facebook likes

Tuesday, July 16, 2013

SAKATA LA DIAMOND NA UWOYA LUIZA MBUTU AWAPA SOMO


Kiongozi  na mwimbaji mkongwe  wa bendi ya 'Twanga Pepeta' luiza Mbutu amefunguka na kuonyesha  kukerwa kwake na tabia ya baadhi ya wasanii wa filamu na bongofleva wanaojihusisha na skendo za kimapenzi na kuamua kuwafunda ka kuwapa somo kali.Akizungumza na mwandishi wetu kwenye  hivi karibuni luiza alidai kwamba wasanii wa fani zote ni kioo cha jamii hivyo kitendo cha baadhi ya wasanii kujihusisha na mambo yasio kubalika kwenye jamii wakati wao ni kioo cha jamii  ni sawa na kuipotosha jamii hiyo inayowatazama.

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...