facebook likes

Friday, July 5, 2013

TIMU YA WASICHANA KINONDONI YATINGA FAINALI ZA AIRTEL RISING STAR






Mashindano ya Airtel rising star yanayofanyika Tanzania kwa kutafuta vipaji vya kuendelezwa zaidi katika mpira wa miguu ulimwenguni.
Leo timu ya wasichana ya Kinondoni imewavumilishia mvua ya magoli timu ya Mkoa wa Kigoma kwa mabao 7-0 mechi iliyochezwa muda wa saa 4 asubuhi katika Uwanja wa Karume, jijini Dar es Salaam.
Timu ya Wasichana ya Mkoa wa Kinondoni ilionesha kandanda safi kwa vipindi vyote viwili vya dakika 40.
Hadi sasa timu ya wasichana ya Kinondoni inamsubiria mshindi kati ya mechi ya Mkoa wa Temeke na Ilala inachezwa mchana katika Uwanja wa Karume.
Fainali ya Mashindano ya Airtel rising star kwa wavulana na wasichana itachezwa kesho siku ya J,mosi kuanzia saa 7 mchana katika Uwanja wa Karume na kurushwa live na Super Sport.

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...