facebook likes

Friday, February 8, 2013

ELIMU YA U DJ YAANZA RASMI DAR ES SALAAM

HII TAARIFA MAALUM KUTOKA TAASISI BINAFSI AMBAYO ITAKUWA INATOA MAFUNZO MAALUM KWA WATU WOTE WENYE UMRI KUANZIA MIAKA 18 AMBAO WANANIA YA KUWA  MA-DJ MAARUFU HAPA NCHINI
TCH DJ ACADEMY
  PO BOX
  DAR ES SALAAM
  TANZANIA
  TEL: + 255/ 0712 580 859

   KOZI TUNAZOFUNDISHA:

 

 INTRODUCTION TO THE DJ INDUSTRY (KOZI YA 1)

1.Set up Machine
2.Mixer Operation
3.Pioneer Operation
4.Basic Mixing
5.Beat Count
6. Beat to Beat mixing
7.Acapella Mixing
Kozi hii mwanafunzi atajifunza kwa muda wa miezi mitatu (3)

ADVANCE TO THE DJ INDUSTRY ( Kozi ya 2)

1. Sound and Level
2. Turntable Operation
3. Perfect mixing
4. Scratching
5. Creative mixing and Techniques
Kozi hii mwanafunzi atajifunza kwa muda wa miezi miwili (2) baada ya kumaliza kozi ya kwanza ya Introduction to the dj I ndustry.
Kozi zote mbili Introduction to the dj industry na Advance to the dj industry zitafundishwa kwa muda wa miezi sita (6).
Fomu ni Tsh 10,000/= tu na utaratibu wa ada za kozi zote utapatikana kwenye form.
Walimu watakao fundisha ni          DJ ZERO
                                              DJ PQ
                                                     DJ D OMMY
                                           Na wengine wengi
                              Mafunzo yameanza rasmi tarehe 4 feb 2013

No comments:

COMMENTS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...