facebook likes

Monday, August 5, 2013

BILL CLINTON ATINGA IKULU NA 'DALADALA

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Rais Mstaafu wa Marekani Mhe Bill Clinton baada ya mazungumzo na kisha kushuhudia utiwaji saini mkataba wa maelewano kati ya serikali ya Tanzania na taasisi ya Clinton Foundation kusaidia maendeleo ya kilimo na afya nchini Ikulu jijini Dar es salaam mwishoni mwa juma
 Gari aina la HIACE likisogea kumchukua Mhe Bill Clinto
Mhe Bill Clinton akiingia kwenye gari baada ya kuhitimisha shughuli zake Ikulu huku mwenyeji wake akimwangalia. Hilo lilikuwa tukio la nadra kwa kiongozi kama huyo kutumia usafiri wa kawaida kama huo.

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...