facebook likes

Friday, July 5, 2013

KERRY WASHINGTON KAFUNGA NDOA NA NNAMDI ASOMUGHA



Kerry Washington is married!, Actress bora wa BET Awards 2013 na muigizaji wa Tv show ya scandal sasa amefunga ndoa na mchezaji wa kutoka huko San Francisco anayejulikana kama Nnambi Asomugha.
Ndoa ilifinyika kimya kimya tarehe 24/jun kwenye jiji la Hailey. Inavyosemekana Couples hao walianza mahusiano yao mwaka jana lakini mwanadada huyo alikuwa akificha mahusiano yake na mchezaji huyo.
Kerry Washington aliwahi kuongea na people.com mwaka 2007 na kusema “I am totally the girl who gets introduced to someone through a mutual friend at a dinner party, falls in love and then is with them for like two years.”

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...