facebook likes

Friday, July 5, 2013

TANZANIA YAIPITA KENYA NA RWANDA KWENYE FIFA RANKING


Kwenye upangaji wa timu bora duniani unaofanywa na FIFA, Tanzania imeshika nafasi ya 121 na kupelekea kuipita Rwanda ambayo imeshika nafasi ya 134 wakati Kenya wameshika nafasi 123.
East Africa anyeongoza ni Uganda ambaye ameshika nafasi ya 80. Kutoka na takwimu zilizotolewa na FIFA mwezi wa tano, Tanzania ilishika nafasi ya 109. Tanzania imeshuka kwa jumla ya nafasi 12.

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...