facebook likes

Wednesday, August 21, 2013

Ponda aigharimu Serikali milioni 10/-

Usafiri wa helikopta waitafuna dola mara 71 ya gharama ya gariULINZI wa Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, 
SOMA ZAIDI.......
Sheikh Ponda Issa Ponda, akiwa gerezani na anapopelekwa mahakamani, umeanza kuvitesa vyombo vya Dola. Habari zilizolifikia gazeti hili na kuthibitishwa na Kamanda wa Kikosi cha Anga wa Jeshi la
Polisi, zinaeleza kuwa serikali juzi ilitumia kiasi cha shilingi 10,682,031 kama gharama za usafiri wa helikopta za kumpeleka na kumrudisha kiongozi huyo mahakamani mkoani Morogoro

source- mtanzania

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...