facebook likes

Thursday, July 25, 2013

Mapigano makali yazuka tena Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo

Mapigano makali yamezuka tena Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo kati ya M23 na  Jesshi la Congo FRDC lakini pia wananchi waishio maeneo ya mashariki wapiganaji wa kundi la Mai mai wameamua kujitoa muhanga kupambana na M23 .Kuangalia uwanja wa vita na jinsi hali ilivyo bofya hapa kupata ripoti maalum ya VOA.

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...