facebook likes

Wednesday, August 21, 2013

DOGO ASLAY ANGIA STUDIO NA MSANII JAGUAR WA KENYA

Dogo Aslay ameingia studio na msanii mkali kutoka Kenya “Jaguar” ili kuweza kutoa collabo. Manager wa Dogo Aslay “Said Fela” amesema kwamba wasanii hao wawili wako mbioni kutoa nyimbo pamoja.



No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...