facebook likes

Sunday, August 11, 2013

ARSENAL YAIKUNG'UTA MAN CITY 3-1


USHINDI wa mabao 3-1 ambao Arsenal imeupata kwenye Uwanja wa Olimpiki mjini Helsinki dhidi ya Manchester City katika mchezo wa kirafiki unamaanisha The Gunners wanaweza kuendelea na maisha  bila Luis Suarez.Top Gunners: Theo Walcott and Aaron Ramsey were two of Arsenal's scorers in their friendly win
Wakali wa Gunners: Theo Walcott na Aaron Ramsey waliifungia Arsenal 
.......SOMA ZAIDI.....
Arsene Wenger anahaha kusaka saini ya mshambuliaji huyo asiyefurahia maisha Liverpool akiwa ana matumaini makubwa ya kumpata Suarez, licha ya ofa yake ya Pauni Milioni 40 kupigwa chini.
Katika mchezo wa leo, mabao ya Arsenal yamefungwa na Theo Walcott dakika ya tisa, Aaron Ramsey dakika ya 59 na Olivier Giroud dakika ya 62, wakati bao la City limefungwa na Negredo dakika ya 80.
Kikosi cha Arsenal kilikuwa: Szczesny/Fabianski dk46, Sagna/Jenkinson dk73, Mertesacker, Koscielny, Gibbs, Arteta/Perez dk68, Ramsey/Hayden dk88, Wilshere/Cazorla dk46, Podolski/Giroud dk46, Oxlade-Chamberlain/Zelalem dk74 na Walcott 
Manchester City: Hart, Zabaleta (Richards 46), Kompany, Lescott/Boyata dk86, Clichy, Milner/Navas dk46, Fernandinho/Rodwell dk80, Toure/Garcia dk68, Silva, Negredo/Jovetic dk68 na Dzeko/Nasri dk46.
Top Gunners: Theo Walcott and Aaron Ramsey were two of Arsenal's scorers in their friendly win
Mashabiki wa Arsenal
Rampaging: Yaya Toure tries to get away from Aaron Ramsey
Yaya Toure akipambana na Aaron Ramsey
Spanish connection: David Silva (right) and Mikel Arteta jump for the ball during the second half
David Silva (kulia) na Mikel Arteta wakigombea mpira
Neat: Theo Walcott kept his cool to lift the ball over Joe Hart for Arsenal's opener
Theo Walcott akimtungua Joe Hart kuifungia Arsenal bao la kwanza
Tussle: Pablo Zabaleta and Alex Oxlade-Chamberlain (right) battle for possession
Pablo Zabaleta na Alex Oxlade-Chamberlain (kulia) wakipambana
Footballing centre half: Vincent Kompany tries to launch an attack from the back for City
Vincent Kompany akijiandaa kuanzisha mashambulizi
Ready? Arsenal fans parade a Finland flag through Helsinki ahead of the kick-off
Tayari? Mashabiki wa Arsenal wakitamba na bendera ya Finland mjini Helsinki kabla ya mechi
Hands on: Carl Jenkinson accidentally catches Samir Nasri in the face with an arm
Carl Jenkinson akipambana na Samir Nasri 
Easy as that: Aaron Ramsey capped a fine display by rounding Joe Hart to score Arsenal's second
Kilaini namna hiyo: Aaron Ramsey akimtungua kipa Joe Hart
Frustrations: City playmaker David Silva remonstrates with the referee after a decision in the first half
Amepagawa: Kiungo wa City, David Silva aliudhiwa na uamuzi wa refa kipindi cha kwanza
Looking sharp: Walcott was involved in two of Arsenal's three goals
Walcott ameifungia Arsenal leo

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...