facebook likes

Tuesday, July 9, 2013

Baada ya kupiga show BBA sasa Wakazi kushoot video South Africa na kampuni mpya ya mtoto wa makamba



Baada ya kufanya show kali siku ya Jumapili ndani ya BBa evection night, Rapper Wakazi sasa anatarajia kushoot video ya wimbo wake unaoitwa "The Touch" nchinu humo (South Africa) akiwa chini ya management ya kampuni inayosimamiwa na mtoto wa Makamba, Thuwein Makamba "Cervon".

"My kid brother Thuwein Makamba is @Wakazi's manager, both are here in J'burg and will shoot Wakazi's  single TOUCH video this week.Thuwein runs a new talent management company called CERVON-be the winner! and @Wakazi is his first artist"

Licha ya statkent hiyo iliyotolewa na dada wa Thuwein "Mwamvita Makamba" kupitia ukurasa wake wa twitter, Wakazi amesema sio tu kampuni hiyo itakuwa ikisimamia kazi zake, bali yeye pia ni patner kwenye kampuni hiyo.

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...