facebook likes

Friday, February 8, 2013

FEZZA KESSY KUICHIA SINGLE YAKE MPYA TAREHE 11

Mwanadada ambaye aliwahi kutwaa taji la Miss Dar City Center maarufu kama Fezza Kessy baada ya kuona rafiki yake kipenzi Vanessa Mdee kuingia katika tasnia ya muziki,basi na yeye amekuja na single yake mpya"Amani ya Moyo"ambayo anatarajia rasmi kuiachia siku ya Jumatatu tarehe 11 mwezi huu.
Baada ya kutuma hii cover ya single yake mpya katika e mail yetu aliandika ujumbe mfupi na kusema "Music is My job,My life,my everthing......!!!!!!!

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...