facebook likes

Saturday, July 6, 2013

MTANGAZAJI DIDA SHAIBU (WA KIPNIDI CHA MITIKISIKO YA PWANI) AOLEWA NA SASA NI MRS EZDEN JUMANNE.


Dida wa Ezden ndo habari ya mujini

Maharusi wakiwa na nyuso za furaha mara baada ya kufunga ndoa 
Bwana harusi akimchum mke wake halali wa ndoa Dida
Mashallah the newly weds Mr & Mrs Ezden Jumanne.
Hongera sana Dida na Ezden tunawatakia kila la kheri katika ndoa yenu.
PICHA KWA HISANI YA http://www.jestina-george.com.

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...