangua, nilicheza nayo paaaaa paaaaaa.

imeenezwa chuki kwamba mimi nimemtukana marehem Albert kitu ambacho sio kweli, nimejaribu kukielezea kwenye media mbali mbali kuwa si kweli, wametumia kauli yangu niliyoongea kupitia Killi siku ya Tanzania Music Awards wakati kitu nilichokiongea nitofauti na kitu kilichokuja kupandikizwa, lakini mi najua safari ya mziki ni ndefu, na mwenyezi mungu atajaalia tu haya mambo yatakwisha kwasababu hata yeye mwenyewe anajua sina kosa, sija mkosea mtu wala sina tatizo na mtu, nafanya tu maisha yangu ya mziki, lakini inapofikia time unajua mtu mwingine anaweza akaja tu na sababu zake binafsi kwa nia ya kukuvuta shati, lakini kama mungu amendika njia yako nyeupe basi itakuwa nyeupe tu, na hakuna njia iliyonyooka siku zote lazima inakua na vikwazo kidogo, kwa hiyo naamini hii ni mitihani tu itaisha kwasababu sina tatizo na mtu.

nachoamini binaadam tunakufa pengine roho pengine zinabaki zina hang, hata marehem mwenyewe naimani anajua kwamba sikumtukana...................

hii ni challenge tu  naichukulia kwangu, pengine ni mitihani kwasabau sijawahi kuipata na  ku experience katika maisha yangu ya mziki hiki ni kitu kikubwa nimekutana nacho kwa sasa, lakini naimani itakwisha."

Jay-Z’s sports agency signed NBA all-star Kevin Durant

Jay-Z and  his budding sports agency just signed three-time NBA all-star Kevin Durant. kevin durant and Jay Z The OKC Thunder superstar just posted an Instagram of he and Jay signing docs that make him Roc Nation Sport’s newest client.
Durant is the latest in a growing list of HUGE athletes jumping ship to Jay’s new venture … like NY Yankee Robinson Cano, NASCAR superstar Dale Earnhardt Jr., and NY Jet Geno Smith
Durant is Jay Z’s first NBA star.
Durant is currently in the middle of a massive 5-year, $89 million contract with the Thunder. His move to Roc Nation has more to do with landing big money deals off the court.

THEO WALCOTT AFUNGA NDOA NA MPENZIWE TOKA UTOTONI NCHINI ITALY

Siku ya Jana Mchezaji mpira wa Ligi kuu ya uingereza chini ya timu yake Arsenal
aliamua kukacha ukapela na kufunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu toka utotoni
aitwae Mellanie...!!

Harusi hiyo iliyoudhuriwa na watu wengi maarufu na hata wachezaji wenzake kutoka
arsenal na wengine,waliomba kuleta zawadi yoyote kwenye harusi baadala
yake Walcott aliomba wachangie mfuko wa Willow
Foundation unaosimamia maswala ya magonjwa ya kansa,
 unaosimamiwa na mkongwe wa zamani
wa Arsenal Bob Wilson.....Azima hiyo imekuja baada ya dada wa mkewe na Walcott
kufariki akiwa na Umri wa Miaka 16 kwa matatizo ya kansa ya Ini....
Baadhi ya wachezaji wa Arsenal walioudhuria harusi hiyo walikuwa,
Alex Oxlade Chamberlain aliesafiri na Jet mpaka Italy,Aaron Ramsey,
Kieran Gibs,Thomas vermaelen......!!
 Ndoa hiyo iliyofanyika kwenye kasri kubwa ya kifahari nchini Italy
iliudhuriwa na wageni waalikwa na aikutangazwa popote kabla ya ndoa...!
Ilianzia zamani,Picha hii ni mwaka 2006 Theo walcott akiwa na mpenzi wake kwenye
Uzinduzi wa Harrypotter jijini London...!!
Theo walcott kwenye mikiki mikiki uwanjani kwenye moja
 mechi za ligii kuu Uingereza...

Rick Ross should know the difference between a continent & country

Rapper Rick Ross sure made a fool of himself on Monday when he tweeted about his recent visit to Africa. rick ross
An excited Ross wanted to brag about his artist Wale’s new album The Gifted on Twitter, but it all went horribly wrong.
“Just landed in the beautiful country of Africa.. I can tell you that the world is excited for #TheGifted,” he tweeted.
Fans quickly responded, mocking the rapper and holding him accountable for knowing what the difference is between a continent and a country.
“As big as he is, Rick Ross should know the difference between a continent & country,” tweeted Trevor Noah.
Ross recently lost a Reebok endorsement over a lyric in which he boasted of drugging and having sex with a woman without her knowledge.
Still no word on where Ross actually landed during his visit to Africa.

BREAKING NEWS:CARLO ANCELOTTI ACHAGULIWA KUWA KOCHA WA REAL MADRID

Uongozi wa Timu ya Real Madrid Kutoka Spain Imemtangaza
Kocha wa zamani kutoka wa
Ac Milan,Chelsea na timu nyinginezo, Carlo Ancelotti kuwa kocha
wa timu hiyo msimu ujao...


Maamuzi hayo yamekuja badala ya kocha wa zamani wa
 Real Madrid,Jose Mourinho
kuwakacha na kurudi kuifundisha Team yake ya zamani Chelsea
 kwenye Ligii kuu ya
Uingereza kwa mara ya Pili.....
Ingawa hadi sasa Real Madrid awajasema wamempa dau la
kiasi gani kukubaliana na
Carlo kuwa Kamanda wa kukiongoza kikosi hicho kulekea
msimu ujao kwenye
Ligii ya uhispania......

NU JOINT: KITUMBUA BY AT


Mzee wa miduara ameamua kufunguka tena, na safari hii ametoka na kitu cha "kitumbua"..fanya kusikiliza hapo chini

PICHA:WILL SMITH AMCHEZESHA MWANAE JADEN SMITH TENA KWENYE MOVIE NYINGINE(AFTER EARTH)

Inaonekana Mchezaji Filamu wa Hollywood Will Smith anaonekana
 kumuandaa mwanae kurithi
kipaji toka kwake cha uchezaji mzuri wa filamu baada ya kuonekana
 kucheza nae filamu karibia
nne na mwanae huyo anaejulikana kama Jaden Smith......


Movie hii iliyotoka hivi karibuni inaitwa After Earth aliyoigiza
 will Smith na Mwanae huko kwenye ukanda
wa Tropical ikisimamiwa na Director Mzuri nchini Marekani
 M.Night Shyamalan.....
Movie hiyo iliyochukua zaidi ya miezi 13 yani mwaka 1
 na mwezi mmoja kuigiza kutokana
na mazingira ya stori yenyewe....

Tizama Picha hizi kuangalia baadhi ya
 picha ndani ya Filamu hiyo


Ndani ya filamu hiyo kipande moja wapo cha filamu hiyo...!!
Jaden Smith....!!


Will Smith....
CHEKI TRAILER HAPA.....

(OFFICIAL MUSIC VIDEO) NONINI - KWAMA NAO

Man City na Juventus zafikia makubaliano juu ya usajili wa Carlos Tevez.

image

Mabingwa wa ligi kuu nchini Italia Juventus wanakaribia kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa toka nchin Argentina Carlos Tevez baada ya kufikia makubaliano na klabu yake ya sasa Manchester City .
Juve wamekubali kulipa ada ya uhamisho ya Paundi milioni 27 kwa ajili ya Mshambuliaji huyo na Man City imeridhia kumuuza kwa Juventus . Usajili huo utakamilika baada ya mshambuliaj huyo kufanyiwa vipimo vya Afya nchini Italia ndani ya siku chache zijazo.
Viongozi wa klabu zote mbili wamekuwa kwenye mazungumzo yaliyodumu kwa muda wa siku mbili na Tevez pamoja na wawakilishi wake wanatarajiwa kusafiri hadi nchini Italia baadaye hii leo ( jumatano) ambako watafanya mazungumzo yahatua za mwisho ikiwemo kufikia makubaliano juu ya masuala binafsi ya Tevez ukiwemo mshahara na bonus nyinginezo.
Ada ya uhamisho ambayo Juve wanailipa City kwa ajili ya Tevez kimsingi  Paundi milioni 9 lakini inatarajiwa kupamda hadi kufikia paundi milion 27 baada ya kuongezeka kwa bonus pamoja na idadi ya michezo atakayocheza akiwa na Juve pamoja na mafanikio atakayopata ndani ya msimu wake wa kwanza .
Akiwa na umri wa miaka 29 , Tevez anakuwa mchezaji wa kwanza mwenye jina kubwa kusajiliwa na Juventus msimu huu baada ya klabu hiyo kusaka mshambuliaji wa kiwango cha dunia kwa muda mrefu bila mafanikio.

The Most Expensive Places To Date The cost of dating around the world, according to Deutsche Bank.

The cost of dating around the world, according to Deutsche Bank.
couple on a date (© Getty Images)

It might be tacky to equate romance with cash, but then, someone's got to pay for courtship, don't they? Surely, love doesn't come cheap, though which of the world's cities gouge couples most for a night on the town?
Deutsche Bank has compiled a so-called 'Cheap Date Index,' which measures the cost of a date as defined by a standard bouquet of roses, a taxi ride, a Pizza Hut pizza, a two-litre bottle of pop, two movie tickets and a couple of beers. Where does this rendezvous cost most across the world? Click through to find out.
* All figures in USD.

10. Pariscouple on a date (© Getty Images)


10. Paris
Cost of a cheap date: $170.92
Paris might be the most romantic city there is, and, luckily, the cost for a date there isn’t the highest in the world. But a date in Paris still costs plenty, and couples had better beware their nightcap drink doesn't turn into more than one. According to Deutsche Bank, a pint of beer at an average bar, at $9.43 per in France, is the most expensive in the entire world.

9. Moscowcouple on a date (© Getty Images)


9. Moscow
Cost of a cheap date: $172.76
Everything about Deutsche Bank's definition of a date — from the flowers to the cab ride to the movie tickets — costs plenty in Moscow, but the bank doesn't factor in what might make dating cost even more in the Russian capital. According to Deutsche Bank's numbers, getting fit for a date in Moscow costs more than anywhere else in the world; the city's $150.19 monthly gym membership is the highest rate in a downtown business district of all cities surveyed.

8. Chicago, Ill

.couple on a date (© Getty Images)

8. Chicago, Ill.
Cost of a cheap date: $177.29
One of three American cities to appear on this list, flowers take up the bulk of the cost of Deutsche Bank's idea of a date in Chicago. According to the bank's numbers, a “cheap date in Chicago costs $177.29, and a bouquet of roses delivered to a date’s door makes up $113 of that amount.

7. New York City, N.Y.couple on a date (© Getty Images)


7. New York City, N.Y.
Cost of a cheap date: $185.55
No one expects a night out in the Big Apple to come cheap, but what most stands out in New York City is the cost of simply going to the movies. At $13 per ticket, a night at the cinema in New York — especially for two people — is the most expensive anywhere in Canada or the U.S.

6. San Francisco, Calif.couple on a date (© Getty Images)


6. San Francisco, Calif.
Cost of a cheap date: $186.93
As in Moscow, where a downtown gym membership costs the most in the world, prepping for your date in San Francisco won't be light on your wallet, either. According to Deutsche Bank, in only one place in the world (Tokyo) does it cost more to get a standard men's haircut in an expat area of the city. In San Francisco, this trim will set you back $36, according to Deutsche Bank.

5. Toronto


couple on a date (© Getty Images)

5. Toronto
Cost of a cheap date: $197.54
Canadian city for a date by a mile, Toronto is also more expensive than any cities in North America. Oddly, it is the cost of pizza that stands out in Toronto. According to Deutsche Bank, a large chicken supreme pizza at Pizza Hut costs $23.34, (putting it in a tie with Ottawa for the priciest such pie in the world).

4. London

couple on a date (© Getty Images)The priciest 





























4. London
Cost of a cheap date: $199.07
London is routinely noted as among the most expensive cities in the world, so of course a date costs plenty in the U.K. capital. Daters should be especially wary of the costs if a night out — ahem — goes too well. According to Deutsche Bank, in addition to a high 'Cheap Date Index' cost, a five-star hotel room in London costs about $545.90, the third-highest amount in the world.

3. Tokyo

couple on a date (© Getty Images)

3. Tokyo
Cost of a cheap date: $213.51
Tokyo is a place where everything date-related costs plenty, including a bouquet of flowers ($113), pint of beer ($6.88), two-litre bottle of pop ($3.16) and large pizza ($21.74). But other things you might need for your date will also sap your chequing account in Japan's capital. According to Deutsche Bank, it costs $5.71 for a 50 mL roll-on stick of deodorant in Tokyo, making it the priciest place for deodorant in the world.

2. Melbourne, Australia

couple on a date (© Getty Images)

2. Melbourne, Australia
Cost of a cheap date: $226.56
For a date, especially in 2013, flowers may be optional. But know this: in Melbourne, if you come bearing flowers, your date's going to know they set you back. According to Deutsche Bank, a bouquet of roses, including delivery, costs a staggering $139 in Australia, $20 more than the next most expensive country for flowers, Russia.

1. Sydney, Australia

couple on a date (© Getty Images)

1. Sydney, Australia
Cost of a cheap date: $229.77
Dwarfing most cities on this list is Sydney, where a simple date can cost as much $230, according to Deutsche Bank. The cost of a beer, or a ticket to a movie or city cab ride, isn't spectacular in Sydney when compared to other cities here, but the costs of two items stand out for the Aussie city. First, a bouquet of flowers in Australia costs a world-leading $139, and second, a simple two-litre bottle of pop costs $3.61 in Sydney, making it the most expensive on the planet.


Man Makes Career Out Of Garbage

Kenneth Rossouw showing off one of his model trains



















Kenneth Rossouw from Roodepoort is turning his passion and love for vintage trains into a career by crafting exquisitely detailed steam trains out of old junk.
"I make my trains out of cardboard, wire, plastic pipes... anything," Rossouw told Beeld.
The interior and exterior of each train is an exact replica of the ones you can find on tracks around the globe and they take about three weeks to make. His standard model size is about one metre in length and 2kg in weight.
Rossouw said he had, thus far, made about 80 trains, and he had received a few orders, at R3,000 per unit.
"I sell the trains as art. I see myself as an artist... and I hope to have my own shop one day," he added.
Browse through the gallery to see Rossouw doing what he loves...

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...