facebook likes

Friday, February 8, 2013

PICHA YA SIKU

Msanii Rama D ambaye hivi sasa anafanya poa na ngoma ya 'Kuwa na subira' akiwa na familia yake nchini Australia.Kwenye Picha ni mama wa mke wake(Mama Mkwe) anayeenda kwa jina la Michelle,mke wake Jazz na mtoto wake wa kike anayeenda kwa jina la Abigail

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...