facebook likes

Friday, February 8, 2013

Angalia Picha....MV VICTORIA ILIVYONUSURIKA KUTEKETEA KWA MOTO

Maafisa wa kikosi hicho walijitosa kuhakikisha moto huo hausambai katika maeneo mengine ya Meli ya Mv Victoria ambapo walifanikiwa kuuzima huku ukiwa tayari umeteketeza magodoro yote pamoja na mito ya makochi iliyokuwa katika chumba cha kuhifadhia mizigo.
Juhudi zikiendelea kwa maafisa wa kikosi…

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...