Akizungumza katika utengenezaji wa Filamu hiyo unaoendelea maeneo mbalimbali ya jijini Dar es salaam, Rado (Simon Mwapagata) amesema kuwa Filamu hiyo itafanyika mjini Dar es Salaam na baadaye mkoani Tanga.
Ndani ya Filamu hiyo, yupo mwigizaji mwingine mkongwe Deogratious Shija na Sudi…
Tazama picha za utengenezaji wa Filamu hiyo hapo
No comments:
Post a Comment