facebook likes

Thursday, July 25, 2013

ARSENAL YAWAPIGIA HESABU PABLO OSVALDO NA KIUNGO WA ATLETICO...YAITAKA PIA ROMA IONGEZE DAU LA KUMNUNUA GERVINHO


KLABU ya Arsenal imeiambia Roma iongeze dau lake ililotoa kwa ajili ya mshambuliaji Gervinho. Roma imetoa ofa ya Pauni Milioni 6.8 na Arsenal inataka Pauni Milioni 8.6.
Mshambuliaji wa Roma, Pablo Osvaldo pia amekuwa katika mjadala. Fulham pia wanamtaka Osvaldo.
Msaka vipaji wa Arsenal, Everton Gushiken alimuangalia kiungo wa Atletico Mineiro, Bernard dhidi ya Olimpia usiku wa jana katika Fainali ya Copa Libertadores.
On his way: Roma want to bring Gervinho to Italy from Arsenal
Yuko njiani: Roma inamtaka Gervinho ahamie Italia kutoka Arsenal
Swap deal: Pablo Osvaldo (left) could be included in a potential Gervinho transfer
Dili la kubadilishana: Pablo Osvaldo (kushoto) anaweza kuhusishwa kwenye dili la uhamisho wa Gervinho

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...