THIS BLOG HAS BEEN CHANGED TO www.darsports.com PLEASE CLICK LINK TO VISIT.
BLOGU HII IMEBADILISHWA KUWA www.darsports.com TAFADHALI BOFYA KUTEMBELEA.
News, Events, Entertainment, Sports, Lifestyle, Fashion,politics, Beauty, Inspiration and yes... Gossip!
facebook likes
Showing posts with label SOCCER. Show all posts
Showing posts with label SOCCER. Show all posts
Tuesday, April 22, 2014
Sunday, October 20, 2013
Saturday, October 19, 2013
'' KAMA RIHANNA AKINITAKA SIWEZI KUMKATAA''- DANIEL STURRIDGE
Mshambuliaji
wa klabu ya Liverpool Daniel Sturridge amefichua hisia zake kwa nyota wa muziki
wa Pop Rihanna . Katika Interview moja aliyoifanya kwenye jarida la rapa wa
marekani Jay Z, Sturridge alizungumzia usajili wake toka Chelsea kwenda Liverpool
na pia maisha yake ya Mapenzi na zaidi alizungumza kumhusu Rihanna . Soma
maneno yake hapa.....
HARUNA NIYONZIMA AZIONA FURSA ZA KIBIASHARA!

Kiungo wa Yanga Haruna Niyonzima ameanza rasmi kuziona fursa za kibiashara zilizopo hapa nchini katika sekta ya michezo.
Kwa kuanza kiungo huyo amefyatua T-SHIRT
kibao ambazo zitaingia rasmi sokoni siku ya Juma pili kwenye mchezo wa
watani wa jadi Simba na Yanga.
Meneja wa mchezaji huyo Imamu Abbas ameuambia mtandao huu kuwa bei ya T-SHIRT hizo ni shilingi za Kitanzania 20,000/=
SOMA ZAIDI........
PELE AZINDUA KITABU CHAKE NA KUKIUZA KIASI CHA DOLLA $1700
Mwanasoka bora kutoka pande za Brazil mwenye umri wa miaka 72 Pele
amezindua kitabu chake kinachoitwa Pele ambacho kinauzwa kwa kiasi cha
dolla za kimarekani 1700. Kitabu hicho chenye uzito wa 33 pounds
kimechapishwa jumla ya nakala 1283.
SOMA ZAIDI........
Tuesday, October 15, 2013
Saturday, October 12, 2013
PHOTOS: Samuel Eto’o Acquires 4 New Multimillion Cars Worth over £1.55Million

Samuel Eto’o has made good use of his bumper salary by amassing a fleet of cars worth £4million

The pick of the Chelsea FC striker’s fleet is the £1.55m Bugatti Veyron which was specially delivered along with three other vehicles to the London club’s training ground after his move from Russian club Anzhi this summer.
Thursday, October 10, 2013
Victor Moses Becomes Globacom’s Sports Ambassador
HENRY JOSEPH ALETA UTATA SIMBA
Henry Joseph
KIUNGO wa Simba, Henry Joseph, ameondolewa katika kambi ya Simba huku Ramadhan Chombo ‘Redondo’ akirudishwa kikosi cha pili.
SOMA ZAIDI.......
Wednesday, October 9, 2013
GARI YA BILIONEA ANAYEMILIKI MANCHESTER CITY YAONEKANA DAR, ANAIMILIKI YUSSUF BAKHRESA
Gari aina ya Brabus ambayo inayomilikiwa na mmiliki wa klabu ya Manchester City ya England, imeonekana leo Dar es Salaam, lakini ni mali ya Yussuf Bakhresa, mtoto wa bilionea Mtanzania, Alhaj Sheikh Said Salim Awadh Bakhresa. Vyanzo vimesema Yussuf alitoa oda maalum kutengenezewa gari hili na thamani yake jumla si chini ya dola za Kimarekani 500,000.
ANGALIA PICHA ZAIDI......
Wanasoka wanaojirusha na watoto wa mabosi wao
Staa huyu wa kimataifa wa Brazil hakuogopa kugonga mlango wa nyumba ya bosi wake mmiliki wa klabu ya AC Milan ambaye pia ni Waziri Mkuu wa Italia, Silvio Berlusconi na kuomba namba ya simu ya binti yake, Barbara Berlusconi ambaye pia ni mmoja kati ya wanabodi wa AC Milan.
SOMA ZAIDI.....
Tuesday, October 8, 2013
VIWANJA VYA BEI NAFUU KIGAMBONI. ELFU 19 KWA SQUARE METER.#0713651858.#
Viwanja vinauzwa vipo kigamboni, Mikwambe. Kuna viwanja nyenye square meter 887, sqm 850, sqm 846, sqm 843, sqm 849, sqm 842, sqm 853, sqm 845, sqm 842, sqm 841, sqm 804, sqm 800. Viwanja vinauzwa million kumi na sita.
SOMA ZAIDI MAELEZO HAPA CHINI................
Monday, September 30, 2013
Saturday, September 28, 2013
RONALDO ATESA NA SAA LA ALMASI LA PAUNI 100,000

SOMA ZAIDI...
Friday, September 27, 2013
LEWANDOWSKI NI KAMA TAYARI AMEKWISHATUA BAYERN, MWENYEWE ASEMA ANAHAMIA BAVARIA JANUARI

MSHAMBULIAJI wa Borussia Dortmund, Robert Lewandowski hatimaye amethibitisha atasaini kama mchezaji huru kujiunga na wapinzani, Bayern Munich ifikapo Januari na kuhamia Bavaria Mkataba wake utakapomalizika mwishoni mwa msimu.
SOMA ZAIDI....
Sunday, September 22, 2013
LIVERPOOL ILIPOFUNGWA NA SOUTHAMPTON 1-0 KWENYE LIGI KUU UINGEREZA:

SOMA NA ANGALIA PICHA ZAIDI.....
Manchester United's Jesse Lingard nets 14-minute hat-trick on way to four goal haul on Birmingham loan debut
Birmingham 4 Sheffield Wednesday 1: Lingard does it all himself on Blues debut. Jesse Lingard scored all four Birmingham goals on his debut as the Blues hammered hapless Sheffield Wednesday 4-1.
CHELSEA YAIFUNGA FULHAM 2-0, KWENYE ENGLISH PREMIER LEAGUE , OSCAR NA MIKEL WAIPANDISHA KILELENI KWA MUDA
John Mikel akiambatana na wenzake kushangilia ushindi walioupata!
SOMA NA ANGALIA PICHA ZAIDI....
Subscribe to:
Posts (Atom)