facebook likes

Thursday, June 27, 2013

JAY-Z AONJESHA UTAMU WA ALBAMU YAKE


Ikiwa zimebaki siku chache kwa mwanamuziki wa Marekani miondoko ya Hip Hop Jay Z kuiachia albamu yake iliyoipa jina la 'Magna Carta Holy Grail' ameanza kwa kutoa mashairi  yanayopatikana  katika albamu hiyo

Jay Z kwa kuanza ametoa mashahiri ya wimbo unaoitwa 'Holy Grail' aliomshirikisha Justin Timberlake ambapo pia utapatikana katika albamu hiyo

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...