facebook likes

Thursday, June 27, 2013

TEVEZ kama mfalme italia, APATA MAPOKEZI MAKUBWA

tevez2 403cf
 Carlos Tevez kushoto akiwasili jijini Turin

 tevez4 7dfa1

tevez 2fa1b

tevvez3 90137


MSHAMBULIAJI Carlos Tevez amewasili Italia na kupata mapokezi makubwa kuelekea uhamisho wake wa Pauni Milioni 10 Juventus kutoka Manchester City.

Mpachika mabao huyo wa Kiargentina alitua katika Uwanja wa Ndege wa Malpensa mjini Milan na kupokewa na umati wa mashabiki ambao mara zote hupenda kuwalaki nyota wao wapya.
Tevez, mwenye umri wa miaka 29, anataraji kusaini mkataba wa miaka mitatu jijini Turin baada ya vipimo vya leo huku makubaliano yakiwa yamefikiwa. Chanzo: Sportmail

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...