facebook likes

Tuesday, August 27, 2013

Malkia wa Nyuki awa Balozi wa Heshima wa Comoro Nchini Oman

  Rais wa Jamhuri ya Comoro, Dk Ikililou Dhoinine, akimkaribisha balozi wa heshima wa Comoro nchini Oman ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba,  Rahma Abdulrahman Al Kharoosi (Malkia wa Nyuki), katika Ikulu yake mjini Moroni
SOMA ZAIDI..........
 Rais wa Jamhuri ya Comoro, Dk Ikililou Dhoinine,akiwa katika picha ya heshima na  balozi wa heshima wa Comoro nchini Oman ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba,  Rahma Abdulrahman Al Kharoosi (Malkia wa Nyuki), katika Ikulu yake mjini Moroni.Na Mpiga Picha Wetu

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...