facebook likes

Monday, August 5, 2013

BALOZI ZA MAREKANI ZAFUNGWA

Ubalozi wa Marekani, Sanaa, Yemen
Ofisi zaidi ya 12 za mabalozi wa Marekani katika Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini zimefungwa. Hatua hiyo inafuatia serikali ya Marekani kusema Ijumaa kwamba inaamini kuwa al-Qaeda au kundi linaloshirikiana na al-Qaeda huenda likawa linapanga mashambulio.
Ubalozi wa Marekani mjini Kabul piya umefungwa kwa sababu ya ilani hiyo kuhusu usalama. Mataifa kadha ya Ulaya nayo yamefuata - Uingereza, Ufaransa na Ujerumani zimesema kuwa balozi zao mjini Sanaa, Yemen, zitafungwa mwisho wa juma.
Chanzo - BBC Swahili

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...