facebook likes

Friday, February 8, 2013

RAIS KIKWETE ASISITIZA KUWA VITAMBULISHO VYA TAIFA HAVITAUZWA....


Rais Jakaya Kikwete amesema serikali itagharamia gharama zote za mamlaka ya vitambulisho vya taifa nchini NIDA ili kuondokana na changamoto zilizojitokeza awali huku akiwataka watendaji wakuu na watumishi wa NIDA wawe wazalendo na waaminifu kwa kuepuka kutoa vitambulisho kwa watu wasiostahili.

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...