facebook likes

Monday, September 30, 2013

Rafiki Mpya Wa Davido, Footballer Samuel Eto'o, Picha Iko Hapa

Urafiki wa stars wa muziki na Michezo unazidi kuwa mkubwa, Hivi karibuni tuliona picha ya Rapper Drake akiwa na Man Untd star Nani, Leo nakupa hii mpya Ni Star Davido na Samuel Eto'o.
SOMA ZAIDI....

Mama Mzazi Wa Drake Afunguka Baada Ya Kukerwa Na Mistari Ya Drake Kuhusu Yeye, Fuatilia Hapa

Rapper Drake ambaye kwa sasa yupo busy akifanya interview kuhusu album yake mpya ya "Nothing Was The Same" amefunguka kuwa Mama yake mzazi amekasirishwa sana na mistari yake kwenye wimbo wake wa "Too Much" baada ya Drake kumchana kuwa anapenda kujiambia anaumwa na kukaa nyumbani bila kufanya kazi yoyote.
SOMA ZAIDI...

Jordin Sparks Ndio Video Model Kwenye Video Mpya Ya Mpenzi Wake Jason Derulo, Inaitwa Marry Me. Ipo Hapa

Mara nyingi tunaongelea mapenzi ya  Jay z Na Beyonce, Chris Brown Na Rihanna, Kwa sasa wanao teka headlines duniani kama wapenzi ndio hawa wawili. B & J.
SOMA NA ANGALIA VIDEO HAPA.....

Rapper Wako Bora Nikki Mbishi Kutoka Tamaduni Musik Ametoa Cover La Album Yake Mpya, Liko Hapa


SOMA ZAIDI....

BET Hip Hop Awards Cypher Mwaka Huu, Watakao Chana Ndio Hawa

Katika jambo linalo pendwa zaidi na mashabiki wa Hiphop ni Cypher za Tuzo Za BET Na mwaka huu Orodha imeongezwa hivi.
SOMA ZAIDI...

APEWA ADHABU YA KUOSHA GARI LA ZIMA MOTO KWA KOSA LA KUWAPIGIA SIMU NA KUWADANGANYA KIKOSI CHA ZIMA MOTO

 
Mmoja wa wakazi wa Rugelele kata Rujewa wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya  DUKA MKWILA[20]ni miongoni mwa wananchi waliopiga simu za uongo katika kikosi cha zimamoto mkoa wa mbeya akiwa amepewa adahabu ya kuosha gari la zimomoto.

SOMA ZAIDI.....

"ACHENI KUMLAZIMISHA RAIS KIKWETE KUSAINI MUSWADA"....ZITTO

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kabwe Zitto amewaonya baadhi ya wanasiasa wa vyama vya upinzani na chama tawala kuacha kumlazimisha Rais Kikwete kutekeleza maoni yao binafsi kuhusu Muswada wa Sheria uliopitishwa na Bunge ili kufanya marekebisho ya Sheria ya Marekebisho ya Katiba ya mwaka 2011.
SOMA ZAIDI.....

MISS KISWAHILI "REHEMA FABIANI" AKIRI KUKAMATWA NA KUWEKWA MAHABUSU KWA WIKI MBILI NCHINI CHINA KWA MADAWA YA KULEVYA

Rehema Fabian.
WAKATI msanii Agness Gerald ‘Masogange’ akisubiriwa kutua Dar baada kumaliza msala wake huko Afrika Kusini, skendo ya baadhi ya wasanii Bongo kuhusishwa na usafirishaji wa madawa ya kulevya ‘unga’, lingine limeibuka ambapo Video Queen Rehema Fabian amekiri kukamatwa nchini China kwa ishu hiyo.
SOMA ZAIDI.......

RIPOTI KAMILI YA KIFO CHA DADA WA MWEKITI WA CHADEMA MH. FREEMAN MBOWE ALIYEPINDUKA NA GARI...!!!


DADA wa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amefariki papo hapo baada ya gari alilokuwa akiendesha kupasuka tairi ya mbele na kuingia chini ya daraja baada ya kupinduka na kusababisha watu wawili kufa na wengine watatu kujeruhiwa vibaya.
SOMA ZAIDI...

HIVI NDIVYO MKUU WA WILAYA YA MBULU ALIVYOWAPIGIA WANANCHI MAGOTI NA KUWAOMBA MSAMAHA...!!

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgQP80nW7xZ4PDCAs4Jow7BBpfcjERgjb98_N0rRLUh6rYFOppF4BLGPJq4yUvM5VoNDwO5sHGYfurLUY57uftw1SpYvRsRzWONdJYfou4jzLGccR1dCNEfOwMdFSI8FfdnHB9deFUeJA-z/s1600/dc.jpg
Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, mkoani Manyara, Anatory Choya akiwa amewapigia wananchi magoti kwa maana ya kuonyesha unyenyekevu Mbulu.
SOMA ZAIDI....

OPERESHENI KIMBUNGA YAFUMUA KIJIJI HARAMU CHENYE DOLA YAO...

KAMPENI ya kitaifa ya kuondoa wahamiaji haramu nchini iliyopewa jina la Operesheni Kimbunga, imefanikiwa kusambaratisha kijiji cha wahamiaji haramu wa Burundi waliokuwa wamejitengenezea dola yao nchini, kiasi cha
hata kutumia sarafu ya Burundi ilihali wakiwa Tanzania.
SOMA ZAIDI......

PCCB YAMWAGA NAFASI ZAIDI YA 500 ZA KAZI (AJIRA ) KWA VIJANA WA FANI MBALIMBALI , DEADLINE NI OCTOBER 21/ 2013...SOMA HAPA USIPITWE!!!

 


SOMA HAPA............

BREAKING NEWZZZ.....MSANII WA BONGO FLEVA MACK MALIK WA WATEULE AFARIKI DUNIA LEO

MACK MALIK SIMBA wa WATEULE amefariki dunia Leo Asubuhi...
SOMA ZAIDI...

Sunday, September 29, 2013

Olawale Ojo Wins MTN Project Fame Season 6


MTN Project Fame contestant Olawale Ojo has just beaten five other contestants to emerge this season’s winner!

Too Bright? Checkout Dbanj’s wedding look


With Dbanj appearance is everything.He attended a wedding looking like a million dollars.Don’t know the name of those shoes but I bet they are pretty expensive…

FEZA KESSY AVAMIWA NA MAJAMBAZI WENYE SILAHA NZITO.....MWENYEWE AFUNGUKA NA KUONGEA KWA MASIKITIKO..!!


Feza Kessy mshiriki wa Big brother the Chase amepatwa na matatizo ya kuvamiwa na majambazi wenye silaha siku mbili zilizopita.
SOMA ZAIDI....

Interview ya Wema Sepetu , amzungumzia Diamond, maisha yake binafsi na mengine mengi. (mtandao wa bongo5)

Siku ya jana akisherehekea siku yake ya kuzaliwa, mwanadada wema sepetu alipata nafasi ya kufanya interview na mtandao wa burudani wa bongo five.


Katika interview hii, wema sepetu ameongelea mambo mengi sana na makubwa yakiwema mapenzi, na maisha yake bunafsi kwa ujumla. Ifuatayo na sehemu ya interview hiyo kama iliyonukuliwa toka mtandao kwenye mtandao huo 

SOMA ZAIDI....

DIAMOND PLATNUM ALIVYOACHA HISTORIA ZANZIBAR KWA SHOW YAKE KALI, CHEKI HAPA ILIVYOKUWA.



Baada ya kuwasili uwanja wa ndege Zanzibar
ANGALIA PICHA ZAIDI.....

PICHA ZA MSHINDI WA MISS WORLD NA NAMNA TUKIO ZIMA LILIVYOKUWA CHEKI HAPA.

Miss Philippines Megan Young mwenye umri wa miaka 23 amevishwa taji la Miss World ambalo limefanyika huko Indonesia. Megan ni mzaliwa wa Marekani na ana umri wa miaka 23 anasomea mambo ya digital film. Mshindi wa pili ametoka France na watatu kutoka Ghana.

SOMA NA ANGALIA PICHA ZAIDI.....

HUYU NDIO BINTI ALIYEVULIWA NGUO HADHARANI NA WANAKIJIJI MARA BAADA YA KUMCHANA NA VIWEMBE RAFIKI YAKE ALIYEMFUMANIA NA MPENZI WAKE..!!

 
 Hawa  ni  mabinti  wawili  ambao  walikuwa  ni  marafiki wa  damu.Urafiki wao uliingia  dosari  baada  ya  mabinti  hao  kusalitiana  na  kuchukuliana  wapenzi.... 
SOMA ZAIDI....

Paul Okoye (P SQUARE): chilling with Anita makes me happy

1240337_277498039042083_1988491584_n
Paul of Psqaure shares a picture of him and his boo having fun in their sitting room, he said quoted Anita makes her happy when ever hey hang out…
Home chilling with ma swt hrt Anita. #Family #Humble #OneSpecialOnethatMakesMeHappy *wink*

AMBER ROSE WA NIGERIA ATIMIZA NDOTO YAKE YA KUKUTANA NA AMBER ROSE


Amber-Rose
Mwanadada wa Nigeria Honey J. Wills anayependa kuitwa jina la Amber Rose mwishoni mwa wiki aliweza kutimiza ndoto hizo baada ya kukutana na mwanadada huyo katika mashindano ya Miss Earth.
SOMA ZAIDI....

Tuface idibia Comfirms He is Expecting His 7th Child (Photo)

annie_pregnant2

Photos: Beverly & Angelo Passionately Kissing At Her Birthday Party Last Night


Awwwwww.  Close your eyes if you have gone to church this morning. *lol* Melvin made it back in time for the party.

MAJAMBAZI WAFANYA UMAFIA BENKI DAR, WAPORA ZAIDI YA TSH 150, WALIINGIA WAKIWA NA SARE ZA POLISI KUWAZUGA WAFANYAKAZI!


Majambazi saba akiwemo mmoja ambaye amevalia sare za polisi wameiteka benki ya I&M  jijini Dar es Salaam na kuchukuwa fedha zinazohisiwa  kuwa  ni zaidi ya shilingi milioni 150 na kutokemea kusikojulikana.
SOMA ZAIDI.....

Saturday, September 28, 2013

RONALDO ATESA NA SAA LA ALMASI LA PAUNI 100,000

Ronaldo PICHA ni kla kitu kwa 'Mfalme wa Bling' Cristiano Ronaldo ambaye amepigwa picha akiwa na saa ya madini ya Almasi.
SOMA ZAIDI...

MISS TANZANIA ANG'ARA MISS WORLD

Redds Miss Tanzania 2012, Brigitte Alfred Lyimo

WAKATI warembo 131 leo wanawania taji la urembo wa Dunia (Miss World),  Redds Miss Tanzania, Brigitte Alfred Lyimo ameng’ara kwa kushinda nafasi ya tatu katika kipengele cha Urembo wenye malengo maalum (Beauty With Purpose).
SOMA ZAIDI.....

Friday, September 27, 2013

UNAWAJUWA FREEMASON NA SIGN ZAO PAMOJA NA HARAKATI ZA KIDINI DUNIANI .....INGIA HAPA KUJUA


Hatimaye mbegu ya ‘tamaa’ iliyopandwa na rais Nimrodi wa serikali ya awamu ya kwanza ilipotengeneza‘mimba’ na kuzaa mtoto ‘dhambi’, mtoto huyo alikomaa baada ya kufikisha umri wa utu uzima. 
SOMA ZAIDI..............

ANGALIA PICHA ZIKIMWONYESHA MSANII DIAMOND AKIWA NDANI YA STUDIO KUBWA DUNIANI ZA COKE

Mkali wa Ngololo 'Diamond Platnumz' ambaye anahusika kwenye matangazo ya kampuni ya Cocacola ametupia picha akiwa kwenye Coke Studio za Africa kupitia account yake ya Instragram na haya ndiyo aliyo yaandika.
Something is About to Happen....!! #CocaBoy #WCB Cc @wasaficlassic
ANGALIA PICHA ZAIDI,.....

PICHA:ANGALIA JENGO LA WESTGATE LILIVYOHARIBIKA VIBAYA BAADA YA MLIPUKO...

WestgateANGALIA PICHA ZAIDI....

STAA WA BIG BROTHER MWISHO MWAPAMBA AELEZEA JINSI ANAVYO BAGULIWA NAMIBIA

STAA wa Shindano la Big Brother, Mwisho Mwampamba, amesikitishwa na vitendo vya ubaguzi alivyofanyiwa na Polisi wa nchini Namibia, anakoishi na mkewe, Meryl Shikwambane, ambapo walimfuata kwenye nyumba yake na kumtaka aondoke nchini humo.
SOMA ZAIDI....

Hii ndiyo list ya wasanii 10 wa Hiphop waliongiza pesa nyingi kwa mwaka 2012/13, mjue na mwanamke mmoja ambaye yupo kwenye list hii

0x600Forbes.com wametoa list wasanii wa Hiphop ambao wameingiza pesa nyingi sana kwa muda wa miezi 12 iliyopita.  List imeanza na msanii tajiri kuliko wote kwenye muziki wa Hiphop na kuna mwanamke mmoja tu ambaye yupo kwenye hii list.
SOMA ZAIDI....

OMMY DIMPOZ USO KWA USO NA FAN WAKE MKUBWA DAY 4 NDANI YA JIJI LA NEW YORK !


                       OMMY DIMPOZ USO KWA USO NA FANS WAKE KATIKATI YA JIJI LA NY
ANGALIA PICHA ZAIDI.....

AMWACHIA MGONI WAKE BAADA YA KUMFUMANIA


Tukio hili limetokea leo asubuhi mida ya saa 8.00,katika mji wa Iringa maeneo ya mwangata paparazzi wetu alifanikiwa kulinasa hili tukio.
SOMA ZAIDI......

UJENZI WA VITUO VYA MABASI YAENDAYO KWA KASI WAENDELEA KWA KASI JIJINI DAR ES SALAAM


Mafundi wa kampuni ya Strabag ambao ni wajenzi wa barabara za mradi wa mabasi yaendayo kwa kasi wakiendelea na ujenzi katika kituo cha Kimara kama ambavyo inaonekana katika picha.
ANGALIA PICHA ZAIDI.....

Magaidi wafanya shambulio lingine tena nchini Kenya

1Watu wanaodhaniwa kuwa magaidi wamevamia kituo cha Polisi katika Mji wa Mandera nchini Kenya kwenye mpaka na Somalia na kuwaua polisi wawili, watatu wamejeruhiwa vibaya na baadaye kuchoma magari zaidi ya 11.
SOMA ZAIDI.....

Polisi waliotimuliwa walalamika

Askari 15 wa Jeshi la Polisi nchini wanaodaiwa kufukuzwa kazi Juni mwaka huu, wamelalamikia kuvunjiwa nyumba zao na kuondolewa kwa nguvu na vyombo vyao kutolewa nje ilhali bado hawajapewa barua rasmi za kufukuzwa kazi kutoka makao makuu ya jeshi hilo.
SOMA ZAIDI....

Kuhusu maziko ya Wanajeshi na huyu Mtangazaji waliouwawa kwenye shambulio la Westgate Kenya

36
SOMA ZAIDI.......

MISS UNIVERSE TANZANIA 2013 CONTESTANTS PHOTOS:..: Y’ALL GET READY FOR ONE OF THE MOST COMPETITIVE MISS UNIVERSE TANZANIA EVER!!!

 From Left are Dinah David From Mbeya, Vestina Mhagama  Reppin' Bongo Dar es Salaam,followed by Sasha Lukiko of Dar es Salaam, Angela Lutataza of Dar es Salaam, Clara Noor -Mwanza.....Mariam Ngwangwa of Dar es Salaam, Consolata Mosha of Mwanza, Upendo Dickson of Dar es Salaam, Glady Msemo-Dar es Salaam, Beatrice Boniphace-Dar es Salaam, Aziza,Agnes and Naomi Kisaka

Ajali ya malori manne yaua watu watatu


Watu watatu wamekufa papo hapo kufuatia ajali mbaya iliyotokea katika Mlima Inyara wilayani Mbeya ikihusisha malori manne, mawili kati yake kugongana uso kwa uso yakiwa kwenye mwendo mkali na kisha kulipuka moto ulioteketeza mengine.
SOMA NA ANGALIA PICHA ZAIDI...

2013 MTN 4SYTE TV MUSIC VIDEO AWARDS UNVEILS NOMINEES FOR BEST AFRICAN ACT VIDEO

The 2013 MTN 4syte TV Music Video Awards has unveiled nominees for Best African Act Video .

HII NDIO TOP 10 LIST YA MAZIWA(LAKES) YAKUSHANGAZA ZAIDI DUNIANI

Lake Baikal

The World’s Top 10 Most Amazing Lakes
Living here in Wales, UK I am lucky enough to be surrounded by beautiful lakes to visit. From Lake Vyrnwy, Llyn Trawsfynydd and the mighty Llyn Tegid (Bala Lake) in the summer they are all stunning a great place to visit and walk about. But those lakes I just mentioned are nothing compared to this lot…

LEWANDOWSKI NI KAMA TAYARI AMEKWISHATUA BAYERN, MWENYEWE ASEMA ANAHAMIA BAVARIA JANUARI

Goneski: Robert Lewandowski has confirmed his 2014 move from Borussia Dortmund to Bayern Munich
MSHAMBULIAJI wa Borussia Dortmund, Robert Lewandowski hatimaye amethibitisha atasaini kama mchezaji huru kujiunga na wapinzani, Bayern Munich ifikapo Januari na kuhamia Bavaria Mkataba wake utakapomalizika mwishoni mwa msimu.  
SOMA ZAIDI....

SAMSUNG GALAXY TAB 3 NI ZAIDI YA SIMU

 

Samsung hivi karibuni imezindua Galaxy Tab 3,Galaxy tab 3 ni imeonekana kuwa na  kasi zaidi kuliko Galaxy tab nyingine , Galaxy tab 3 ina baadhi ya vipengele vipya ambavyo havijawahi kuwekwa katika  Galaxy Tab nyingine, Ndani ya Galaxy tab unaweza kupata mambo Mengi zaidi kama Michezo mbalimbali, 3D graphics na mambo mengi zaidi
SOMA ZAIDI....

Thursday, September 26, 2013

DEREVA WA KIKE ANUSULIKA KUFA BAADA YA KONTENA KUBWA KUFUNIKA GARI YAKE


Miracle: This car was crushed by an enormous container which fell off a lorry, but the woman inside was somehow unhurt

World’s Largest Tortoise found in Amazon Basin – 529 Years Old

The World’s largest tortoise found in Amazon River is around 529 years old / height-59 feet/ weight-800 pounds OR 362.87 kg incredible.

Hivi umeshawahi kusikia collabo la JCB & Professor Jay….??? Sikiliza kionjo hiki kidogo “DRIVE SLOW”

Pata kusikiliza kionjo cha JCB ft Professor Jay, wimbo unaitwa “Drive Slow” ikiwa ni kazi toka Mj Records chini ya MarcoChali, Download HAPA

(Photo) BLACK RYHNO ametoa rasmi picha za mtoto wake wa kike RISHONA CHERISSE HAULE


CHRISTINA MILIAN AVALISHWA PETE YA UCHUMBA


Muimbaji Christina Milian ameonesha pete ya uchumba aliyovalishwa na mpenziwe mpya Jas Prince, na akaliambia jarida la People kuwa "Hakika nimezama kwenye penzi la mtu niko katika mahusiano yenye furaha sana, mahusiano madhubuti jambo ambalo ni kubwa, na ananisapoti sana hakika tunaangalia mbele

DAKTARI FEKI WA KCMC APANDISHWA KIZIMBANI LEO...!!


MTU anayetuhumiwa kuwa daktari bandia aliyekamatwa akijiandaa kufanya upasuaji katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC leo atapandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya mjini Moshi kusomewa shitaka kwa mara ya kwanza.
SOMA ZAIDI...

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...