facebook likes

Friday, September 13, 2013

WENGER: NISIPOTWAA TAJI MSIMU HUU, NITAONDOKA ARSENAL

Invincible: Wenger with the Premier League trophy in 2004 after Arsenal's undefeated seasonKOCHA Arsene Wenger amesema mustakabali wake Arsenal kuendelea kuwa kocha utategemea na mafanikio au kufeli kwake msimu huu baada ya kuboresha timu kwa kumsajili Mesut Ozil kwa dau la rekodi.
SOMA ZAIDI...

Mkataba wa Wenger unamalizika Juni na wakati anamtambulisha mchezaji mpya ghali wa klabu aliyesajiliwa kwa Pauni Milioni 42.5, kiungo huyo Mjerumani,kocha huyo wa Arsenal amesema uamuzi wa kuongeza mkataba wake wa miaka 17 utategemea na matunda yatakayopatikana na uwekezaji huo mkubwa uliofanywa na klabu.
Alipoulizwa Alhamisi ameanza mazungumzo ya Mkataba mpya, kocha huyo mwenye umri wa miaka 63 alisema: "Hatuna haraka. Tupo katika mwezi Septemba na Mkataba wangu unaisha Juni. Kuna muda mrefu kufika huko. Hakuna haja ya kupanga,"alisema. 

Uncertain future: Arsene Wenger lined up alongside new signing Mesut Ozil at Thursday's press conference
Amebeba mustakabali: Arsene Wenger akiwa na mchezaji mpya Mesut Ozil jana katika Mkutano na Waandishi wa Habari
Colney training: Arsene Wenger, Mesut Ozil, Per Mertesacker and assistant manager Steve Bould
Mazoezi Colney: Kocha Arsene Wenger, akiwa na Mesut Ozil, Per Mertesacker na Msaidizi wake, Steve Bould
Trophyless: Arsenal's last silverware was the 2005 FA Cup won at the Millennium Stadium
Ukame wa mataji: Arsenal ilishinda taji la mwisho mwaka 2005, Kombe la FA Uwanja wa Millennium
"Nimesema mara nyingi, nataka kufanya vizuri na hii klabu na, mwishowe, nitaketi chini na kufikiria nimefanya vizuri kiasi gani katika timu. Na hilo litafanya niamua ndio au hapa.
"Moja kati ya maamuzi makuu unayoweza kufanya kuhusu kocha ni amefanya vizuri kiasi gani katika timu,". 
Ozil anaamini anaweza akamaliza ukame wa mataji wa misimu minane na amesema timu yake mpya inaweza kushindani ubingwa wa Ligi Kuu ya England msimu huu.
Top dog: Arsene Wenger broke Arsenal's transfer record to bring Mesut Ozil from Real Madrid
Kifaa: Arsene Wengeramevunja rekodi ya usajili ya klabu kwa kumsaini Mesut Ozil from kutoka Real MadridWelcome to London: Arsene Wenger leads Mesut Ozil out on to the training ground at London Colney
Karibu London: Arsene Wenger akimuongoza Mesut Ozil kwenye Uwanja wa mazoezi wa Colney, LondonSpend spend spend: Wenger has come in for increasing amounts of criticism
Sajili sajili sajili: Wenger amekuwa akishinikizwa kusajili
Frustration: Wenger and Arsenal have not won a trophy since 2005, since they lifted the FA Cup (below)
Amepagawa: Wenger na Arsenal hawajashinda taji tangu mwaka 2005, walipotwaa Kombe la FA (chini)
Arsene Wenger lifts the FA Cup
Arsene Wenger akiinua Kombe la lifts theFAVictory bus: Arsenal fans crowd the streets of Islington in 2004 to congratulate the team during a victory parade in north London
Bais la ushindi: Mashabiki wa Arsenal wakiwa mitaani Islington mwaka 2004 kuipongeza timu yao katika maandamano ya kusherehekea ubingwa mjini London
Invincible: Wenger with the Premier League trophy in 2004 after Arsenal's undefeated season
Enzi za raha: Wenger akiwa na taji la Ligi Kuu mwaka 2004 baada ya Arsenal kumaliza msimu bila kufungwa hata mechi moja
Arsene Wenger
Arsene Wenger
Mawili kwa mpigo: Wenger akiwa na taji la Ligi Kuu na Kombe la FA mwaka 2002
Top man: Wenger with the Premier League trophy in the first Double-winning year, 1998
Mtu mkubwa: Wenger akiwa na taji la Ligi Kuu ya England aliposhinda mataji mawili kwa mara ya kwanza mwaka 1998
Who are you? The unknown Wenger just after taking over at Arsenal in 1998
Nani wewe? Wenger alipojiunga na Arsenal mwaka 1998 akiwa hafahamiki wakati huo

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...