facebook likes

Friday, July 5, 2013

KUELEKEA KWENYE USIKU WA MATUMAINI 2013







Usiku wa matumaini 2013 inakuletea michezo mbalimbali kama mpira, ubondia, na live show kutoka kwa Prezzo, Diamond na wengineo wengi. Wasanii pamoja na wabunge watakaoshiriki walikusanyika na kueleza jinsi siku hiyo itakavyokuwa ya kipekee.
Kutakuwa na boxing kati ya Ray na Mbunge kutoka Kigoma Zitto Kabwe, Jacquline Wolper na Halima Mdee, Jb na Mh Idd Azzan.
Kwa upande wa mpira itakuwa ni kati ya Wabunge wa simba na wale wabunge wa yanga, Mechi nyingine kali ni kati ya Bongo movie na Bongo Fleva, pia bendi mbalimbali kama Msondo ngoma, Mlimani Park watatoa burudani kali, bila kuwasahau wanaume family.

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...