facebook likes

Wednesday, June 26, 2013

LIVERPOOL WAENDELEZA VURUGU KWENYE USAJILI: WAKAMILISHA USAJILI WA MCHEZAJI WA NNE - GOLIKIPA MIGNOLET WA SUNDERLAND


Liverpool wamekamilisha usajili wa nne katika dirisha hili la usajili baada ya kutangaza kukamilisha usajili wa golikipa Simon Mignolet kutoka Sunderland kwa ada ya uhamisho ya £9million.

Golikipa huyo amekuwa akitamaniwa na Brandan Brendan Rodgers kwa muda mrefu, na sasa anatajwa kuja kuchukua nafasi ya kwanza kwenye kikosi cha Liverpool mbele ya Pepe Reina.
 

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...