facebook likes

Tuesday, August 27, 2013

MISS ILALA 2013 APANIA KUINUA ELIMU NCHINI, AKABIDHI VITABU SHULE YA MSINGI TABATA JIKA.

1
Miss Ilala 2013 Doris Mollel akitia saini kitabu cha wageni katika shule ya msingi Tabata Jika wakati alipotembelea shuleni hapo na kukabidhi vitabu vya maandalizi ya mtihani wa Darasa la 7.
SOMA NA ANGALIA PICHA ZAIDI........
2Doris Mollel, Miss Ilala 2013 akimkabidhi baadhi ya Vitabu mkuu wa shule ya msingi Tabata Jika Bwana Kiwia. Kushoto ni katibu wa kamati ya Miss Tabata 2013 Bw. Adili.
3
Miss Ilala 2013 Doris Mollel akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi na walimu wa shule ya msingi Tabata Jika baada ya kukabidhi Vitabu shule hapo.
4
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Tabata Jika wakiwa katika picha ya pamoja na Miss Ilala 2013 Doris Mollel, huku wakiwa na baadhi ya vitabu vilivyokabidhiwa shuleni hapo na mrembo huyo.

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...