facebook likes

Thursday, July 25, 2013

SUAREZ ATOKEA BENCHI NA KUTOA PASI YA BAO LIVERPOOL IKIUA 2-0, APATA MAPOKEZI YA KIFALME


KOCHA Brendan Rodgers anaamini mapokezi mazuri aliyoyapata Luis Suarez akirejea kazini leo yanaweza kumfanya abaki Liverpool.
Mshambuliaji huyo wa Uruguay, ambaye anatakiwa sana na Arsenal, alipata mapokezi mazuri mbele ya umati wa watu 95,446 wakati alipoingia uwanjani akitokea benchi dakika ya 72 na kuiwezesha Liverpool kushinda 2-0 dhidi ya Melbourne Victory Uwanja wa MCG. 
Alone: Suarez walks down the tunnel after Liverpool's 2-0 win over Melbourne
Peke yake: Suarez akitembea chini ya jukwaa leo baada ya Liverpool kuilaza 2-0 Melbourne
Back in the fold: Suarez made his first appearance in a Liverpool shirt since April 21
Amerudi kazini: Suarez amecheza mechi ya kwanza leo Liverpool tangu Aprili 21
Benched: Suarez started the game as a sub, but came on with 70 minutes gone
Mkeka: Suarez alianzia benchi kabla ya kuingia dakika ya 70 
Suarez alitengeneza bao la pili la Liverpool akimpelekea krosi Iago Aspas. Steven Gerrard alifunga bao la kwanza akifanya kazi na kumalizia yeye mwenyewe.
Arsenal imeipa Liverpool jana ofa ya Pauni 40,000,001 kujaribu kumsajili Suarez, lakini Rodgers ameendeela kusistiza juu ya kutotaka kumuuza mchezaji huyo. 
Suarez
Suarez akionyesha ufundi
Into his stride: Suarez was slow to start, but impressed in the last five minutes of the game
Suarez alianza pole pole mchezo wa leo, lakini akachanganya dakika tano za mwisho
Popular: Suarez is still loved by Liverpool fans, and was given a huge reception after the game
Suarez bado anapendwa na mashabiki wa Liverpool
Still hanging around: Suarez signs an autograph after the match at the Melbourne Cricket Ground
Suarez akisaini autograph katika Uwanja wa Kriketi wa Melbourne 
All smiles: Suarez stayed behind to greet the Liverpool fans Down Under
Dole: Suarez akiwapa salamu ya aina yake mashabiki wa LiverpoolSuarez
Anamtoka mtu

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...